Vibanda vilivyowekwa kando ya barabara Jijini Dar es Salaam kuondolewa

Wamachinga wanataka wapita njia ili wafanye biashara! Thats not a formal kind of business ila wakilazimisha mambo ya formal inawaumiza jamaa! Na ndo maana hata machinga complex hawakai pale!
 
Shida ni kwamba machinga complex imekaa kando kidogo in facts hata kufikiri kwenda pale brain inakataa kabisa..
pia wajenzi wake sijui walijenga mijengo na aina ya vizimba vyake kwa staili ya wapi?
*N.B STADI YA KINA INAHITAJIKA THE WAY WE TRESS WILDERBEAST...#$%&
 
Shida ni kwamba machinga complex imekaa kando kidogo in facts hata kufikiri kwenda pale brain inakataa kabisa..
pia wajenzi wake sijui walijenga mijengo na aina ya vizimba vyake kwa staili ya wapi?
Hahaha pamekaa kushoto sana! So far from the main road! Walitakiwa waijenge upande wa barabarani hapa opposite na soko la mchikichini/karume na pawe tambarare!
 
Mkuu kwani sheria za mipango miji zinasemaje kuhusu Reserve Road?

Tusiweke huruma hapa.
 
Mkuu kwani sheria za mipango miji zinasemaje kuhusu Reserve Road?

Tusiweke huruma hapa.
Sawa kuhusu reserve ila wakiondolewa waende wapi au warudi keko kuwakaba na kuwaibia power window majumbani mwenu?
 
Sawa kuhusu reserve ila wakiondolewa waende wapi au warudi keko kuwakaba na kuwaibia power window majumbani mwenu?
Hatuumizi kichwa kwa wavunja sheria! No excuse mzee.

Kwani waliovunjiwa Nyumba zao kimara walienda wapi ?


Kuondolewa Barabarani hakuhitaji maelezo kwasababu wamevunja sheria, suala la wataenda wapi ni issue nyingine.


Raisi aliefariki ametuachia mzigo mzito sana. Huwezi kuendesha nchi kwa kuruhusu kundi moja kuvunja sheria waziwazi.
 
We inaonekana una uchungu wa kuvunjiwa nyumba mzee 😂😂😂 pole sana ila sikuingine usinunue kiwanja barabarani mkuu
 
Wanazo sehemu zao walizotengewa. Mbona hawataki huko? Why mabarabarani? Uliona wapi wewe nchi ya hivi?
Huko mlikowatengea nyie mnaendaga au unaropokwa tu😁😁😁!!! Biashara ya mmachinga ipo kwa mpita njia ndio maana huwezi kukuta mmachinga anakimbilia sehemu ambayo watu hawapiti kwa wingi!
 
Hahahaha
 
Sawa kuhusu reserve ila wakiondolewa waende wapi au warudi keko kuwakaba na kuwaibia power window majumbani mwenu?
Mbona kama unawatishia kuwa warudi kuwakaba. Inamana nchi ingekuwa na huu huu utaratibu tokea enzi kwani watu wasingekuwa wamezoea mkuu kutopanga bidhaa within road reserve?
Njoo so tuogope kuwa watatukaba ili waruhusiwe.
Kwani hawajui kuwa watauwa wakianza wizi mwenyewe ni machinga Ila nachukia bidhaa kupangwa mpaka road. Mfano mzuri ni hapa keep left ya nyerere road mwanza.inakera
 
Dah kwahio waondolewe road reserve tu mkuu ila wabaki mbele ya maduka!?
 
Hao wamachinga wamechangia kuua wafanyabiashara wa maduka makubwa na kodi kubwa hutozwa kwa kutegemea ukubwa wa biashara.

Tuendelee kuzikwaza biashara kubwa kwa kuwaridhisha wadogo?.

Wakubwa na wadogo wote wanahitajika hivyo cha kufanyika ni wadogo kurudi kule ambapo ni maeneo yao halali.
 
Wasisahau na mwanza jamani
Malizeni yale masoko haraka
 
Sasa nje ya mji wakati wao target yao ni wale watu wanaopita pita stand
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…