Video: Imevuja! Wanasayansi Wakizungu wanaswa wakifanya michakato ya kuja kufanya majaribio ya chanjo ya Corona Afrika kwa kisingizio cha utafiti!

Video: Imevuja! Wanasayansi Wakizungu wanaswa wakifanya michakato ya kuja kufanya majaribio ya chanjo ya Corona Afrika kwa kisingizio cha utafiti!

Ww upo kwenye cheo cha "upumbafu"! Huwezi elewa! Kwani ukimwi ulitoka wapi? Mtu anakutengenezea kirusi, anakiingiza mwilini mwako, baadae anakuletea viijimisaada vya uongo na kweli, afu ww kwa uzuzu wako na umbulula wako unampigia makofi na kumtukuza kwa kumshukuru!? Upumbafu ni janga baya kuliko majanga yote yanayoweza mpata mwanadamu! Pole yako!
Kama na sisi Africa ni wajanja tutengeneze kirusi tuwaweke wazungu ili waje kuomba misaada ya madawa huku africa na tuwawekee masharti mengine mengine magumu
 
Unajua sababu? Sasa kuleta picha ya mtu mmoja hapa haina mashiko na nilijua tangu kitambo upo kichama zaid, sipo kichama hapa huyu jamaa alivuka mstari mwekundu, na cha kuongezea hayo ni madogo walofanya wakoloni hicho ni kidogo, sijui kama umesoma historia


Alimdhulumu nani ?? hata yamfike hayo ??
 
Unajua sababu? Sasa kuleta picha ya mtu mmoja hapa haina mashiko na nilijua tangu kitambo upo kichama zaid, sipo kichama hapa huyu jamaa alivuka mstari mwekundu, na cha kuongezea hayo ni madogo walofanya wakoloni hicho ni kidogo, sijui kama umesoma historia
Nitakuletea picha za Watanzania wenzetu waliuwawa na miili yao iko kwenye viroba
Mauwaji ya Watanzania huko rufiji
Azory gwanda Ben saanane Alphonce mawazo na Maelfu ya Watanzania wa huko Zanzibar waliouwawa na Wakoloni weusi
 
Nitakuletea picha za Watanzania wenzetu waliuwawa na miili yao iko kwenye viroba
Mauwaji ya Watanzania huko rufiji
Azory gwanda Ben saanane Alphonce mawazo na Maelfu ya Watanzania wa huko Zanzibar waliouwawa na Wakoloni weusi
Hatupo hapa kujadili uchama pelekeni mbali na siitajitahi izo picha au anzisha Uzi mwingine
 
Na sisi africa tungelikuwa na jitihada za kutafuta chanjo wala haya yasingekuwepo, so nilazima watufanyie majaribio kama malipo ya uzembe wetu kwasababu hata ikipatikana hatutoweza kuinunua tutasubiria tena tupewe bure.
So badala ya kukataa hii ishu kwa maneno, inatakiwa tuikatae kwa action kwa kuwaonyesha jeuri ya kuwa na sisi tunaweza kuwafanyia nyie majaribio vilevile
 
Wewe umewalaumu Wakoloni wa kijerumani sisi tunakuambia hawa Wakoloni weusi ndio hatari zaidi sasa unalalama nini?
Kumbe ulitaka nijibu unavyopenda wewe? Hatufani Mkuu Kila mtu na mtizamo wake hao wazungu hawakutoa hata nafasi ya kusema chochote tu, siitaji mtangange kubishana hapa tupo kwenye mada husika Tusilete uchama hapa, nakushauri fungua Uzi Mwingine unaohusu siasa.
 
A
Kuna mtu alimbambikizia kesi ?? aliiba bank ?? aliua, ??
Asee msomi huwa hadandii Gari Kwa mbele soma kichwa cha Mada unachafua hali ya hewa, Nenda kufungue Uzi kwenye jukwaa la siasa Msitake misimamo yenu tuifate au unishawishi ,Isiwe tabu Naenda kafungue Uzi jukwaa la siasa hapa mnaalibu mada husika unadhani utakuwa umeelewa.
 
Kumbe ulitaka nijibu unavyopenda wewe? Hatufani Mkuu Kila mtu na mtizamo wake hao wazungu hawakutoa hata nafasi ya kusema chochote tu, siitaji mtangange kubishana hapa tupo kwenye mada husika Tusilete uchama hapa, nakushauri fungua Uzi Mwingine unaohusu siasa.
0c4c53de6e70978e54126aaf71444609--witch-doctor-african-tribes.jpg
97f4e57da55e0842a5607e64ec28e4cd-1.jpg

Hawa hapa wataalamu wako waambie wafanye utafiti wa corona tuone
 
Na sisi africa tungelikuwa na jitihada za kutafuta chanjo wala haya yasingekuwepo, so nilazima watufanyie majaribio kama malipo ya uzembe wetu kwasababu hata ikipatikana hatutoweza kuinunua tutasubiria tena tupewe bure.
So badala ya kukataa hii ishu kwa maneno, inatakiwa tuikatae kwa action kwa kuwaonyesha jeuri ya kuwa na sisi tunaweza kuwafanyia nyie majaribio vilevile


Wakianza kupuputika watu kama inzi , tutaikubali kwa kuwafuatia wenyewe , Time will tell
 
Unajua sababu? Sasa kuleta picha ya mtu mmoja hapa haina mashiko na nilijua tangu kitambo upo kichama zaid, sipo kichama hapa huyu jamaa alivuka mstari mwekundu, na cha kuongezea hayo ni madogo walofanya wakoloni hicho ni kidogo, sijui kama umesoma historia
Acha ujinga wewe Bora mkoloni mzungu kuliko mkoloni mweusi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A
Asee msomi huwa hadandii Gari Kwa mbele soma kichwa cha Mada unachafua hali ya hewa, Nenda kufungue Uzi kwenye jukwaa la siasa Msitake misimamo yenu tuifate au unishawishi ,Isiwe tabu Naenda kafungue Uzi jukwaa la siasa hapa mnaalibu mada husika unadhani utakuwa umeelewa.

Ni kweli kama ukianza kufuatilia wewe msomi , ilifikaje hata issue ya Lissu ikaingia hapa , usidandie baiskeli maana hiyo si gari
 
Aseee Nendeni kwenye jukwaa la siasa huko, afu ndo wasomi eti,mnaalibu Uzi huu sina mda kureply comment zenu na cha ajabu sasa sijazima maana hamna la maana hap mlichoandika

Nenden kwenye jukwaa la siasa mkashilikiane kuandika Uzi huwa sina hurka za kubishana na uzuri sijasoma comments zenu hazina maana
 
Tunapiga kelele wakati chanjo zote hapa Tanzania zinatoka kwao...Hatutengenezi hata chanjo ya polio wakiamua kutest hiyo chanjo Hakuna mtu atajua.. Tulieni.


Suluhisho elekezeni wasomi wenu waingie Lab wafanye tafiti sio kukimbilia kuunga mkono kama Dokta Kigwangala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aseee Nendeni kwenye jukwaa la siasa huko, afu ndo wasomi eti,mnaalibu Uzi huu sina mda kureply comment zenu na cha ajabu sasa sijazima maana hamna la maana hap mlichoandika

Nenden kwenye jukwaa la siasa mkashilikiane kuandika Uzi huwa sina hurka za kubishana na uzuri sijasoma comments zenu hazina maana
e5d1c3db2ba24fabce9318c052d40b58-1.jpg

Haya wataalamu wako wakusaidie
 
Back
Top Bottom