Video: Kumbe kabla Rais Samia kwenda kwenye UNGA - New York , waziri Liberata Mulamula alitangulia mwezi mmoja kabla. Why..?

kumuelewa lissu na kufuata anayotaka ni sawa na kujipaka kinyesi unatembea unanuka kama yeye anavyo nuka kuolewa mwanaume hakufai akili zimeshahamia kuleeeeee!!!!!!!!!!
Baba mbona umefura?? kwani kinachokuuma ni nini?? Sisi tumepewa tu taarifa kuwa Rais hakupata Fursa ya kupiga picha na Jo Biden.

Ni taarifa tu mbona mahipa unataka kukutoka??
 
Mkuu Wema Sepetu nae ni mmoja ya zawadi tuliyopewa na Mungu?. Imebidi nishangae.
 
Diplomasia ya kutaka sifa kwa mambo usiyofanya?

Hatushangai Waziri kwensa kufanya Lobbying. Tunashangaa kujitapa kwa wanademokrasia ambayo hamtekelezi lakini mnataka mkapate sifa.

Imekula kwenu. Dunia imebadilika achaneni na Mambo ya mwaka 47
Tatizo mnageuza vitu personal.

Nani asiye mnafiki hapa duniani?

Kwani rafiki mkubwa wa USA Middle East ni nani? Saudi Arabia ana demokrasia? Kwani Guantanamo inaendeshwa na nchi gani?

Anyways, my point is tusishangae Waziri wa mambo ya nje kufanya kazi yake. Hata huyo Chielema wa Zambia, hakuibuka tu White House.
 
Yes. A big diplomatic slap in the government's face. Bravo TAL.
 
Hivi lisu si kiongozi mkubwa CDM mbona yuko huko njee na anaendelea kujenga propaganda za kitoto yani za kitoto.


Eti kesi kama kesi aiwezi kutupeleka ikulu. Kitakacho tupeleka ikulu ni kazi. Kazi ipi hiyo CDM wana fanya zaidi ya kupinga maendeleo.

Never give up. Haya bana endeleni na mapambano
 
Umemtaja wema sepetu umemsahau yule aliyeimba wimbo " naheshimu madanga wa mke wangu",,[emoji1787][emoji23]
 
kumuelewa lissu na kufuata anayotaka ni sawa na kujipaka kinyesi unatembea unanuka kama yeye anavyo nuka kuolewa mwanaume hakufai akili zimeshahamia
Hapa ndipo MaCCM akili zenu huwa hazina akili kabisa kabisa.
Unaongea nini sasa wewe ,wakati mwenezi wako chama dola ameolewa Mombasa na usemi chochote, anajilia tu mema ya ndoa.
Sita alimbaka Bashite mpaka akazoea , atujaona mkilaani.. MaCCM wote ni mashoga tu, msituchoshe,
 
Mtajijua wenyewe. Kikubwa mlichotaka kifanyike kwa uongo kiligoma. Basi
 
Tundu Lisi hatakii mema hii nchi. Huko alipo anaishi kwa ufadhili wa nani?
 
Mbona Hichilema alikuwa Ikulu 🤣🤣🤣
MaCCM hawaendi kusikia hilo. Wakati Maza anatoka hadharani kusema viatu vya Mwendazake ni vikubwa anashindwa kuvivaa, wao wanapiga propaganda kuwa anafanya zaidi yake....!!
 
kumuelewa lissu na kufuata anayotaka ni sawa na kujipaka kinyesi unatembea unanuka kama yeye anavyo nuka kuolewa mwanaume hakufai akili zimeshahamia kuleeeeee!!!!!!!!!!
[emoji1][emoji1][emoji1]Taga mwaka huu mna Hali ngumu
 
utajiri usiopatikana popote duniania tukianzia Mt. Kilimanjaro, Ngorongoro, Serengeti, Tanzanite, Wema Sepetu, Mwendazake Dr. Shika, Zanzibar ya bibi kidude binti kibaraka and so on and so on…..
akili zenu matope, mbuga hizo zimewafikisha wapi? Rubbish! Some 50 yrs to come wazungu watakuwa na mbuga zaidi ya zenu maana mtakuwa mmezimaliza kwa poaching ...
 
Huu ndio upinzani wa kijinga.

Diplomacy haifanyiki hadharani....

Not true..

Labda wewe ndiye mjinga hujaelewa..

Hivi unaelewa hata lengo na maana ya international diplomacy kweli wewe?Tangu lini diplomasia ya namna hii ikafanyikia gizani?
Lissu anapaswa kujua ndio kawaida, wizara wa mambo ya nje lazima ifanye maandalizi ya hii mikutano, ikiwemo kufanya behind the scene lobbying...

Unafanya lobbying ya nini? Katika tukio la juzi huko New York Tanzania ilikuwa inafanya lobbying ya kitu gani huko behind the scene kama si kutaka kujaribu kuitumia USA kufuta uchafu wa serikali iliyokwisha kuufanya? Hebu eleza tukuelewe.....
Yaani Lissu anadhani Rais atatoka hapa Dar bila kuwa na kila kitu confirmed? This is very cheap.

Absolutely, inawezekana kwa serikali hii kwenda huko kama wanakwenda sokoni Kariakoo...!!
Kuhusu kukataliwa mikutano ni kitu cha kawaida; watu wana interest zao, local na international. Kama wakiona mkutano au picha inaweza kuleta maneno zaidi ya faida, wanachomoa tu.

Kumbe unajua?

Argument yako hapo juu inatoka wapi kama unalijua hili? Na Tundu Lissu anakosea nini maana ni kama unamuunga mkono...
Hata yeye Lissu nina uhakika kuna mikutano aliomba na akakataliwa, ustaarabu ni kutunziana heshima.
Hana tatizo na hilo na hujataka kumuuliza ili akwambie.

Tatizo liko kwa hawa unaowatetea maana hawaamini ktk kukataliwa. Ukitoboa siri kuwa "walikataliwa kuonana na President Joe Biden au VP Kamala Harris wa USA usishangae ukabambikiwa kesi ya ugaidi au uhaini au ukakoswakoswa risasi za SMG...!!
Inashangaza kwamba tunamshangaa waziri wa mambo ya nje kufanya kazi yake.
Hatushangai kufanya kazi yake halali. Tunashangaa kufanya kazi chafu kujaribu kuusafisha utawala uliokwisha kujipaka mavi usoni...!
 
kumuelewa lissu na kufuata anayotaka ni sawa na kujipaka kinyesi unatembea unanuka kama yeye anavyo nuka kuolewa mwanaume hakufai akili zimeshahamia kuleeeeee!!!!!!!!!!
Hiki ndicho unachokielewa, au siyo?

You are so weak upstairs....!!
 
Sina hakika kama una akili sawasawa..yule mlinzi Lissu aliyesema kafa kwani ni kweli amekufa?..si yupo hai?
Nimekuuliza swali na wewe unarudia kuniuliza swali lilelile..?

Uko sawa kweli?
 
Nimekuuliza swali na wewe unarudia kuniuliza swali lilelile..?

Uko sawa kweli?
Lissu alisema yule mlinzi alikufa kabla hata JPM hajazikwa Chato..lakini soon tukamuona akiwa kwenye msiba wa Jiwe..Kwahiyo Lissu alitulisha matango pori..na hawezi kuaminika kwa kila analolisema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…