Mlima simba
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 3,776
- 6,825
- Thread starter
- #41
Hakika mkuuNaam kazi iendeleeeee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika mkuuNaam kazi iendeleeeee.
Naam iendeleeNaam kazi iendeleeeee.
Kwani ni uwongo?Watakuja kusema"baba yetu kaondoka sasa wanatunyanyasa"
Yaani wametubanaaje!!! Tunakoswa koswa na magari utadhani hatuna haki kutembea pembeni maana wamejaa wao. Halafu ole wako ukanyage kitu cha mtu!!!!Nimetoka tu nje ya ofisi nikakutana na gari ya tangazo inaanza kutangaza, watu wameshika vichwa wengine wanacheka na mimi ikabidi nicheke.
Ila wametubana sana watembea kwa miguu aisee
Jiji lazima lipewe hadhi yakeHii safi. Ilikuwa too much...
Hii nimeisikia hata kwenye Jiji la Dodoma. Wamewaambia wahamie kwenye masoko ya Ndugai, Sabasaba na Majengo. Tena ndani ya majengo ya masoko.Gari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es salaam.
Ipo Machinga Complex, Ilala.NASHAURI KILA MANISPAA ITENGE MAENEO YA HAWA WATU, WAJENGE COMPLEX ZAO.
NDIO MAANA LEO BIBI ANAONGEA NA WAZEE WA JIJI LAO ❗Gari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es salaam.
Baba kaondoka si msma yupo?Watakuja kusema"baba yetu kaondoka sasa wanatunyanyasa"
Ni kweli, lakini hata ndani kwako unaweka vitu kwa mpangilio, Jiji limechafuka vibanda balaa kila kona mpaka jiji limepoteza mvutoKwani ni uwongo?
Lakini yalipeleka ugali kwenye nyumba za masikini wengi sana nchiniYalikuwa ni maamuzi ya kichaa mmoja tu
Kuharibu ndiyo kupeleka ugali?Lakini yalipeleka ugali kwenye nyumba za masikini wengi sana nchini
Ngoja tuone kama mama atawasaidia kwa hiliBaba kaondoka si msma yupo?