Usilazimishe Msoto ulioupitia au Wazazi wako Kukopo hovyo ili Usome ndiyo uwe ni kwa Kila Mtu hapa JamiiForums sawa? Wengine Wazazi wao walijua maana ya Kusevu ( Saving ) na pia walikuwa na Connection nyingi abroad and overseas hivyo Watoto wao hawakusoma kwa Mkopo bali walisoma kwa Uhuru, Amani na Furaha tele tu.Mkeo akiwa kwenye vicoba..
Piga talaka 6 ..
Anyway hao wanawake wanapitia mengi sana kwenye ndoa zao, unakuta mwengine singo maza na ana watoto pia wanasoma.
Ada, sare anatoa wapi? Kama sio huko vicoba.
Watoto wana survive sikuhizi kwa sababu ya vicoba.
Pia wengi wetu humu tumesomeshwa kwa mikopo japo hakuna anayekubali.
Baba yako alipoweka bondi shamba ili ukasome chuo nako si mkopo tu?
Tuilaumu serikali maisha hayaelezi kabisa.
R.I.P Johari TarimoHabari za Jumapili?
Vikoba vimekuwa ni chanzo cha ugomvi katika familia nyingi.
Imefikia wanawake kuliwa na bodaboda nk kwa lengo la kupata pesa kwa ajili ya kulipa marejesho.
Wanawake wengine kutokuwa na hamu ya mapenzi kwa kuwa na dress za kutosha kutokana na madeni ya Vikoba.
Wanawake wengine hunyang'anywa fenicha kutoka na madeni ya Vikoba.
Sasa wamefikia hatua hadi ya kujiua ili kukimbia madeni ya Vikoba.
Rai yangu kwa wanawake waache tamaa za kukopa pesa za vikoba ili kufanyia matumizi ya kawaida kama kununua nguo, kusuka, wigi nk mwisho wake huo mbaya sana.
Bora mdange mtaaumiza sehemu zenu za siri na kupata magonjwa lakini sio kukopa vikoba na kutumia kwa anasa mtaadhirika sana!!View attachment 2330762
Hicho kinaitwa Chama cha Kufa na Kuzikana sio KikobaNot necessarily
Kuna wanawake nawajua wamenunua viwanja na magari na wengine wanasomesha Watoto shule nzuri kwasababu ya vikoba.
Inategemea na mindset ya mwanamke na malengo yake.
Kuna Wanaume wengi tu sikuhizi wanawasapoti wake zao wacheze hata majina zaidi ya 5, siku wakivunja kama kina watu wengi hata M50 wanachukua...pia kumbuka ile riba inayorejeshwa ni Akiba yake tena kila mwisho wa mwaka.
Warda na wewe uko kwenye vicoba ?Katibu hapa naongea.
Juhudi,wanawake na maendeleo.
Haugawi kipochi manyoya nje?Walaumiwe wanaume wengi wamekuwa wanaume suruali hawahudumii familia zao matokeo yake wanawake wanapata stress za kiuchumi. Pumbav kabisa
Mume wangu popote ulipo nakupenda sana unanihudumia ipasavyo vicoba navisikia tu
Tatizo lenu ni kujiingiza kwenye vikoba bila shughuli rasmi😀 huku ukitegemea marejesho uombe kwangu! Huo ujinga siupendi kuusikiaKuna sisi ambao tunapata baraka na sapoti kubwa sana kutoka kwa waume zetu....na sisi ni kundi hili au sisi ni spesho
Mimi nataka kuanzisha kiHAND-BAG njoo, nitakukopesha.Ntatafuta kikoba kipya....walau niwe na viwili
Not necessarily
Kuna wanawake nawajua wamenunua viwanja na magari na wengine wanasomesha Watoto shule nzuri kwasababu ya vikoba.
Inategemea na mindset ya mwanamke na malengo yake.
Kuna Wanaume wengi tu sikuhizi wanawasapoti wake zao wacheze hata majina zaidi ya 5, siku wakivunja kama kina watu wengi hata M50 wanachukua...pia kumbuka ile riba inayorejeshwa ni Akiba yake tena kila mwisho wa mwaka.
kudanga si kitu chema,na huwa wanajiunga baadhi yao hawawashirikishi waume zao.Pia makundi ni tatizo mtu huna biashara wala jambo muhimu unakopa kwanini?Hela unayotafuta kwa bidii jiwekee akiba mwenyewe.Habari za Jumapili?
Vikoba vimekuwa ni chanzo cha ugomvi katika familia nyingi.
Imefikia wanawake kuliwa na bodaboda nk kwa lengo la kupata pesa kwa ajili ya kulipa marejesho.
Wanawake wengine kutokuwa na hamu ya mapenzi kwa kuwa na dress za kutosha kutokana na madeni ya Vikoba.
Wanawake wengine hunyang'anywa fenicha kutoka na madeni ya Vikoba.
Sasa wamefikia hatua hadi ya kujiua ili kukimbia madeni ya Vikoba.
Rai yangu kwa wanawake waache tamaa za kukopa pesa za vikoba ili kufanyia matumizi ya kawaida kama kununua nguo, kusuka, wigi nk mwisho wake huo mbaya sana.
Bora mdange mtaaumiza sehemu zenu za siri na kupata magonjwa lakini sio kukopa vikoba na kutumia kwa anasa mtaadhirika sana!!View attachment 2330762
Haya chaha!!Ninachojua na nina uhakika nacho Kiuzoefu ni kwamba 90% ya Wadada / Wanawake walioko katika VIKOBA ni Wasaliti kwa Waume na Wapenzi wao halafu ndiyo Wanaongoza kwa Uwongo na ni wapenda Ushirikina huku wakiwa na PhD's za kupenda Majungu na Wivu wa Kipumbavu.