Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,510
- 6,877
Mkuu, fanya kile kitu kinacho kupa na wewe furaha, wao wameona wakifanya hivo wanasikia RAHA, fanya yako mkuu. Maisha mafupi, why uanze kujipa na stress zingine zisizo na mpango!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekosa mfano mwingine mpaka ukaamua kuutumia huo?Mambo ya imani hayo mkuu, kwenye Bible Israel katajwa kama mtu aitwaye Yakobo, halafu tena taifa lililotokana na huyo bwana likapewa jina la Israel...
Ni kama vile wewe unavyoamini Simba itakuwa bingwa pamoja na ubora wa kina Fiston Mayele & co
Suala la Waisrael kukana Ujio wa Yesu Kristo miaka zaidi ya 2000 iliyopita iliandikwa wazi kabisa kwenye Biblia na kwa wakati wa hukumu wao watajikomboa kwa nafsi zao wakati wa mateso ya Mpinga Kristo.Nimeshangaa sana kuona statistics zinasema ni asilimia mbili tu (2%) ya Waisrael ndo wakristu..
Nilidhani zaidi ya asilimia tisini watakuwa wakristo,kumbe nilikuwa opposite vibaya sana..
Wakristo tumeingizwa chaka nini na biblia?
Toa hapa stori za kutunga ungekua mpango wa Mungu Yesu asinge omba Mungu amnusuru kumondolea hicho kikombe cha kufia msalabani.........Kama hujui Sasa Kitendo Cha Wayahudi kumsulibisha Yesu Kristo Ni Jambo zuri Sana Sana kwetu Wakristo....na Wasingemsulubusha tungepata hasara kubwa Sana......
Wayahudi walifanya kazi Nzuri Sana mbele za Mungu Kumsulibisha Yesu
Kabla ya hapo hakukuwa na Taifa la Israel?Hao wa nabii wapya ndo wana potosha vijana wenye elimu duni na msongo wa mawanzo, eti nchi ya ahadi ni Israel......wakati israel hiyo imeundwa 1948.
Vipi wanaotundika Rozari kwenye gari? Maana yake nini?Hai-make sense kabisa..
Mkuu hilo taifa la Israel lilikua wapi prior vita ya dunia ya pili, tukumbushane vizuri, unajua kwamba Russia kama nchi ina wa Israel kuliko isreal yenyewe,Kabla ya hapo hakukuwa na Taifa la Israel?
Iliundwa kwa Mara ya ngapi?
Hiyo ni zaana ya kufanyia ibaada mda wowoteVipi wanaotundika Rozari kwenye gari? Maana yake nini?
Kuna Mahali popote kwenye Biblia Tumeambiwa Tutumie Rozari??Hiyo ni zaana ya kufanyia ibaada mda wowote
Zaana zina buniwa mkuu, sio lazima ziandikwe kwenye bibulia, kuna sehemu yoyote imeandikiwa kutumia mic [emoji441] na speakers[emoji344] kanisani? Lakini sizinatumika kila mahala.Kuna Mahali popote kwenye Biblia Tumeambiwa Tutumie Rozari??
Nafahamu sana historiaya Israel, its obvious Russia ni Taifa kubwa zaidi Europe iliyoextend mpaka Asia, mimi nimekuuliza Taifa la Israel limeundwa upya 1948 au lilishakuwepo kwa karne nyingi nyuma kama Taifa then likadisappear?Mkuu hilo taifa la Israel lilikua wapi prior vita ya dunia ya pili, tukumbushane vizuri, unajua kwamba Russia kama nchi ina wa Israel kuliko isreal yenyewe,
Kama ni ''Zana'' una uhakika sio Idolatry?Hiyo ni zaana ya kufanyia ibaada mda wowote
Sasa huyo ambaye ameweka kabendera ka Israel kama zana ya Imani yake kwa Mungu wa Israel ana tofauti gani na aliyeweka Rozali kama zana ya Imani yake ya kirumi?Zaana zina buniwa mkuu, sio lazima ziandikwe kwenye bibulia, kuna sehemu yoyote imeandikiwa kutumia mic [emoji441] na speakers[emoji344] kanisani? Lakini sizinatumika kila mahala.
Mkuu Yesu alisema hayo maneno kwa Sababu aliogopa KifoToa hapa stori za kutunga ungekua mpango wa Mungu Yesu asinge omba Mungu amnusuru kumondolea hicho kikombe cha kufia msalabani.........
Modern israel state umeundwa na UN baada ya vita ya dunia ya pili, manzoni UN elipendekeza hilo taifa liunde Africa kwenye British East Africa colonies, kwa kuchukua sehemu ya uganda kasikazini na sehemu ya Kenya magharibi, ila uingereza ikakata kata kata, ndo maana wakaamishiwa maeneo ya Palestine na Jordan mwaka 1948Nafahamu sana historiaya Israel, its obvious Russia ni Taifa kubwa zaidi Europe iliyoextend mpaka Asia, mimi nimekuuliza Taifa la Israel limeundwa upya 1948 au lilishakuwepo kwa karne nyingi nyuma kama Taifa then likadisappear?
Bendera za marekani mbona hujauliza na ni nyingi kuliko za Israel.Ndio ni swali..
Mimi ni RC
Wengi huwa ni Wakristo, na huamini kupeperusha bendera ya Israel ni sawa na kuonesha wanakubaliana na Mungu wa Ibrahimu/Isaka na Yakobo(Isreal)...
Huo ushoga..mbona hata kule ni sunna mzee au unaongelea ushoga gani?Israel na Marekani ndio wababaishaji wakubwa wanapigania haki sawa kwa wote ili kueneza ajenda mbili; moja ni mwanamke kutokumheshimu mwanaume na ya pili kueneza ushoga.