mweusi asili
JF-Expert Member
- Nov 11, 2014
- 2,035
- 3,358
Yaani waweke mpangilio mpaka kwenye masoko na vituo vya magari waondoe vibanda visivyona mpangilio.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio vibaya lakini, waende tuHii nimeisikia hata kwenye Jiji la Dodoma. Wamewaambia wahamie kwenye masoko ya Ndugai, Sabasaba na Majengo. Tena ndani ya majengo ya masoko.
Ohoooo, yamekuwa hayo tena - sasa sisi tukauzie wapi bidhaa zetu ndogo ndogo - CCM mmetugeuka eee baada ya Mzee na mtetezi wetu kutuacha? hatutakubali - lazima kiwake tu kama mnavyotaka na iwe.Gari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es salaam.
Haondoka mtu, lazima tukiwashe!!Watakuja kusema"baba yetu kaondoka sasa wanatunyanyasa"
Wachina tena?... Angalia Posta Mpaka wachina Mahindi na viazi...
Hapo sasa CCM na maisha ya watanzania yataboreka sana.Gari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es salaam.
Waendeleze miundo mbinu mvua ikinyesha tusiogelee city center kuwafukuza hakuongezi mvuto wowote.Ni kweli, lakini hata ndani kwako unaweka vitu kwa mpangilio, Jiji limechafuka vibanda balaa kila kona mpaka jiji limepoteza mvuto
Haha, ila mwendazake huku mwishoni alikuwa kama amedata. Maamuzi ya ajabu yalizidi... tangazo hili haliihusu Temeka, Kigamboni, Kinondoni, na Ubungo anyway. Maana huko sio jiji la dar es salaam; ni nje ya jiji according to mwendazake na yule aliyekuwa waziri wa tawala!
Safi sana bi SamiaGari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es salaam.
HaitasaidiaWatakuja kusema"baba yetu kaondoka sasa wanatunyanyasa"
Alivunja sheria Ili kupata kura zao angewapenda angewatengea maeneo ya biashara.Barabara ni kwa ajili ya watu na magari kupitaWatakuja kusema"baba yetu kaondoka sasa wanatunyanyasa"
Gari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es salaam.