rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 21,952
- 43,265
Fwala huyoo...Anaenda akiwa kavaa bikini aliyinunuliwa na basha wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fwala huyoo...Anaenda akiwa kavaa bikini aliyinunuliwa na basha wake
Inasemekana ndio mbeba vibuyu vya kinga za mkubwa hivyo ni ngumu kumtumbua.Mh, nabaki najiuliza....
1. Ilikuwaje akachaguliwa kuwa kiongozi?
2. Na huyo aliyemchagua alitumia kigezo gani?
3. Je haya yote anayofanya huyu jamaa, Mkubwa hayaoni au?
4. Kuna uhusiano gani uliojificha kati ya huyu jamaa na mkubwa?
Vijana wanasema msela mavi.Msela
Ingekua bora zaidi kutokwenda, aliharibu zaidi baada ya kwenda madhabahuni na kutaka kuanzisha majibishano kila mtu alimdharau, mbaya zaidi alipopewa nafasi ya kuongea katika kutoa salam watu wote walikaa kimya.... aibuuuuuuuuuuu kondaaaaaBaba Askofu alimwita madhabahuni ili ampatanishe na Mboe,kibwana mdogo kikawa kinagoma kujongea mbele
Alitaka aongelewe na kesho kwenye magazeti
Wewe ambaye hukufutilia unaweza kuwa huo upande.Editing ya kijinga sana ,chunguza mikono ndio utajua mleta post ni gay
Hata disco huweza kwenda kwa staili ya vile. Inaonekana leo kaamka na mapepoHakuna mkuu wa wilaya/mkoa yeyote amngeweza kuvaa vile achilia mbali hata mwananchi wa kawaida lazima ujitafakari lakini yeye katinga hivyo hivyo! Duuuh kweli akili ni Mali
Ndege wa aina moja huruka pamoja. Vipi mkeo ushampeleka China wakusaidie kumpandikiza mbegu?
Wazungu ndio SI Unit ya ustaarabu au kama unabisha rudi kwenye tamaduni za kibantu. Hiyo simu choma moto, hizo nguo tupa zote , kavae magome ya miti.Kwahiyo wazungu ndo wa kuwekewa mfano??
Faken wallah
Wanaume wa Dar bana kwani akivaa hivyo kuna shida gani? Acha wazee waendelee kuwatambia mjini maana hamjiwezi.Leo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.
Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?
Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?
Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613
Vitu alivyopaswa kuvifanya wakati wa balehe ya kwanza yeye anavifanya ukubwani tena katika muktadja ambao hata chizi lazima awe na staha.tatizo madaraka siyo mtu mwenyeweLeo Mkuu wa Mkoa wa Dar ameingia ibadani katika kanisa kuu la KKKT hapa Moshi akiwa amevaa Suruali iliyozua minong'ono kuwa ya KIHUNI.
Baadhi ya Waumini waliopo hapa Ibadani wamesikika wakiuliza je angekufa babake angekwenda na vazi kama hilo?
Wengine walisikika wakisema vazi hilo hata katika mavazi yanayotakiwa kwenye Ofisi za Umma hayatakiwi iweje avae kanisani?
Waumini wengi wamesikika wakihoji kiwango cha nidhamu alichoonyesha Mkuu huyu kupitia vazi lake.View attachment 1092613