Video chafu ya askari wa kiume akiingiliwa inaleta picha gani?

Video chafu ya askari wa kiume akiingiliwa inaleta picha gani?

Zinafungwa na nani! sasa tatizo ni moja labda wafunge mitandao kwa muda . Ni kweli video kuendelea kusambaa ni athari kubwa ila hii uja pale mtu anapotaka ushahidi tambua watu usema me sikubali siyo yey mtu ujikuta unamtumia ili amini. Na kusambaza video sio kwa lengo baya ni kukufungua akili wewe mkanye mwanao acha kulea watoto kama mayai.
Mungu atusaidie kuwalea katika njia iwapasayo...naaamini hata na wewe ni mzazi kama sio utakuja kuwa...kulea kwa sasa tunahitaji nguvu ya Mungu..sio kwa kushinda makanisani au misikitini bali kwa kuomba individualy kama mzazi na ukae krb na wtt wako kama mzazi..otherwise we are finished...
 
Kama taifa tuwe na muongozo mpya wa maadili kuanzia malezi ya watoto wetu wakiwa wadogo, miongozo ya elimu, niliwahi kukutana na watoto Mkoa wa mara waliyonihadithia yanatisha wanaanza kufundishwa wakiwa wadogo kabisa lazima jamii sasa ione shida ni kubwa kuliko kishabikia
Sasa watoto kuanzia asubuhi mpk jioni anasikiliza bongo fleva,tv anaangalia mauno
Redion anafatilia mazungumzo ya kimbea ya kina lokole sjui kmbka

Ova
 
Majeshi yamechangia sana kukua kwa huu mchezo hasa Wanapokuwa vitani au kwenye operesheni ya muda mrefu.
Huwa wanarukiana sana.
Asian hasa Japan wanalaumu sana Majeshi mana wakati wa vita zilee za miaka Ile ndio waliochangia kushika kasi kwa mambo haya.
 
Ndo apo sasa tunakoelekea ndo balaa
Hawa jamaa watakuwa ni wagonjwa wa akili.

Nadhani kutakuwa na influence mahali ya kutaka kupunguza idadi ya watu kwa style hii, manake wanajua kabisa kama Me ataingiliana na Me mwenzie manake hawataweza kuzaliana, vivyo hivyo Ke akisagana na Ke mwenzie.

Tuungane kukataa huu Ufirauni, ni chukizo kwa Mungu lakini pia ni kinyume cha mila na tamaduni zetu
 
Kunahaja kubwa ya jeshi zima kufanya ukaguzi kuna video imesambaa sana ya kijana wa jeshi shoga akizagamuliwa huko zanzibar dah aisee hv ili swala la ushoga serikali kama imelinyamazia hv hii ni hatar nimeangalia video mara60 siamini wadau tufanyeje ili hii hali isizidi kusambaa kwa kasi???dah
 
Kama hapa ofisini kwangu kuna kaka nilikuwa namheshim alikuwa karibu mno na kijana wangu wa kazi siku kijana ana nambia jamaa ana mlazimisha amkule tena kwa kunionesha sms kwenye simu nilishangaa mno 😳😳😳 jamaa ana Mwanamke anaishi nae.Kwa kweli tuombe sana Mungu atuepushe na vizazi vyetu.
 
Unaendeleza uovu.

Wakati mwingine kitu unapokikemea Sana ndiyo unakifanya kikae kichwani kwa watu. Kuna ambao watauja pm kukuomba hiyo video kwa sababu tu wewe umeanzisha uzi na wao wakauona. Na huwezi jua katika hao ambao wanaona hiyo video badala ya kupinga,kinyume chake watashawishika kutaka kufanya au kufanyiwa. Hii huwa ni Vita ya nafsi,binadamu ni kiumbe mwenye kupenda kujaribu Sana.

Kitu kinachoimbwa Sana ndicho chenye kukaa kwenye akili (minds) za watu. Unaongeza tatizo.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Niwape warning kwa wale wanaouchafua uislamu kwa kulinganisha na mambo ya ushoga , muislamu ni mtu kama wewe kila unachoweza wewe kufanya na yeye anaweza kukifanya ila uislamu umenyooka na ahuna dosari uislamu unapinga ushoga na mambo yote mabaya na mpaka adhabu mwenyezi mungu alishawai kuzitoa kwa binadamu kwa kufanya matendo kama ayo sasa, mnapousema uislamu kwa matendo ya muislamu mnakuwa mnaukosea sisi waislamu atujawai kuhukumu ukristo kwa matendo ya mkristo .. niishie apo kwa leo....

Leo yamekua hayo,ninyi si ndio kila siku kuushambulia ukristo kuwa umeruhus huo ufuska,absurd
 
Nimesema... kuwa ushoga upo askari duh. Nimelia sana aisee ni msiba..
View attachment 2534416
Askari ni kazi na nje ya kazi askari ana utaratibu wa maisha yake binafsi, jeshi la polisi litatoa ufafanuzi endapo kitendo hicho kilifanyika ndani ya vituo au ofisi zao; hata hivyo sidhani kuwa jeshi la polisi linao utaratibu wa kuwakagua maungoni askari wake walilalaje huko makwao.
 
Daaaah.. Nahisi yule jamaa basha wa afande "mume" wake kaamua kuleta mambo yao ya hovyo hadharani..
Ni dhahiri kwa sababu yeye haonekani vizuri..

Ndhani serikali sasa ijikite kuwaadhibu vikali wanao sambaza video za hivi.

Hii video itaonwa na watakatifu waliopo duniani.. Wengi.. Na naamini ndiyo connection inayo spread kwa speed kubwa sasa.

Kwa kifupi wanao umia ni wengi; wanaume, wazanzibar, mapolis, watu wenye pua kubwa, watu wa dini yake, ndugu jamaa na marafiki zake mke wake ila sina uhakika kama kaoa"

Kwa sasa huyu jamaa ana hitaji msaada mkubwa sana wa kisaikolojia.
Anahitaji msaada mkubwa vipi wakati wao awamu hii wametaka wajulikane kama wapo na wana haki zao!

Huoni humu hadi mods wanawaacha wanaandika ujinga ujinga wao hawapigwi BAN wala kuonywa ila tunaonywa sisi tunaojaribu kuwakataa?
 
Kunahaja kubwa ya jeshi zima kufanya ukaguzi kuna video imesambaa sana ya kijana wa jeshi shoga akizagamuliwa huko zanzibar dah aisee hv ili swala la ushoga serikali kama imelinyamazia hv hii ni hatar nimeangalia video mara60 siamini wadau tufanyeje ili hii hali isizidi kusambaa kwa kasi???dah
nitumie pm mkuu
 
Back
Top Bottom