Vicky Kamata afunga Ndoa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Dk. Likwelile

NAHISI HUYU DK ANAITAMANI SEGEREAA AISEE ANAJUA KILICHOMFUNGA BABUNYEYA??
 

I agree....na aliye na miaka 40 kwenda mbele na hana mke zaidi ya mmoja na awe wa kwanza kutupa jiwe kwa wanadamu hawa....
 
Huu ndio ukweli tena ukweli mchungu...
 
iki ndo chanzo cha Kanata, haaaaaaaaaaaa! vick kamata kula mshahara B.O.T? au? nijuzeni wadau
 
Ukatoliki ni dini ya kupanga hata Papa Benedicti alisema hilo ndio maana kuna mizengwe isiyo na maana. Mwanaume hana mke na mwanamke hana mume lakini bado unazusha vizuizi. Ndo maana Dk Slaa akaenda kuoa Canada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…