Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UKIHAMA ULIPOPANGA KABLA YA KUJENGA NYUMBA YAKO USILALAMIKEGari la tangazo linapita kutangaza ya kuwa ifikapo tarehe 18 mwezi huu hakitakiwi kibanda chochote kuonekana kando kando ya barabara katika jiji la Dar es salaam.
Nasema wawaache yatima,wataanzisha vurugu wakati wa kubomoa hayo mabanda.hawawezi kukubali kirahisi,baba yao alishawamilikisha hayo maeneo.Kwani nawewe unasemaje
Kama kiko pembezoni mwa service rd na juu ya mitaro watatembea nachoHii Ina maaana mpaka vibanda vya tigo pesa.m.pesa.nk??
WaliitwaHakika, ila waondoke kistaarabu tu
Kule Mwanza napo ni shida kwa kweli......karibu mikoa yote Arusha je? utalia
Brainwashing techniques.....wajinga aliwapatia hapaKweli mwendazake kaenda na yake....
Hizi akili za kibavicha hatari, sasa hujui ukimbimolea kesho atakuvamie akuibie hata kandambili nyumbani kwakoWenye Mabanda yote kando ya barabara wametakiwa kuyabomoa kabla ya tarehe 18 mwezi huu ambapo ndio tarehe ya bomoabomoa. Mtakumbuka jinsi mabanda yayivyokua yameshamiri kila pande ya jiji na kuharibu kabisa muonekano wa mji kama miji minginge mikubwa ya majiran zetu hadi kufikia kuonekana jiji lote ni slum. Kuanzia maeneo ya fire,DIT hadi kisutu ilikua kituko hata kupishana watembea kwa miguu ni shida. Mlimani city ndio usiseme kabisa. Angalau jiji litaanza kuonekana sasa maana moshi wa mamantilie wanaopikia kuni pembeni ya barabara ndo ulikua unaonekana.Yaani hata Nairobi au Kigali tu walikua wanaonekana wametuacha mbali kisa haya mabanda maana kila mtu kajenga anavyojua na kuezeka anavyojua. Dar inarudi kuwa Dar
Nahisi upo sahihiYalikuwa ni maamuzi ya kichaa mmoja tu
Umewahi kufanya kazi katika kampuni za wahindi?. toka zamani wao wanaleta wahindi wenzao kufanya kazi hata ya ulinzi. Kuleta wafanyakazi haijaanza leo. je unafikiri watanzania hawana sifa, wavivu au hawaaminiki?Wenye nguvu ya fedha washafanya Yao tena,
Ndiyo tunajua, kila kitu lazima kiende Kwa utaratibu, Labda niulize Kwa Mleta uzi, Je Hilo gari linalotangaza halisemi mbadala wa hao wenye vibanda wanapaswa wapelekwe wapi?
Kama ndivyo, tayari hili ni kosa lingine kubwa baada ya lile la Kwanza la makampuni ya kigeni yanayokuja kuwekeza nchini hayatakiwi kuwekewa limiti ya wafanyakazi wanaotakiwa kuja nao kutoka makwao ili kufanya kazi kwenye kampuni hizo za kigeni!!
Hilo ndilo kosa kubwa kuliko mengine yote ambayo yameendelea kuwepo Wakati huu,
Watanzania mtegemee kukosa ajira kwenye makampuni yote ya kigeni na hata ysliyowekeza tayari mtaanza kutimuliwa mdogomdogo na wageni kuletwa kufanya kazi hizo
Yetu macho
Hapo sasa ccm na maisha ya watanzania yataimarika sana..Wenye Mabanda yote kando ya barabara wametakiwa kuyabomoa kabla ya tarehe 18 mwezi huu ambapo ndio tarehe ya bomoabomoa. Mtakumbuka jinsi mabanda yayivyokua yameshamiri kila pande ya jiji na kuharibu kabisa muonekano wa mji kama miji minginge mikubwa ya majiran zetu hadi kufikia kuonekana jiji lote ni slum. Kuanzia maeneo ya fire,DIT hadi kisutu ilikua kituko hata kupishana watembea kwa miguu ni shida. Mlimani city ndio usiseme kabisa. Angalau jiji litaanza kuonekana sasa maana moshi wa mamantilie wanaopikia kuni pembeni ya barabara ndo ulikua unaonekana.Yaani hata Nairobi au Kigali tu walikua wanaonekana wametuacha mbali kisa haya mabanda maana kila mtu kajenga anavyojua na kuezeka anavyojua. Dar inarudi kuwa Dar