Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lofa huyoMimi mlolkole wa Kigamboni Kanisani kwetu tumeweka bendera kubwa ya Israel.
Udini unakusumbua mvaa kobaziCha kuchekesha Israel wanasema wamezuia 99% ya makombora ya Iran lakini hapo hapo wanaiomba Marekani na Umoja wa mataifa waiweke vikwanzo vikwazo vya Makombora Iran.
walipigwaCha kuchekesha Israel wanasema wamezuia 99% ya makombora ya Iran lakini hapo hapo wanaiomba Marekani na Umoja wa mataifa waiweke vikwanzo vikwazo vya Makombora Iran.
Tafuta mahari ukampose FaizaFoxy, awe mkeo mnarandana.Kuna walokole humu JF walisema Irani warushe hata jiwe Israel waone watakavyochakazwa😃
Wanaukumbi.
Iran inaadhimisha Siku ya Jeshi la Kitaifa kwa gwaride kubwa la kijeshi, kuonyesha utayari vita kamili na ulinzi wa nchi na mafanikio ya hivi karibuni katika sekta hii.
Kumbuka Iran ndiyo nchi pekee iliyotengeneza makombora ya kilomita 2,000 pia wana makombora kila aina kama Shahab -1 Shahab-2 Shahab -3 pia wana Qiam wana Ghadr wana Zolfaghar missiles. Haya kwa uchache tu.
Pia wana Makombora na Silaha hawajawahi kuzitumia wamesena wanaweza kuanza kutumia dhidi ya Israel.
Pia wana silaha na makombora ambayo wamenunua Korea Kaskazini na Urusi wamezifanyia marekebisho.
Pia wana silaha ambazo ni siri yao wamesema pia.
View: https://x.com/presstv/status/1780532350788473034?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wanaukumbi.
Iran inaadhimisha Siku ya Jeshi la Kitaifa kwa gwaride kubwa la kijeshi, kuonyesha utayari vita kamili na ulinzi wa nchi na mafanikio ya hivi karibuni katika sekta hii.
Kumbuka Iran ndiyo nchi pekee iliyotengeneza makombora ya kilomita 2,000 pia wana makombora kila aina kama Shahab -1 Shahab-2 Shahab -3 pia wana Qiam wana Ghadr wana Zolfaghar missiles. Haya kwa uchache tu.
Pia wana Makombora na Silaha hawajawahi kuzitumia wamesena wanaweza kuanza kutumia dhidi ya Israel.
Pia wana silaha na makombora ambayo wamenunua Korea Kaskazini na Urusi wamezifanyia marekebisho.
Pia wana silaha ambazo ni siri yao wamesema pia.
View: https://x.com/presstv/status/1780532350788473034?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
😀😀😀 Wakasema Iran itamalizwa kabisa...waulize Kiko Wapi??Kuna walokole humu JF walisema Irani warushe hata jiwe Israel waone watakavyochakazwa😃
Kama Wanasema Mossad ni mabingwa hivi wameshindwaje wote Combine na CIA wanawasaidia kujua mateka waliko???Kicchapo alichochezea zayuni kutokea Iran na kinachoendelezwa na Hamas, Hizbollah na Wayemeni kimerudisha akili za mazayuni, kuna habari zime-leak kutokea Qatar, sasa mazayuni ni wao wanaomba poo Hamas wasimamishe kichapo Ghaza.
Hao hawana ubingwa wowote, wanategemea wasaliti ndiyo wafanikishe mambo yao.Kama Wanasema Mossad ni mabingwa hivi wameshindwaje wote Combine na CIA wanawasaidia kujua mateka waliko???
Kwahiyo mtume ana akili mbovu ?Akili kubwa huongelea maendeleo.
Akili za kawaida huongelea matukio.
Akili mbovu huongelea watu.
Si mmeruhusiwa kuoa wanawake hadi wanne bila kumwacha mke wa kwanza.Na Mama yako nimuache? Unadhani atakubali niongeze mke?