Ni kosa kosheria kuva nembo za taifa la tz , iw e culture, zile skafu, au kupeperusha bendera zenye bedera ya tzyaani watu baadala ya kuonyesha uzalendo kwa kutumia bendera za nchi zao na asili za mababu zao wako busy kutukuza mataifa mengine, purely brainwashed Africans.
Huu mimi naona ni ushamba, ulimbukeni na ujuha Mtanzania mzaramo/mnyaki /msukuma/ Mchaga eti analitukuza Taifa la Israeli baadala ya kuitukuza na kuipenda nchi yake Tanzania..
Wewe umejiita samurai hao kina samurai ni babu zako?yaani watu baadala ya kuonyesha uzalendo kwa kutumia bendera za nchi zao na asili za mababu zao wako busy kutukuza mataifa mengine, purely brainwashed Africans.
Huu mimi naona ni ushamba, ulimbukeni na ujuha Mtanzania mzaramo/mnyaki /msukuma/ Mchaga eti analitukuza Taifa la Israeli baadala ya kuitukuza na kuipenda nchi yake Tanzania..
Too sad.Na wale jamaa wakisema kesho tu, hii ndio nchi yao ya ahadi walioahidiwa lazima majamaa yawaunge mkono with reference to the bible.. yatakuwa tayari hata kuwaua wamakonde wenzao ili kuwasaidia waisraeli aka Taifa teule ( ukiwabariki nawe umebarikiwa reference ni bible ambayo imeandikwa na wenyewe)....
Na kwenye madhabau ya makanisa ya EAGTWakuu heshima kwenu.
Naomba tu kuuliza japokuwa najua kufuatilia mambo ya watu sio mchongo wala nini.
Huwa naona vibendera vya taifa la Israel kwenye magari ya watu ambao naamini kabisa ni Wabongo wenzetu.
Sasa wakuu naomba tu kuuliza what is the motive behind this? kunakuwa na affiliation gani na hili Taifa la Israel?
Au ni Waisraeli weusi wanaoishi bongo?
Yaani kabisa hili ni swali?
Wewe ni dhehebu gani?
Tuanzie hapo
Sasa kama waliweza muua yesu unafikiri nani atawaweza? Kidogo Hitler alijaribuIsrael Taifa teule...
Pale kwao wapo Milion Nane ila wamezungukwa na Waarabu zaidi ya Million 200 ila hakuna Mwarabu anae wasogelea[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hayo makabila uliyoyataja hapo nchi yao ni tanganyika sio tanzania.yaani watu baadala ya kuonyesha uzalendo kwa kutumia bendera za nchi zao na asili za mababu zao wako busy kutukuza mataifa mengine, purely brainwashed Africans.
Huu mimi naona ni ushamba, ulimbukeni na ujuha Mtanzania mzaramo/mnyaki /msukuma/ Mchaga eti analitukuza Taifa la Israeli baadala ya kuitukuza na kuipenda nchi yake Tanzania..
Hiyo bendera ni mungu aliwapa Waisrael?Wengi huwa ni Wakristo, na huamini kupeperusha bendera ya Israel ni sawa na kuonesha wanakubaliana na Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo(Isreal)
Wengi ni pambo tu kama wanavyovaa kacha za kinaijeria,kenya etc
Kama watu wote tuko sawa mbona kuna ambao wanawaita wenzao makafiri.hao nao wawaweke kundi gani?Tofautisha wa israel na Israeli kama nchi nyie mna kalilishwa vibaya kwasbb hamtaki kufanya utafiti kujua Mungu alikua anamaanisha nini katika hilo.....watu wote tuko sawa mbele ya Mungu hamnaga matabaka mbele ya Mungu
Ni wajinga wakilokole wanaodhani mabeberu wa kizayuni wa leo ndio wale mayahudi kwenye bibliaWakuu heshima kwenu.
Naomba tu kuuliza japokuwa najua kufuatilia mambo ya watu sio mchongo wala nini.
Huwa naona vibendera vya taifa la Israel kwenye magari ya watu ambao naamini kabisa ni Wabongo wenzetu.
Sasa wakuu naomba tu kuuliza what is the motive behind this? kunakuwa na affiliation gani na hili Taifa la Israel?
Au ni Waisraeli weusi wanaoishi bongo?
Hayo makabila uliyoyataja hapo nchi yao ni tanganyika sio tanzania.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Unajua Israeli inaongoza kwa Propaganda,. Na imewakamata wengiWakuu heshima kwenu.
Naomba tu kuuliza japokuwa najua kufuatilia mambo ya watu sio mchongo wala nini.
Huwa naona vibendera vya taifa la Israel kwenye magari ya watu ambao naamini kabisa ni Wabongo wenzetu.
Sasa wakuu naomba tu kuuliza what is the motive behind this? kunakuwa na affiliation gani na hili Taifa la Israel?
Au ni Waisraeli weusi wanaoishi bongo?