98% ya JF member hata kama Wana hizo pesa wangeweza kumto.mba HAMISA na sio Hamisa mwanamke yeyote anato.mbeka akijichanganya,ila sio kuoaWakaka wengi wa jf wanazidi kusonya, wanatamani wangemmiliki Hamisa ila tatizo hawana fedha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
98% ya JF member hata kama Wana hizo pesa wangeweza kumto.mba HAMISA na sio Hamisa mwanamke yeyote anato.mbeka akijichanganya,ila sio kuoaWakaka wengi wa jf wanazidi kusonya, wanatamani wangemmiliki Hamisa ila tatizo hawana fedha.
Waongezee tenaKila la heri kwao, naona kataa ndoa wamekasirika kweli kweli.
Tuwazomeee "ooooooooooooooo😜😯😯
acha dharau basi ana nini cha ajabu kwani?Wakaka wengi wa jf wanazidi kusonya, wanatamani wangemmiliki Hamisa ila tatizo hawana fedha.
Labda bidada hakumuelewa tu mwambaSema mbona yule vunja maprice mpunga alikuwa nao shida na yeye dada zilikuwa nyingi.Mali kama hiyo unaanza story za dada dada ,hovyo kabisa.Weka ndani chombo hiyo unaijaza back to back kama mara mbili na wewe unakaa unapunga upepo
Oooooooo😯😯😂Waongezee tena
Ikawe kheri isije kuwa ndoa za Ramadhani 🤪🤪Wakuu
Fundi wa ball ashavuta jiko
Aziz Ki amekamilisha kiapo cha ndoa msikitini na rasmi ni mume wa Hamisa Mobetto.
View attachment 3237737
Soma, Pia
Pesa tamu hayo yote hayaonwi mkuu
Hamisa hawezi kwenda huko west Africa kuishi na Ki, hii ndoa ni kwa ajili ya mwezi mtukufu tuu. Baada ya hapo ni majaaliwa.Wametrend kweli
Dawa ya kayuguyugu hapo alipo haelewi kwann kafunga ndoa siyo akili yake haipo sawa hapo ndo maana anashangaa tu.
Naunga mkono hoja 🤣 😁Wakaka wengi wa jf wanazidi kusonya, wanatamani wangemmiliki Hamisa ila tatizo hawana fedha.
Like gagulo la ngomani mkuu,kuna kitu inaitwa kinyaa.Wakaka wengi wa jf wanazidi kusonya, wanatamani wangemmiliki Hamisa ila tatizo hawana fedha.
Mkuu, hii kayuguyugu ndo GUSA UNASE? 😹😹😹😹
Siyo type yàke, hamisa ànataka wahuni siyo limbukeni.Mbona kama ana wasi wasi sana
Kila nikikumbuka ya Marehemu Ndikumana, sipati picha...Mi naona mwamba katekwa sema hajui tu😀😀
Hii hatari ukipigwa hii leo kesho unatangaza ndoa hata kama utakosa mshenga unaweza shangaa unakodi mtu awe mshenga wako. Si unaona jamaa kaamua kumtumia Eng Hersi kufanikisha jambo😁😁😁