poa matako mazuri. umekula kwanza?Acha upumbavu dogo! Wewe na ukoo wako ndio vichaa!
Pana raia wangapi hapo? Faida za hilo bwawa ni kubwa mara elfu kuliko kuhamisha hao raia hapo. Jpm alituma nguvu zake kuweka hilo bwawa ili nchi iwe na umeme wa uhakika, it's na nyie mloobaki tumieni nguvu na akili zenu kutunza hilo bwawa na wananchi wanaolizunguka ili lilete faida za kiuchumi kwao?!
Kama ni hatari hivyo kwanini selikali isihamishe raia? Mbona Ngororo mmewahamisha?
By the way, si mlikuwa mnatwambia hilo bwawa halitakaa lijaemaji?
Labda unezaliwa mjini na hujawahi kutembea vijijini, naona unadhania ni vyepesi wananchi kujihamisha makao ya asili.Nilibase na negative comments za watu sio wewe ila na wewe sasa Serikali inazungumza mara ngap kuhusu watu wanaoishi sehemu hatarishi? Acha kutetea ujinga kwa kisingizio cha undugu, Sehemu kama sio salama kwako unapaswa kuondoka na sio kusubiri kila kitu hadi upate madhara.... Kama mwananchi una akili ya kujiongeza sidhani kama kutokana na unavyoona hali ya uchukuaji wa hatua iliyopo kwa viongozi wa Africa ungesubutu kuwategemea wao kimsaada.
Huo uzi wako ungelenga kuhamasisha hao watu wahame hiyo sehemu ningekuelewa lakini sio kuanza kuzungumzia bwawa as if serikali imekosea sana kulijengea kwaajili ya nishati.... Hao wananchi wakisubiri hadi kila kitu waambiwe watajikuta wanaogelea siku moja ndipo watakumbuka kwamba hii ni Africa sio Ulaya
Hata kama kungekuwa na raia watatu muhimu ni kuhamishwa ili kuokoa maisha ya binadamu kwa kuwa binadamu haishi mara 2. Thamani ya binadamu mmoja ni sawa tu na binadamu 60 Million.Acha upumbavu dogo! Wewe na ukoo wako ndio vichaa!
Pana raia wangapi hapo? Faida za hilo bwawa ni kubwa mara elfu kuliko kuhamisha hao raia hapo. Jpm alituma nguvu zake kuweka hilo bwawa ili nchi iwe na umeme wa uhakika, it's na nyie mloobaki tumieni nguvu na akili zenu kutunza hilo bwawa na wananchi wanaolizunguka ili lilete faida za kiuchumi kwao?!
Kama ni hatari hivyo kwanini selikali isihamishe raia? Mbona Ngororo mmewahamisha?
By the way, si mlikuwa mnatwambia hilo bwawa halitakaa lijaemaji?
Maji hayawezi kuzidi zaidi ya hapo ndio maana wamefungua milango 4 tu,hiyo milango ni maalum kwa ajili ya tahadhari kama hizo,na ndio maana wakaiweka 9,hapo ni shule kubwa sana imetumika mkuu sio kienyeji hivyo unavyofikiri,kwahiyo swala la kubomoka bwawa ondoa shaka,cha kuhofia tu ni hilo la mafuriko kwenye maeneo ya watu,hili linaonekana hakukuchukuliwa tahadhari ya kutosha,wapambane wanavyoweza ili kuondoa kabisa watu kwenye maeneo unapopita mto...View attachment 2957904
-- Bwawa limeelemewa na maji, namna ya kuliokoa lisivunje kuta zake ni maji kuachiwa, matarajio ni kwamba maji yataachiwa na lita 700,000 kwa sekunde zitamwagwa
-- Wananchi wameanza kuambiwa kuhama sababu maafa yanayokuja ni makubwa
-- UNESCO waonya kuhusu mafuriko kusabibishwa na bwawa, Mwalimu Nyerere aliambiwa kuhusu hii hali, Mwalimu akaona hapana tuachane na hili bwawa
-- Hili Bwawa linachangamoto moja, linamwaga maji wakati maji yanaelekea kwenye maeneo yenye shughuli za utalii, makazi ya watu na maeneo ya kilimo
-- Changamoto hizo zilionekana mwaka 1970 wakati huo kulikuwa na population ndogo rufiji
-- Kwa sasa serikali ina changamoto ya kulinda usalama wa bwawa kutovunjwa na maji, lakini pia kuzuia maji na kuyaachia kwa kasi pia, kwenye hii operation kama bwawa litavunjika litasomba rufiji yote na chochote mbele yake, Njia salama ni kuachia haya maji kama wanavyofanya sasa, lakini shida ni kwamba hawataki kuwaambia wananchi ukweli, wanatakiwa kuhamisha wananchi na kuwalipa usumbufu, kwa maji yanayokwenda kuingia kwenye bwawa ili bila kuyaachia kwa kasi bwawa zitavunjia
-- Makadirio ya kuachia maji ili bwawa liwe salama ni 700,000 lita kila sekunde , kwa maana nyingine ni kuachia maji ya kujaza uwanja wa mpira wa mkapa ndani sekunde 2 au chini ya hapo
Haya maji yanakwenda kusomba watu, serikali iwe wazi, maana kuna tahadhari ya mvua kunyesha,
-- Haya maji yakiachiwa yataijaza wilaya ya rufiji kwa kimo cha 1.8 mita , wilaya yote ya rufiji
-- Mbili haya maji yaliyoachiwa na yanayoenda kuachiwa sio ya kuzalisha umeme, ni kwamba maji yameingia kwa wingi kwenye bwawa na bwawa alina uwezo wa kuimiri hivyo wanayafungulia ili kingo vya bwawa zisije vunjwa, na wanaelekea kuachia maji mengi zaidi ili kuokoa bwawa sio kuzalisha umeme hapana ni kuokoa bwawa maana waliaenda kujenga bwawa kwenye eneo lenye mto mzito bila kuzingatia athari za mazingira, kujenga bwawa kwenye mto kama rufiji iliitaji tekinologia kubwa sana na pia fedha nyingi sana zilitakiwa kutumika kutokana na hali ya kijiography ya mto, kwa maana nyingine huu mradi ulikuwa ni hatari , mvua zikipiga basi lazima maji yaachiwe vya kutosha.
Kwa sasa wamefungua milango 4 tu na bwawa lina milango 9 na katika hiyo 4 ambayo ni chini ya nusu tayari rufiji imezama, sasa sijui wakifungua full scale itakuwaje yaani 9 ili kuokoa bwawa, na swali kubwa ni je ili bwawa liko salama? tutadumu na ili bwawa kwa muda gani kama haya maji yakijaa yanakuwa mengi kiasi kikubwa hivi ?
Mungu ilinde rufiji, Mungu walinde Watanzania
Nyerere aliamua kuachana na hili bwawa lkn akaja mshenzi mmoja mpenda sifa (jiwe) akakaza shingo. Sasa ujinga wake unaligharimu taifa.- UNESCO waonya kuhusu mafuriko kusabibishwa na bwawa, Mwalimu Nyerere aliambiwa kuhusu hii hali, Mwalimu akaona hapana tuachane na hili bwawa
Kweli kabisa. Source ya uzi wangu ni "The Chanzo" kutoka mtandao wa X, zamani TwitterMleta mada umesahau kuweka source yako ya Twitter ‘change Tanzania’ kutumia maandiko ya mtu neno kwa neno ni plagiarism. Hiyo post ishajadiliwa jana.
Yeye anadhani ukuta wa dam unaojengwa kwa miaka miwili ni sawa na ule wa nyumbani kwake unabomoka kirahisi rahisi tu.
Tanzania ni ichi kubwa SanaView attachment 2957904
-- Bwawa limeelemewa na maji, namna ya kuliokoa lisivunje kuta zake ni maji kuachiwa, matarajio ni kwamba maji yataachiwa na lita 700,000 kwa sekunde zitamwagwa
-- Wananchi wameanza kuambiwa kuhama sababu maafa yanayokuja ni makubwa
-- UNESCO waonya kuhusu mafuriko kusabibishwa na bwawa, Mwalimu Nyerere aliambiwa kuhusu hii hali, Mwalimu akaona hapana tuachane na hili bwawa
-- Hili Bwawa linachangamoto moja, linamwaga maji wakati maji yanaelekea kwenye maeneo yenye shughuli za utalii, makazi ya watu na maeneo ya kilimo
-- Changamoto hizo zilionekana mwaka 1970 wakati huo kulikuwa na population ndogo rufiji
-- Kwa sasa serikali ina changamoto ya kulinda usalama wa bwawa kutovunjwa na maji, lakini pia kuzuia maji na kuyaachia kwa kasi pia, kwenye hii operation kama bwawa litavunjika litasomba rufiji yote na chochote mbele yake, Njia salama ni kuachia haya maji kama wanavyofanya sasa, lakini shida ni kwamba hawataki kuwaambia wananchi ukweli, wanatakiwa kuhamisha wananchi na kuwalipa usumbufu, kwa maji yanayokwenda kuingia kwenye bwawa ili bila kuyaachia kwa kasi bwawa zitavunjia
-- Makadirio ya kuachia maji ili bwawa liwe salama ni 700,000 lita kila sekunde , kwa maana nyingine ni kuachia maji ya kujaza uwanja wa mpira wa mkapa ndani sekunde 2 au chini ya hapo
Haya maji yanakwenda kusomba watu, serikali iwe wazi, maana kuna tahadhari ya mvua kunyesha,
-- Haya maji yakiachiwa yataijaza wilaya ya rufiji kwa kimo cha 1.8 mita , wilaya yote ya rufiji
-- Mbili haya maji yaliyoachiwa na yanayoenda kuachiwa sio ya kuzalisha umeme, ni kwamba maji yameingia kwa wingi kwenye bwawa na bwawa alina uwezo wa kuimiri hivyo wanayafungulia ili kingo vya bwawa zisije vunjwa, na wanaelekea kuachia maji mengi zaidi ili kuokoa bwawa sio kuzalisha umeme hapana ni kuokoa bwawa maana waliaenda kujenga bwawa kwenye eneo lenye mto mzito bila kuzingatia athari za mazingira, kujenga bwawa kwenye mto kama rufiji iliitaji tekinologia kubwa sana na pia fedha nyingi sana zilitakiwa kutumika kutokana na hali ya kijiography ya mto, kwa maana nyingine huu mradi ulikuwa ni hatari , mvua zikipiga basi lazima maji yaachiwe vya kutosha.
Kwa sasa wamefungua milango 4 tu na bwawa lina milango 9 na katika hiyo 4 ambayo ni chini ya nusu tayari rufiji imezama, sasa sijui wakifungua full scale itakuwaje yaani 9 ili kuokoa bwawa, na swali kubwa ni je ili bwawa liko salama? tutadumu na ili bwawa kwa muda gani kama haya maji yakijaa yanakuwa mengi kiasi kikubwa hivi ?
Mungu ilinde rufiji, Mungu walinde Watanzania
Bila kusahau njombeHao wanyama wana eneo kubwa tu la kuhamia Selous ni kubwa sana inakutana na Mikumi na inasambaa mikoa ya Lindi, Ruvuma, Morogoro na Pwani
Duuu!!! Hadi huko!!!Bila kusahau njombe
"cha kuhofia tu ni hilo la mafuriko kwenye maeneo ya watu,hili linaonekana hakukuchukuliwa tahadhari ya kutosha,wapambane wanavyoweza ili kuondoa kabisa watu kwenye maeneo unapopita mto"Maji hayawezi kuzidi zaidi ya hapo ndio maana wamefungua milango 4 tu,hiyo milango ni maalum kwa ajili ya tahadhari kama hizo,na ndio maana wakaiweka 9,hapo ni shule kubwa sana imetumika mkuu sio kienyeji hivyo unavyofikiri,kwahiyo swala la kubomoka bwawa ondoa shaka,cha kuhofia tu ni hilo la mafuriko kwenye maeneo ya watu,hili linaonekana hakukuchukuliwa tahadhari ya kutosha,wapambane wanavyoweza ili kuondoa kabisa watu kwenye maeneo unapopita mto...
Hali tete huko hawa machawa hawajielewi jing tuUsiandike hovyo kama headless chicken Lucas Mwashambwa , hebu angalia hii clip ya mafuriko kwenye makazi ya watu
View attachment 2957933
Typical black man,huruma kwa nduguyake aliezaliwa nayo tu.Hao wanyama wana eneo kubwa tu la kuhamia Selous ni kubwa sana inakutana na Mikumi na inasambaa mikoa ya Lindi, Ruvuma, Morogoro na Pwani