sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Mama Hillary Clinton nae anasisitiza muda huu hakuna mambo ya cease fire, hii imezoeleka kuwa zawadi kwa Hamas kujipanga upya, Kwa sasa walichokianzisha ni mpaka kimalizike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mwizi akizoea kuchapwa na kandambili kisha anaachiwa anaota mapembe, ni muda wa kuyakata mapembeTrue. No cease fire until they finish all terrorists and their supporters including Iran
Mambo yanaenda hatua kwa hatua ili kupunguza casualaities, Israel anaweza kusafisha hilo eneo ndani ya Lisaa lakini tatizo Hamas wana michezo ya kuchokoza wanaume kisha wanajificha nyuma ya wanawake, wazee na watoto,Sasa si wafanye ground invasion mbona maneno yamekuwa mengi waletee waletee
Hawa Waisrael weusi wa Rombo wanachekesha wawaambie hao mabwana zao waonyeshe basi maiti za Hamas kama wanaume kweli wao kazi kurusha makombora huku wamejificha wanauwa watoto na wanawake,Haha hawana kitu hao Hamasi hawezi kushindwa na virusha maboom kwa watoto na wanawake, kwenye ground war inataka wanaume na uwanaume huo hana US wala Israeli wao ndio wataomba vita visimame
Washauri viongozi watoke qatar wawe frontline kuipambania ardhi yaoTumechoka na story leo karibu week tatu wamejikusanya 350 000 +US na Uingereza, Faransa, Jeruman, Australia, Poland wanaogopa kuingiza boots zao Gaza, hi aibu kweli
Maana yake ni kwamba Vita hii haiishi hadi Palestine ibaki majivu....Mama Hillary Clinton nae anasisitiza muda huu hakuna mambo ya cease fire, hii imezoeleka kuwa zawadi kwa Hamas kujipanga upya, Kwa sasa walichokianzisha ni mpaka kimalizike.
View attachment 2798399
kipigo kizitooo , waarabu hawatakuja kusahauMambo yanaenda hatua kwa hatua ili kupunguza casualaities, Kumbuka Israel alishazitwanga nchi 5 za kiarabu ndani ya siku 6 tu, kipigo heavy sana !!
hamas hawaguswi ila hamas hawasongi mbeleHawa Waisrael weusi wa Rombo wanachekesha wawaambie hao mabwana zao waonyeshe basi maiti za Hamas kama wanaume kweli wao kazi kurusha makombora huku wamejificha wanauwa watoto na wanawake,
Unawapangia cha kufanya na wewe washauri mabwana zenu wakachukue mateka wao si wapo Gaza.Washauri viongozi watoke qatar wawe frontline kuipambania ardhi yao
hamas hawaguswi ila hamas hawasongi mbele
True. No cease fire until they finish all terrorists and their supporters including Iran
Kama mabwana zako wanaitaka ardhi yao kwanini wakajifiche qatar? Waende uwanja wa vita walivyovianzisha waipambanie ardhi yao. Halafu waambie hao mabwana zako wawaache huru vijana wetu wa kiTanzania waliowchukua mateka!Unawapangia cha kufanya na wewe washauri mabwana zenu wakachukue mateka wao si wapi Gaza.
Netanyau yupo nyumbani kwake Tel Aviv. Je kiongozi mkuu wa HAMAS yupo nyumbani kwake GAZA?Hao waliopo Qatar si wanajeshi we ungemuambia Natanyahu na Biden na hicho kimama chenu Hillary Clinton viende frontline basi
Hicho kimeshindwa mzuia mme wake kwenda nje ya ndoa kitaweza vita si kelele tu.