Vibarua viwandani au part time job kwa hapa Dar es Salaam zinapatikana wapi?

Nipo serious sister labda ufuate under 18 (kuna mvua 30 huko) ila hawa ambao wanataka kuolewa kabla hawajachuja ni kujitia stress tu. Sababu hata vile vitu vyepesi tu vya kumsaidia utashindwa na uvumilvu una kikomo pia.
Nadhan kutaka mambo makubwa kuliko uwezo wako ndo mnajikita mnafikia hapa..wewe utadate vipi na sistaduu na huku unajua huna kitu bro?Kuna kila tabaka linahitaji kupendwa..anywys
 
Yes yes[emoji1787][emoji1787][emoji28]
Mie nnapenda matumizi...! Yaan sioni ishu kuchoma hela..Sasa hao unaowakuta tayari Wana hela zao mie naonaga wananyanyasa Sana...sitaki.. wachache Sana wanaoweza kukupimp utakavyo..
Kuna wanaume anakutana na mwanamke..kazinyake ni kumsindikiza tunkwejye deals Zake..akinunua kiwanja atakuchukua akawe shahidi upande wa kununua...atakula Bata tu na wewe lakini akushike mkono walau akupe mchongo hakuna😏😏😏! Kila siku unapigwa kiyoyozi tu kwenye ndinga lake...akuuuu🤸🤸🤸
 
Nadhan kutaka mambo makubwa kuliko uwezo wako ndo mnajikita mnafikia hapa..wewe utadate vipi na sistaduu na huku unajua huna kitu bro?Kuna kila tabaka linahitaji kupendwa..anywys
😂😂😂 katika kitu mtu hutakiwi kucompromise ni yupi unaemtaka awe mwenza wako umridhie kabisa, na ukiwa mwanaume ili uwe on a safe side kua na uwezo wa kujikimu la sivyo utatia huruma sana.
 
Haha haha

Hata huyo anayefight siku akichomoka anaona we sio size yake, Bora nikukute nazo
 
pole sana mkuu
 
Mkuu kwenye interview hatuendagi hvhv unang'arishwa nyota kwanza, ukiendelea hv utaendelea kuwa mhudhuriaji, interview18, siku nyingine ukiitwa kwenye interview niambie nitakushughulikia kwa gharama zangu then utanilipa ukishaanza kupokea mshahara.pambaf hamuijui African chemistry.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…