Vibarua viwandani au part time job kwa hapa Dar es Salaam zinapatikana wapi?

Vibarua viwandani au part time job kwa hapa Dar es Salaam zinapatikana wapi?

aah nimekupata tujikite kwenye nuksi.

Endapo Mungu ameweka maji ya chumvi kutoa nuksi endapo utayaoga So nikisema "maji ya chumvi yanatoa nuksi hii ni Shirki.
Ni darsa pana kidogo mkuu....kikubwa kujifunza na kusimamia kile unachokiamini
 
Niliwahi kupitia hiki kipindi naongea kwa uzoefu. Ila Mungu aliponitambulisha akanipa kufanya kile kile nilichosomea. Glory to God.
Hapo kwenye Mungu ndo hali inakua tete zaid.Tulio na iman za kuunga unga sijui itakuaje
 
uwiii nina mambo mengi kama ngano....nkumbushage shostiii ujue ww ni mke mwenzangu maana wote tumepelekwa moroo (au nakosea)??
😀😀😀... Hatari Sana. Kuna sehem ulisema unataka kutia Nia! .na bado nakukumbusha tuliwahi sema tuzamie 😀😀 nahangaika na nauli hapa😀😀
 
Back
Top Bottom