Baba mbona umefura?? kwani kinachokuuma ni nini?? Sisi tumepewa tu taarifa kuwa Rais hakupata Fursa ya kupiga picha na Jo Biden.kumuelewa lissu na kufuata anayotaka ni sawa na kujipaka kinyesi unatembea unanuka kama yeye anavyo nuka kuolewa mwanaume hakufai akili zimeshahamia kuleeeeee!!!!!!!!!!
Mkuu Wema Sepetu nae ni mmoja ya zawadi tuliyopewa na Mungu?. Imebidi nishangae.Kubwajinga kabisa wewe, urafiki wako na Joe Biden umeanza lini, ananikera sana mtu ambaye watu weupe kwake ni zaidi ya Mungu aliyetuwekea utajiri usiopatikana popote duniania tukianzia Mt. Kilimanjaro, Ngorongoro, Serengeti, Tanzanite, Wema Sepetu, Mwendazake Dr. Shika, Zanzibar ya bibi kidude binti kibaraka and so on and so on…..
Tony Blair nayeye alimtuma nani bongo before kale kapicha na mama?
Tatizo mnageuza vitu personal.Diplomasia ya kutaka sifa kwa mambo usiyofanya?
Hatushangai Waziri kwensa kufanya Lobbying. Tunashangaa kujitapa kwa wanademokrasia ambayo hamtekelezi lakini mnataka mkapate sifa.
Imekula kwenu. Dunia imebadilika achaneni na Mambo ya mwaka 47
Yes. A big diplomatic slap in the government's face. Bravo TAL.You may not like this. But it happened...
Kumbe bwana, kabla ya Rais Samia Hassan kuhudhuria summit ya kikao cha UNGA, NewYork wiki kadhaa zilizopita, balozi Liberata Mulamula, waziri wa mambo ya kigeni alitangulia mwezi mmoja kabla ili kumwandalia Rais nafasi ya kukutana na Rais Joe Biden na kupiga picha naye. Bahati mbaya alikataliwa...!
Kwanini? Msikilize Tundu Lissu kwenye video hiyo chini...
Na kama asemayo TL ni kweli [na ni kama kweli kwa 100%], basi bila shaka utawala wa CCM unàelekea ukingoni kwa sababu haiwezekani propaganda na udanganyifu uvuke mipaka mpaka kwa Rais Joe Biden wa USA...!!
Thank God kwa kuwa hawakufanikiwa kupitisha upuuzi wao kwa taifa hilo kubwa na rafiki yetu....
Msikilize Tundu Lissu...
View attachment 1970431
Hivi lisu si kiongozi mkubwa CDM mbona yuko huko njee na anaendelea kujenga propaganda za kitoto yani za kitoto.You may not like this. But it happened...
Kumbe bwana, kabla ya Rais Samia Hassan kuhudhuria summit ya kikao cha UNGA, NewYork wiki kadhaa zilizopita, balozi Liberata Mulamula, waziri wa mambo ya kigeni alitangulia mwezi mmoja kabla ili kumwandalia Rais nafasi ya kukutana na Rais Joe Biden na kupiga picha naye. Bahati mbaya alikataliwa...!
Kwanini? Msikilize Tundu Lissu kwenye video hiyo chini...
Na kama asemayo TL ni kweli [na ni kama kweli kwa 100%], basi bila shaka utawala wa CCM unàelekea ukingoni kwa sababu haiwezekani propaganda na udanganyifu uvuke mipaka mpaka kwa Rais Joe Biden wa USA...!!
Thank God kwa kuwa hawakufanikiwa kupitisha upuuzi wao kwa taifa hilo kubwa na rafiki yetu....
Msikilize Tundu Lissu...
View attachment 1970431
Umemtaja wema sepetu umemsahau yule aliyeimba wimbo " naheshimu madanga wa mke wangu",,[emoji1787][emoji23]Kubwajinga kabisa wewe, urafiki wako na Joe Biden umeanza lini, ananikera sana mtu ambaye watu weupe kwake ni zaidi ya Mungu aliyetuwekea utajiri usiopatikana popote duniania tukianzia Mt. Kilimanjaro, Ngorongoro, Serengeti, Tanzanite, Wema Sepetu, Mwendazake Dr. Shika, Zanzibar ya bibi kidude binti kibaraka and so on and so on…..
Tony Blair nayeye alimtuma nani bongo before kale kapicha na mama?
Hapa ndipo MaCCM akili zenu huwa hazina akili kabisa kabisa.kumuelewa lissu na kufuata anayotaka ni sawa na kujipaka kinyesi unatembea unanuka kama yeye anavyo nuka kuolewa mwanaume hakufai akili zimeshahamia
Mtajijua wenyewe. Kikubwa mlichotaka kifanyike kwa uongo kiligoma. BasiTatizo mnageuza vitu personal.
Nani asiye mnafiki hapa duniani?
Kwani rafiki mkubwa wa USA Middle East ni nani? Saudi Arabia ana demokrasia? Kwani Guantanamo inaendeshwa na nchi gani?
Anyways, my point is tusishangae Waziri wa mambo ya nje kufanya kazi yake. Hata huyo Chielema wa Zambia, hakuibuka tu White House.
Anakwambia wakati Mulamule anahangaika kutafuta Chansi ya Kamala ma Jo yeye Lissu alikuqa anawachora akiwa WashingtonYes. A big diplomatic slap in the government's face. Bravo TAL.
MaCCM hawaendi kusikia hilo. Wakati Maza anatoka hadharani kusema viatu vya Mwendazake ni vikubwa anashindwa kuvivaa, wao wanapiga propaganda kuwa anafanya zaidi yake....!!Mbona Hichilema alikuwa Ikulu 🤣🤣🤣
Magaidi ndio wanaitakia mema.Tundu Lisi hatakii mema hii nchi. Huko alipo anaishi kwa ufadhili wa nani?
[emoji1][emoji1][emoji1]Taga mwaka huu mna Hali ngumukumuelewa lissu na kufuata anayotaka ni sawa na kujipaka kinyesi unatembea unanuka kama yeye anavyo nuka kuolewa mwanaume hakufai akili zimeshahamia kuleeeeee!!!!!!!!!!
akili zenu matope, mbuga hizo zimewafikisha wapi? Rubbish! Some 50 yrs to come wazungu watakuwa na mbuga zaidi ya zenu maana mtakuwa mmezimaliza kwa poaching ...utajiri usiopatikana popote duniania tukianzia Mt. Kilimanjaro, Ngorongoro, Serengeti, Tanzanite, Wema Sepetu, Mwendazake Dr. Shika, Zanzibar ya bibi kidude binti kibaraka and so on and so on…..
Huu ndio upinzani wa kijinga.
Diplomacy haifanyiki hadharani....
Lissu anapaswa kujua ndio kawaida, wizara wa mambo ya nje lazima ifanye maandalizi ya hii mikutano, ikiwemo kufanya behind the scene lobbying...
Yaani Lissu anadhani Rais atatoka hapa Dar bila kuwa na kila kitu confirmed? This is very cheap.
Kuhusu kukataliwa mikutano ni kitu cha kawaida; watu wana interest zao, local na international. Kama wakiona mkutano au picha inaweza kuleta maneno zaidi ya faida, wanachomoa tu.
Hana tatizo na hilo na hujataka kumuuliza ili akwambie.Hata yeye Lissu nina uhakika kuna mikutano aliomba na akakataliwa, ustaarabu ni kutunziana heshima.
Hatushangai kufanya kazi yake halali. Tunashangaa kufanya kazi chafu kujaribu kuusafisha utawala uliokwisha kujipaka mavi usoni...!Inashangaza kwamba tunamshangaa waziri wa mambo ya nje kufanya kazi yake.
Hiki ndicho unachokielewa, au siyo?kumuelewa lissu na kufuata anayotaka ni sawa na kujipaka kinyesi unatembea unanuka kama yeye anavyo nuka kuolewa mwanaume hakufai akili zimeshahamia kuleeeeee!!!!!!!!!!
Nimekuuliza swali na wewe unarudia kuniuliza swali lilelile..?Sina hakika kama una akili sawasawa..yule mlinzi Lissu aliyesema kafa kwani ni kweli amekufa?..si yupo hai?
What do you mean?USA ni rafiki wa kagame na museven!!!!
badilisheni fikra, USA wana interest ti
Lissu alisema yule mlinzi alikufa kabla hata JPM hajazikwa Chato..lakini soon tukamuona akiwa kwenye msiba wa Jiwe..Kwahiyo Lissu alitulisha matango pori..na hawezi kuaminika kwa kila analolisema.Nimekuuliza swali na wewe unarudia kuniuliza swali lilelile..?
Uko sawa kweli?