Video chafu ya askari wa kiume akiingiliwa inaleta picha gani?

Shetani huangalia pakupenya. Shetani hurukia watu dhaifu kiroho. Kama imani yako imesimama, mambo machafu utakuwa unasimuliwa kama hivo.

Yeyote mwenye hofu ya Mungu ndani yake ni msafi.
 
Let's call a spade a spade, hivi vitendo,vilianzia ukanda wa pwani, na ukanda wa pwani Islam ndio wengi,
Na hivi vitendo vinachanzo chake ndani ya uarab na uislam!

Hapo unakuta alianza kuingiliwa akiwa mdogo kabisa na dingi yake, Hii Dunia hii, kule Arusha Kuna mwamba kawaingilia watoto wake wawili wa kiume!! madhara ya kukaa na ugwadu baaada ya kuachana na mke wake.
 
Tukisema haya mambo zenji ndio yamekita mizizi wake na wajukuu wa waarabu wanapandisha majini,haya mmejionea wenyewe namna gani hadi askari wao wanatinduliwa bila hofu,zenji kuna nuka nya.

Ukiona sehemu wanachuki na watu wengine hawataki muingiliano jua wanaficha maovu yao yaaijulikane,uchafu uchafu mtupu.

Tuwaombee shetani awatoe kwenye vifungo vyao.
 
Niwape warning kwa wale wanaouchafua uislamu kwa kulinganisha na mambo ya ushoga , muislamu ni mtu kama wewe kila unachoweza wewe kufanya na yeye anaweza kukifanya ila uislamu umenyooka na ahuna dosari uislamu unapinga ushoga na mambo yote mabaya na mpaka adhabu mwenyezi mungu alishawai kuzitoa kwa binadamu kwa kufanya matendo kama ayo sasa, mnapousema uislamu kwa matendo ya muislamu mnakuwa mnaukosea sisi waislamu atujawai kuhukumu ukristo kwa matendo ya mkristo .. niishie apo kwa leo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…