Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ningekuwa raisi ningekuwa kiongozi katili ambae hajawahi tokea ujinga kama huu nafutilia mbali wahusika.nitajibu kwa Mungu.Ukiwaweka selo si ndo yatatifuana
Ndio maana ujakuwa raisi wala kiongozi kwenye ukoo wako.Mimi ningekuwa raisi ningekuwa kiongozi katili ambae hajawahi tokea ujinga kama huu nafutilia mbali wahusika.nitajibu kwa Mungu.
Hofu bila ukatili haiendi...maadili yanatengenezwa.Ndio maana ujakuwa raisi wala kiongozi kwenye ukoo wako.
Dunia uwezi kubadilisha kila mtu.
Kikubwa maadili na hofu ndio ya kukazaniwa
Kweli nyimbo za sasahivi zinaalibu watu sana na tiktokNa aina ya maisha tunayoishi
Tunaigaiga tamaduni za wenzetu
Bado nalia na haya mamiziki sahv
Na sanaa kwa ujumla inazidisha sana
Mambo ya kishoga
Ova
Mashoga kibao wako kwenye mediaUkweli usemwe tutaficha mpaka lini?? Tufanya kawaida hata hawa tunao walea wakuwa wakiona kawaida.....
Sasa ukatili ungeanzia hapoMashoga kibao wako kwenye media
Na sanaaa wanajiachia tu huko
Wanatumia nguvu nyingi kujitangaza
Na kushawishi watu wawe kama wao
Ova
Watu wakisema ohh mnawaonea wivuKweli nyimbo za sasahivi zinaalibu watu sana na tiktok
Wanaogopa kutumbuliwaViongozi,wakuu wa mkoa wakuu wa wilaya wapo kimya
Matamasha yote huko ni ushoga ushoga tu
Ova