Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu atusaidie kuwalea katika njia iwapasayo...naaamini hata na wewe ni mzazi kama sio utakuja kuwa...kulea kwa sasa tunahitaji nguvu ya Mungu..sio kwa kushinda makanisani au misikitini bali kwa kuomba individualy kama mzazi na ukae krb na wtt wako kama mzazi..otherwise we are finished...Zinafungwa na nani! sasa tatizo ni moja labda wafunge mitandao kwa muda . Ni kweli video kuendelea kusambaa ni athari kubwa ila hii uja pale mtu anapotaka ushahidi tambua watu usema me sikubali siyo yey mtu ujikuta unamtumia ili amini. Na kusambaza video sio kwa lengo baya ni kukufungua akili wewe mkanye mwanao acha kulea watoto kama mayai.
Ulikuwa polisiImekaa vibaya,hii haijatulia ,imekaa vibaya.kuanzia leo mimi sio polisi Tena.kali p
Haya mambo hayana cha ukristo au uslam wote wamoooMwanangu hali ni mbaya sana hivi hata sisi wananchi tunakuza mambo yenyewe, ikitokea upande wa wakristo, waislamu wanacheka, na ikitokea kwa waislamu wakristo wanacheka bila kujua ni kama wanakuza hilo suala
Sasa watoto kuanzia asubuhi mpk jioni anasikiliza bongo fleva,tv anaangalia maunoKama taifa tuwe na muongozo mpya wa maadili kuanzia malezi ya watoto wetu wakiwa wadogo, miongozo ya elimu, niliwahi kukutana na watoto Mkoa wa mara waliyonihadithia yanatisha wanaanza kufundishwa wakiwa wadogo kabisa lazima jamii sasa ione shida ni kubwa kuliko kishabikia
Hawa jamaa watakuwa ni wagonjwa wa akili.Ndo apo sasa tunakoelekea ndo balaa
Akaebdeleze uchoko wake huko alikoView attachment 2534450
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Niwape warning kwa wale wanaouchafua uislamu kwa kulinganisha na mambo ya ushoga , muislamu ni mtu kama wewe kila unachoweza wewe kufanya na yeye anaweza kukifanya ila uislamu umenyooka na ahuna dosari uislamu unapinga ushoga na mambo yote mabaya na mpaka adhabu mwenyezi mungu alishawai kuzitoa kwa binadamu kwa kufanya matendo kama ayo sasa, mnapousema uislamu kwa matendo ya muislamu mnakuwa mnaukosea sisi waislamu atujawai kuhukumu ukristo kwa matendo ya mkristo .. niishie apo kwa leo....
Nyimbo hiyo,ya mnyamwenzi kali pUlikuwa polisi
Askari ni kazi na nje ya kazi askari ana utaratibu wa maisha yake binafsi, jeshi la polisi litatoa ufafanuzi endapo kitendo hicho kilifanyika ndani ya vituo au ofisi zao; hata hivyo sidhani kuwa jeshi la polisi linao utaratibu wa kuwakagua maungoni askari wake walilalaje huko makwao.Nimesema... kuwa ushoga upo askari duh. Nimelia sana aisee ni msiba..
View attachment 2534416
Anahitaji msaada mkubwa vipi wakati wao awamu hii wametaka wajulikane kama wapo na wana haki zao!Daaaah.. Nahisi yule jamaa basha wa afande "mume" wake kaamua kuleta mambo yao ya hovyo hadharani..
Ni dhahiri kwa sababu yeye haonekani vizuri..
Ndhani serikali sasa ijikite kuwaadhibu vikali wanao sambaza video za hivi.
Hii video itaonwa na watakatifu waliopo duniani.. Wengi.. Na naamini ndiyo connection inayo spread kwa speed kubwa sasa.
Kwa kifupi wanao umia ni wengi; wanaume, wazanzibar, mapolis, watu wenye pua kubwa, watu wa dini yake, ndugu jamaa na marafiki zake mke wake ila sina uhakika kama kaoa"
Kwa sasa huyu jamaa ana hitaji msaada mkubwa sana wa kisaikolojia.
nitumie pm mkuuKunahaja kubwa ya jeshi zima kufanya ukaguzi kuna video imesambaa sana ya kijana wa jeshi shoga akizagamuliwa huko zanzibar dah aisee hv ili swala la ushoga serikali kama imelinyamazia hv hii ni hatar nimeangalia video mara60 siamini wadau tufanyeje ili hii hali isizidi kusambaa kwa kasi???dah