'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyo

'Vestiges' kwenye miili ya wanyama, ushahidi tosha kwamba hatukuumbwa, bali tuli-'evolve' kuwa tulivyo

‘Evolution’ kwenye Morphology ya viumbe haina tofauti na ‘Modification’ inayofanyika kwenye magari ili kuendana na mazingira. Mfano, kuna Gari kubwa za mizigo zinatumia gearbox zenye ‘hatch’ kwa ajili ya kufunga Gear ya tipper, lakini hiyo gari haina tipper, lakini pia gari ya aina hiyo hiyo zipo zinatumia gear box hiyo hiyo na zimefunga kigear cha kupiga tipper. Hapo moja kwa moja unaona kabisa kwamba ile ambayo ina kishimo cha kufunga gear ya tipper ila haina tipper, ni kwamba ilibadilishwa matumizi kutoka kuwa gari ya kubinua na kuwa Lorry ka kwaida, hivyo kile kigear cha tipper (tipper control system) ikaondokewa maana haikuwa na kazi tena, ila kishimo kimebaki cha kufunger tipper gear. Sasa kile kishimo ndio kwenye viumbe tunaita ‘Vestiges’, maana yake kiumbe kimebadilika kulingana na mazingira kwa process ya ‘mutation’ na ‘Adaptation’ via ‘natural selection’.

Sasa hapo unahitaji uwepo ili kujua kwamba hilo gari lilibadilika kutoka kuwa la kubinua hadi kuwa la kawaida la mizigo?

Mnapewa ubongo wa kufikiri ila badala yake mnakuja humu jukwaani kuandika kwa kutumia makalio.., kaaa mbali na mimi kama huna hoja.
Sasa gia box , sijui tipa Kama tupo gereji.

Huwezi kuwa unafananisha vitu. Kila kimoja na asili yake kilivyo. Mbona vitu vya kufanana vipo vingi Sana. Na Tom boy unataka kutuambia Ni badiliko lipi? Au wale wenye vidole sita. Hicho kidole Cha sita kinatafuta Nini. Acha bhangi
 
Umesema kuwa Kama kiungo hakitumiki hupotea chenyewe.
Swali: Ni vipi Hawa masista na mapadre ambao hawajamiiani/hawazai. Je mfumo wao wa uzazi unapotea mwilini mwao? Yaani nyeti zao hubaki kwaajili ya kukojoa na kunya tu?
Hata mimi nimejiuliza sana hili, au mfano amezaliwa kipofu yaani haoni!! Je, itafika wakati sehemu ya macho ambayo hayatumii kuona yatafutika kabisa??
 
Mbona hizo stages zipo na zinaonekana kupitia fossils ambazo zimechimbuliwa katika maeneo mbalimbali duniani, au ulitaka nikuonyeshe wakiwa hai? Kumbuka, inachukua mamilioni ya miaka kupata genotypic changes
Ni cooked stories don't believe them.You really believe that after so many years of decay the bones can still be joined and get a picture of how the original creature looked like?Ni hivii,hata Darwin mwenyewe doubted the truthfulness of his stupid theories,na hata ndugu zake walimuonya about the luring away of humanity from truth.Sasa ninyi leo mnashikia bango utapeli,wake up.
 
Hizi ndo miongoni mwa sababu zinazofanya nisiikubali Biology na proffessions zake, I never consider it as a real science wafuasi wake hawana tofauti na watu wanaoamini mambo ya astrology sijui leo, cancer, sagittarius na ujinga ujinga mwingine. In Physics and Engineering our theories and assumptions are backed by Mathematics and laws of nature sio maneno tu ya mtu wendawazimu ma wenzake 😂😂😂😂😂.

#BIOLOGY SUCKS 😖😖😖
 
Kabla hapakuwa na nyangumi wala hapakuwa na binadamu, bali kiumbe kingine kilicho tawiwika na kuwa viumbe vingine vingi, wakiwamo nyangumi na binadamu, sasa wanafananaje wakati hawakuevolve baso kuwa walivyo sasa, yaani hawakuwepo
Asante
 
Sasa gia box , sijui tipa Kama tupo gereji.

Huwezi kuwa unafananisha vitu. Kila kimoja na asili yake kilivyo. Mbona vitu vya kufanana vipo vingi Sana. Na Tom boy unataka kutuambia Ni badiliko lipi? Au wale wenye vidole sita. Hicho kidole Cha sita kinatafuta Nini. Acha bhangi
Huna hoja.., kaa mbali.., vidole kuwa 6 ni mutation, kama itakuwa favoured na mazingira basi itabaki, ila kama itakuwa unfavoured basi itapotea with time..
 
Hata mimi nimejiuliza sana hili, au mfano amezaliwa kipofu yaani haoni!! Je, itafika wakati sehemu ya macho ambayo hayatumii kuona yatafutika kabisa??
Mtu akizaliwa kipofu, maana yake hiyo ni unfavoured mutation, anaweza akagongwa na gari au akaliwa na mnyama na kizazi cheke chenye defective genes kinakuwa erased moja kwa moja, hivyo ndio vyo natural selection ya evolution hufanya kazi, ina extinguish unfavoired mutions na kupropagate favoured mutations..

Like wise mtu akizaliwa na macho ya blue na nywele za blonde as a mutation, wanaume wakimuona tu wanamtongoza sababu ni favoured mutation, na muda si mrefu watoto wake wa kizazi cha genes hizo watazaliwa kwa wingi na kuendeleza mutation hiyo sababu iko favoured..
 
Lakini mbona hata vitabu vya dini vinakubali watu wa kale waliishi umri mlefu compare to us, na pia niliwahi kusikia binadamu alikua kiumbe mkubwa sana miaka ya nyuma je hii haiwezi kuwa ni evolution?
 
1.) The palmar grasp reflex is a characteristic behavior of human infants, developing as early as 16 weeks gestational age, when the fetus begins to grasp the umbilical cord in the mother’s womb. Early research found that human newborns, relying on their grasp reflex, could hold their own weight for at least 10 seconds when hanging by their hands from a horizontal rod. By comparison, monkey infants, which possess a similar involuntary grasping behavior, were able to hang from one hand for more than half an hour. The reflex is essential for monkey infants, enabling them to cling to the mother’s body fur. But humans, who evolved out of an arboreal existence and lost the covering of fur over the body, presumably no longer require that powerful grasp. Human infants typically begin to lose the reflex around three months of age. Despite its diminished strength and loss in early infancy, some researchers think that the grasp reflex may retain important functions in humans.
 
kifaa kinachotumika kupima mabaki ya mafuvu na mifupa yabkale carbon 14 kinashindwa kupima umri wa mafuvu na mifupa ya watu walio hai ........hii n maajabu
 
Acha miaka, wewe nenda gym kwa miezi miwili tu, mwili wako utabadilika kulingana na mazingira mapya ya mazoezi magumu, misuli ya mwili itaimarika, ila kuna changes za muda mrefu ambazo hutumia hata miaka milioni 200 na kuendelea, mfano kuna samaki wanaotembea ardhini kisha wanarudi majini, yaani yale mapezi yao wanayatumia kama miguu. Ina hata vijana wa 1980's na 2000's wanavyotofautiana kwa urefu, hii ni kwa sababu ya kubadilika kwa mazingira ya lishe, siku hizi blueband kwa wingi..

Misuli kujenga uzoefu kwenye gym hiyo ni survival tactics za mwili, haihusiani na hizi pumba unazotaka kuleta humu.
Mpaka sasa tulipaswa walau tushuhudie next gen human ambao wameendelea ku-evolve, hata viashiria or something.
World is too complex to be thought of having come from some big bang.
 
Mmmh Sasa mwanaume nae ana maziwa yanakazi gani au yatakuja kufutika kabisa maana hayana kazi
Ni kama Clitoris (dick like appendige) inavyoweza kuja kupotea endapo itakuwa haitumiki, na hii ni kwa sababu mwanzoni viumbe havikuwa na jinsia, bali kupitia evolution (mutation and natural selection) heterosexualism ikaibuka kuwa victorious.., ambapo waligawana majukumu ya ulezi na utafutaji chakula..
 
kifaa kinachotumika kupima mabaki ya mafuvu na mifupa yabkale carbon 14 kinashindwa kupima umri wa mafuvu na mifupa ya watu walio hai ........hii n maajabu
Hakijashindwa, nani kasema kimeshindwa?!
 
Misuli kujenga uzoefu kwenye gym hiyo ni survival tactics za mwili, haihusiani na hizi pumba unazotaka kuleta humu.
Mpaka sasa tulipaswa walau tushuhudie next gen human ambao wameendelea ku-evolve, hata viashiria or something.
World is too complex to be thought of having come from some big bang.
Hiyo ya Gym niliitolea mfano kuonyesha adaptive capabilities za viumbe. Mabadiliko yanatokea mfano kwa tembo wanaouwawa na majangili, wale waliomutate na kuwa na pembe ndogo wanaachwa na majangili na wanazidi kuongezeka, mwishowe wenye pembe kubwa watapotea kabisa, mabadiliko yapo hata sasa, na yanaweza kuchukua hata kiaka milion 1 kutokea..
 
Vestiges ni viungo katika miili ya wanyama ambavyo vinaweza visiwe na kazi katika baadhi ya wanyama lakini vinakuwa na muhimu na ni vya lazima katika miili ya wanyama wengine.

Mfano 'tail bone' / mfupa wa mkia hauna umuhimu wowote katika mwili wa binadamu maana hatuna mikia sisi, lakini tunao mfupa huo; mfupa huo ni lazima na ni muhimu sana kwa wanyama wenye mikia kama ngedere nk. Hii inashiria kwamba hapo awali binadamu tulikuwa ni kiumbe tofauti kabisa kilichokuwa na mkia ila kwa sasa kiungo hicho kimepotea sababu matumizi yake hayapo tena. (If you don't use it, loose it), hii ndio principle inayotumika katika evolution.

Vestiges zipo nyingi sana katika animal kingdom, mfano nyangumi ana mifupa ya miguu iliyojificha ndani japo hana miguu,hii inashiria kwamba hapo awali alikuwa ni mnyama wa ardhini aliyetembea, na tena bado anazaa na kunyonyesha kama wanyama wengine wa ardhini na sio kutaga mayai kama wafanyavyo samaki.
Vestiges ni nyingi sana, tusaidiane kuziorodhesha na kuzichambua vilivyo na kwa undani kabisa.

Sasa binadamu mwenye akili timamu anaweza weza vipi kuamini kwamba binadamu aliumbwa kama alivyo leo hii na mwonekano wake huu wa sasa, yaani hakubadilika kutoka aina moja ya muonekano hadi kufikia huu muonekano wa sasa. Huwa mnatumia mbinu gani kujitoa akili kwa kiwango hicho?! Mbona mi nashindwa kabisa??!!!

=============================
Mfano mwingine ni kifuko cha appendix kwenye utumbo wa binadamu, kwetu hakina kazi lakini kwa wanyama wanaokula mimea huwa wanakihitaji sana hicho kifuko na kinakuwa ni kikubwa sana kwao na huwasaidia kwenye kusaga chakula, hii inaashiria kwamba tulikuwa mnyama mmoja ila kila mmoja akabadilika kulingana na mazingira yake..
=============================

Mfano mwingine ni 'vitendea kazi' vya uzazi kwa mijusi wanaozaa kwa kuji-clone, yaani hawa mijusi huwa wanataga yai ambalo ni clone yao wenyewe na hivyo hawaitaji kujaamiiana ili kuzaa. Sasa kwakuwa bado wana hivi viungo ambavyo vimebaki huwa wanavitumia kama kujiburudisha tu, lakini havina kazi kwa sasa,japo hapo nyuma vilijuwa na kazi.
=============================

=================================
Update: 27/08/2021
Mifupa ya nyangumi mwenye miguu ‘dating millions of years ago’ yapatikana.

View attachment 1912340
_______________________________
WaChina ni WaAfrika waliohama na kubadilika kutokana na mazingira


Kiungo gani hakina kazi halafu muhimu na ni lazima🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Wengine bora mkaage kimya tu.
 
Kiungo gani hakina kazi halafu muhimu na ni lazima🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Wengine bora mkaage kimya tu.
Hakina kazi kwa ‘kiumbe kimoja wapo’, ila kwa ‘kiumbe kingine’ ni muhimu na cha lazima, soma vizuri, sio unasoma kama unakojoa mchana barabarani
 
Hakina kazi kwa ‘kiumbe kimoja wapo’, ila kwa ‘kiumbe kingine’ ni muhimu na cha lazima, soma vizuri, sio unasoma kama unakojoa mchana barabarani
We dogo tatizo Ni mkorofi, mweleweshe my vizuri na sio kumtukana. Tunatofautiana uelewa alafu unachoamini wewe usilazimishe wengine wakiamini. Mwingine anaweza tu kupinga pasina sababu ya mcngi ilimradi tu apinge. Chukuliana nao coz faida ipo kwa wafatiliaji ndio wanang'amua uongo na ukweli.
 
Back
Top Bottom