Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,969
- 3,392
Wapangiwe maeneo na waende huko. Wanazingua kubadili barabara kuwa sehemu za kufanya biasharaHaitasaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapangiwe maeneo na waende huko. Wanazingua kubadili barabara kuwa sehemu za kufanya biasharaHaitasaidia
Tanroads wanataka wamuhujumu mamaGari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es salaam.
Mbezi, kimara , Mwenge, Manzese, Kariakoo, Tandika, Mbagala nknk hayo maeneo ndio yaanzweWapangiwe maeneo na waende huko. Wanazingua kubadili barabara kuwa sehemu za kufanya biashara
Izi ni hujuma za mfugala sijui ndo mnavyomuitaHao wanaotolewa maeneo hayo wanatarajiwa kuhamishiwa wapi?. Mtihani mpya kwa wale waliochukua mikopo haswa kina mama wanaotegemea vikoba na pesa za aina hiyo.
Uchumi wa nchi hauwezi inuliwa na machinga bali kwa uzalishaji.
Machinga na bodaboda ni madalali wa viwanda vya china kukuza uchumi wa China
Kwani waliandikiwa barua yakuja mjiniHao wanaotolewa maeneo hayo wanatarajiwa kuhamishiwa wapi?. Mtihani mpya kwa wale waliochukua mikopo haswa kina mama wanaotegemea vikoba na pesa za aina hiyo.
Wenye Mabanda yote kando ya barabara wametakiwa kuyabomoa kabla ya tarehe 18 mwezi huu ambapo ndio tarehe ya bomoabomoa. Mtakumbuka jinsi mabanda yayivyokua yameshamiri kila pande ya jiji na kuharibu kabisa muonekano wa mji kama miji minginge mikubwa ya majiran zetu hadi kufikia kuonekana jiji lote ni slum. Kuanzia maeneo ya fire,DIT hadi kisutu ilikua kituko hata kupishana watembea kwa miguu ni shida. Mlimani city ndio usiseme kabisa. Angalau jiji litaanza kuonekana sasa maana moshi wa mamantilie wanaopikia kuni pembeni ya barabara ndo ulikua unaonekana.Yaani hata Nairobi au Kigali tu walikua wanaonekana wametuacha mbali kisa haya mabanda maana kila mtu kajenga anavyojua na kuezeka anavyojua. Dar inarudi kuwa Dar
Kwani nawewe unasemajeKwani wenye mabanda wanasemaje?
Ukikanya bahati mbaya wanakukoromea,na kukutishia watakuitia mwizi ili wakushambulie,ni kweli inapaswa waondoke sasa,maana ni sehemu ya wapita kwa miguu!!Yaani wametubanaaje!!! Tunakoswa koswa na magari utadhani hatuna haki kutembea pembeni maana wamejaa wao. Halafu ole wako ukanyage kitu cha mtu!!!!
Gari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es salaam.