Video: Afande IGP Sirro anamjibu nani hapa?!



Mbowe alikuwa na Gari la KUB na dereva Kenya na alipoambiwa alirudishe maneno yake uliyasikia kipindi kile.

Hivyo na ieleweke kwa kila mtu Polisi na vyombo vya dola vingine ni Resources available kwa chama kinacho tawala na serikali yake kufanya nchi iongozeke.
 
Polisi na vyombo vya dola siyo kwa ajili ya chama bali taifa.

Wanatakiwa wawe tayari kufanya kazi na chama chochote (ustaarabu na akili nzuri).

Vyama vitapita lakini taifa litakuwepo. Ni muhimu kwa raia/mwananchi (citizen) aelewe kuwa pamoja na chama chake, wananchi ni wamoja na wanaunganishwa na taifa moja lililokuu kuliko vyama.

Vyombo vya dola ikiwemo polisi wanatakiwa kushirikiana kudhibiti viongozi wa vyama wanaovunja katiba ili kulinda taifa lisiparaganyike na kamwe wasishiriki kuvunja katiba.
 
Kweli wanafanya kazi zao. Nenda karipoti simu imepotea uone cha moto.

Nenda kawaambie una madini unahitaji usalama wao. Nenda kawaambie kuna mkusanyiko wa wanachama wa vyama kinzani.

Nenda kawaambie watoa milioni 100 benki wahitaji usalama wao. Nenda kawaambie unatoa ripoti ya rushwa kwa mmoja wa askari mwenzao…
 
Nchi imejamba hii, kila mmoja na lwake, vururu vururu..!
 
Yote ni yote, ila sio heshima, kweli jeshi linafanya madudu, hivyo mkuu akae kimya? Mkuu pia anahitaji heshima, si kusema sema kwa kuzunguka zunguka, mwenyewe akitambua atajisiaje? Kama nafasi inakushinda unaaga kiustaarabu, ni kawaida, unaweza kujitahidi kurekebisha ila inashindikana, hivyo unaomba kupumzika!
 
Mama aache mipasho ya kwenye majukwaa. Anapaswa kujitambua kuwa yeye ndiye kiongozi mkuu wa nchi, na hivyo vyombo vyote anavyovipasha kwenye majukwaa ni vyake/viko chini yake. Kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi kwa vyombo hivyo ni ishara tosha ya kushindwa kufanya kazi kwa ufanisi kwa anayevisimamia!
 
Sio kwa matakwa ya Katiba ya JMT?
Watu bado hawaelewi hili, Samia yupo hapo kwa roho nzuri walizoonyesha wakuu wa ulinzi wakati ule wa msiba.

Bila wao tayari alikuwa kapigwa bao.
 
Mimi nauliza wale wapuuzi wa CCM Kuna yoyote aliyeitisha press kumsema Sirro kama walivomshambulia Ndugai?

Sirro ameonesha uanaume, form 4 failure asiyejua mambo ya Nchi anasimama kwenye jukwaa anabishana na mtaalam.

Huyu kilaza anadhani Polisi wakiaamua kutofanya kazi kama miaka nyuma na kuacha Chadema waruhusiwe kuandama Chama chake kitaendelea kukaa hapo.

Fikiria Police waamue kuacha kuwasaidia CCM Kwenye vituo vya kuhesabia kura.

Yaani tumepata funzo never again Form 4 failure na mtu mwenye Elimu ya kuunga unga kuwa Rais
 
Acha kukariri aliyemtolea bastola nape hayupo hapo! Mitandao sio poa!
 
Kama tulivyopata funzo ya kutorudia tena kumuweka mhutu kwenye kiti kile.
 
Maza anafokewa....😎
Na Siro amesema nanukuu: "kama hauwezi kuamini chombo chako...." mwisho wa kunukuu...teh😂
Kanda maalum kule kuna watu wanaitwa wanaume na moja na kazi zao ni kufokea wanawake .

IGP Siro Anatoka kanda maalum.asilaumiwe kwa kumfokea
 
Ccm hawana shukrani pamoja na Kazi kubwa aliowatendea siro ya kuwapa ushindi wamemuwashia taa nyekundu.
 
Nani alikuambia igp alikuwa anajua. Masshuuz jazz band😏😏
 
Mama na Sirro hawaivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…