VIDEO: Iran inaadhimisha Siku ya Jeshi la Kitaifa kwa gwaride kubwa la kijeshi, likiwa tayari kwa vita kamili

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.
Iran inaadhimisha Siku ya Jeshi la Kitaifa kwa gwaride kubwa la kijeshi, kuonyesha utayari vita kamili na ulinzi wa nchi na mafanikio ya hivi karibuni katika sekta hii.

Kumbuka Iran ndiyo nchi pekee iliyotengeneza makombora ya kilomita 2,000 pia wana makombora kila aina kama Shahab -1 Shahab-2 Shahab -3 pia wana Qiam wana Ghadr wana Zolfaghar missiles. Haya kwa uchache tu.

Pia wana Makombora na Silaha hawajawahi kuzitumia wamesena wanaweza kuanza kutumia dhidi ya Israel.

Pia wana silaha na makombora ambayo wamenunua Korea Kaskazini na Urusi wamezifanyia marekebisho.

Pia wana silaha ambazo ni siri yao wamesema pia.


View: https://x.com/presstv/status/1780532350788473034?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 

Attachments

  • IMG_3128.jpeg
    315.5 KB · Views: 6
  • IMG_3129.jpeg
    371.3 KB · Views: 6
  • IMG_3130.jpeg
    269.3 KB · Views: 7
Hii kwa Waisrael weusi Makombora ya Iran yanakwenda masafa marefu zaidi ya KM 2000 ni sawa Dar es Salaam to Sudan na yanapiga pale yalipotumwašŸ˜€
 
Hakuna haja ya 'Muajemi' kufanya mazoezi ya kivita...tayari alishauthibitishia Ulimwengu wote pasi na shaka yoyote namna alivyo njema na tayari kwenye majambo hayo. Alichokifanya Muajemi juzi kati kilishinda kiwango kilichotarajiwa (Biden mwenyewe alikiri hilo). Kwa sasa kila taifa linamuona Muajemi ni "NYO-KO"!
 
Cha kuchekesha Israel wanasema wamezuia 99% ya makombora ya Iran lakini hapo hapo wanaiomba Marekani na Umoja wa mataifa waiweke vikwanzo vikwazo vya Makombora Iran.
 
Cha kuchekesha Israel wanasema wamezuia 99% ya makombora ya Iran lakini hapo hapo wanaiomba Marekani na Umoja wa mataifa waiweke vikwanzo vikwazo vya Makombora Iran.
Ulitaka wasemeje
 
Kuonyesha siraha ni jambo moja, na kutumia siraha ni jambo la pili

Yale makombora yaliyofyatuliwa kuelekea Israel, mengine yameua wajodan badala ya kule yalikotumwa, huu ndo ushamba wa kutumia siraha
 
Cha kuchekesha Israel wanasema wamezuia 99% ya makombora ya Iran lakini hapo hapo wanaiomba Marekani na Umoja wa mataifa waiweke vikwanzo vikwazo vya Makombora Iran.
Leo wanasema asimilia 3 ya makombora ya Iran yalipiga target. Wameongeza kwamba makombora 9 ya ballistic yalipiga viwanja viwili vya ndege za Kijeshi na kusababisha uharibifu. Wameanza kusema ukweli
 
Kuonyesha siraha ni jambo moja, na kutumia siraha ni jambo la pili

Yale makombora yaliyofyatuliwa kuelekea Israel, mengine yameua wajodan badala ya kule yalikotumwa, huu ndo ushamba wa kutumia siraha
Jordan wamejitakia. Walianza kufungia Drone zinazoelekea Israel Kwa kiherehere Chao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…