Mlima simba
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 3,776
- 6,825
- Thread starter
- #21
Hiyo ni lazima mkuu, lazima wataanza kusema angekuwepo tusingetolewaWatakuja kusema"baba yetu kaondoka sasa wanatunyanyasa"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni lazima mkuu, lazima wataanza kusema angekuwepo tusingetolewaWatakuja kusema"baba yetu kaondoka sasa wanatunyanyasa"
Zipo lakini hawazitaki wanataka kukaa barabarani kama traficNASHAURI KILA MANISPAA ITENGE MAENEO YA HAWA WATU, WAJENGE COMPLEX ZAO.
MBONA ZIPONASHAURI KILA MANISPAA ITENGE MAENEO YA HAWA WATU, WAJENGE COMPLEX ZAO.
Ha ha ha!!!! Awamu ya sita hii. Tutademka sana. Asante mama mji sasa utakuwa safi!!!Gari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es salaam.
Kichaa mama yakoYalikuwa ni maamuzi ya kichaa mmoja tu
Ni pigo kwao, ila hakuna namna mkuu, mimi naona serikali ipo sahihi tu kuwaondoaHao wanaotolewa maeneo hayo wanatarajiwa kuhamishiwa wapi?. Mtihani mpya kwa wale waliochukua mikopo haswa kina mama wanaotegemea vikoba na pesa za aina hiyo.
Kandokando ya barabara unamaanisha nini?Gari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es salaam.
+ Ukoo wako woteKichaa mama yako
Ndiyo!!! Kutesa kwa zamu!!! Kwani walidhani watatesa wao tu!!! Zamu yetu!!!Watakuja kusema"baba yetu kaondoka sasa wanatunyanyasa"
Hakika, ila waondoke kistaarabu tuBUSARA ITUMIKE
... tangazo hili haliihusu Temeka, Kigamboni, Kinondoni, na Ubungo anyway. Maana huko sio jiji la dar es salaam; ni nje ya jiji according to mwendazake na yule aliyekuwa waziri wa tawala!Gari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es salaam.
Kwani walitoka wapi?Hao wanaotolewa maeneo hayo wanatarajiwa kuhamishiwa wapi?. Mtihani mpya kwa wale waliochukua mikopo haswa kina mama wanaotegemea vikoba na pesa za aina hiyo.
Yaani ilikuwa balaaa sana!!!!Wazo zuri Jiji lazima lipangike liwe safi Biashara zitengewe maeneo Maalumu sio kila sehemu ni vibanda Angalia Posta Mpaka wachina Mahindi na viazi utadhani Mbagala Ofisi za Serikali Wamejaa Mama lishe shoe shines uchafu mtu