Ni darsa pana kidogo mkuu....kikubwa kujifunza na kusimamia kile unachokiaminiaah nimekupata tujikite kwenye nuksi.
Endapo Mungu ameweka maji ya chumvi kutoa nuksi endapo utayaoga So nikisema "maji ya chumvi yanatoa nuksi hii ni Shirki.
Niliwahi kupitia hiki kipindi naongea kwa uzoefu. Ila Mungu aliponitambulisha akanipa kufanya kile kile nilichosomea. Glory to God.Amen
Niaje best??Jamaa una mikwaraaa...Kama ya Sipunda ..hahhaa nimepata tempo ya uber
Hapo kwenye Mungu ndo hali inakua tete zaid.Tulio na iman za kuunga unga sijui itakuajeNiliwahi kupitia hiki kipindi naongea kwa uzoefu. Ila Mungu aliponitambulisha akanipa kufanya kile kile nilichosomea. Glory to God.
Hapo kwenye Mungu ndo hali inakua tete zaid.Tulio na iman za kuunga unga sijui itakuajeNiliwahi kupitia hiki kipindi naongea kwa uzoefu. Ila Mungu aliponitambulisha akanipa kufanya kile kile nilichosomea. Glory to God.
Shwanga...adimu sana best..ni +255 hii au code zingine!Niaje best??
Niliwahi kupitia hiki kipindi naongea kwa uzoefu. Ila Mungu aliponitambulisha akanipa kufanya kile kile nilichosomea. Glory to God.
If you want to be full you must be empty.Unaweza kuanzisha kitu from nothing ??
It's truIf you want to be full you must be empty.
Oya liutopolo monopoly inc una maoni yoyote hapa.If you want to be full you must be empty.
Mimi pia nilipitia sana magumu ambayo huyu ndugu yetu anayapitia kwa sasa. Tuzidi kumuombea kwa Mungu milango ya neema imfungukie.Niliwahi kupitia hiki kipindi naongea kwa uzoefu. Ila Mungu aliponitambulisha akanipa kufanya kile kile nilichosomea. Glory to God.
Amen. Mungu si kiziwi hata asimsikie.Mimi pia nilipitia sana magumu ambayo huyu ndugu yetu anayapitia kwa sasa. Tuzidi kumuombea kwa Mungu milango ya neema imfungukie.
uwiii nina mambo mengi kama ngano....nkumbushage shostiii ujue ww ni mke mwenzangu maana wote tumepelekwa moroo (au nakosea)??Mamy Kuna kaishu uliwah dokeza vipi kameendaje
omba kwa imani yako. kuna nguvu kubwa sana kwenye imaniHapo kwenye Mungu ndo hali inakua tete zaid.Tulio na iman za kuunga unga sijui itakuaje
๐๐๐... Hatari Sana. Kuna sehem ulisema unataka kutia Nia! .na bado nakukumbusha tuliwahi sema tuzamie ๐๐ nahangaika na nauli hapa๐๐uwiii nina mambo mengi kama ngano....nkumbushage shostiii ujue ww ni mke mwenzangu maana wote tumepelekwa moroo (au nakosea)??
Nipo mwanangu.Shwanga...adimu sana best..ni +255 hii au code zingine!
Oya liutopolo monopoly inc una maoni yoyote hapa.