Hatujaridhika na idadi ya vifo Gaza hadi sasa 8000. Ilitakiwa icheze laki na zaidi nafsi zetu zifurahiOoh kuliko wayahudi ambao Hitler aliwafyeka million 6?
Ooh kama vita kuu ya dunia ambapo kwa siku walikua wanakufa wayahudi elfu 15! ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatujaridhika na idadi ya vifo Gaza hadi sasa 8000. Ilitakiwa icheze laki na zaidi nafsi zetu zifurahiOoh kuliko wayahudi ambao Hitler aliwafyeka million 6?
Ooh kama vita kuu ya dunia ambapo kwa siku walikua wanakufa wayahudi elfu 15! ?
Nyumbani kwake wapi wakati anaishi mafichoni😂Netanyau yupo nyumbani kwake Tel Aviv. Je kiongozi mkuu wa HAMAS yupo nyumbani kwake GAZA?
unauwa watoto wadogo unavunja majengo unashambulia hospital unajisifia.Kama unaweza kumshinda adui yako kwa kumpiga jiwe ukiwa mbali kuna haja gani ya kwenda kukabana nae mashati? David alimwua goliath kwa jiwe moja tu na akaenda kukata kichwa chake. Ndicho wanafanya israel
Wafanye mara ngapiSasa si wafanye ground invasion mbona maneno yamekuwa mengi waletee waletee
Haya ni maajabu nayo!Haha hawana kitu hao Hamasi hawezi kushindwa na virusha maboom kwa watoto na wanawake, kwenye ground war inataka wanaume na uwanaume huo hana US wala Israeli wao ndio wataomba vita visimame
Mama Hillary Clinton nae anasisitiza muda huu hakuna mambo ya cease fire, hii imezoeleka kuwa zawadi kwa Hamas kujipanga upya, Kwa sasa walichokianzisha ni mpaka kimalizike.
View attachment 2798399
Hilo bwege haliwezi kukuelewa mkuu. Kwanza hana ajualo. Hamas wamepelekwa mbele za haki wengi tu.Achana na vidagaa vilivyowateka wabongo wenzetu kwanza. Kuna hawa wakurungwa washatangulizwa mbele ya hakiView attachment 2798441
Sasa kama wako Qtaar huko gaza Israel wanashambulia nn?Wapo qatar mkuu! Afu wabongo wenzetu wanatumika kama shield yao huko gaza[emoji30][emoji22][emoji24][emoji24]
Kwa hiyo ndo historia ina sema Israel ilipigana vita na mataifa 5?Nenda google. Aridh zote zilizotekwa na Israel kuanzia milima ya Sinai mpaka Gollan,mpaka mashamba ya shebah(Lebanon),East Jerusalem vyote vilitekwa wakati huo. Sinai ilirudishwa baada ya Anwar Sadat wa misri kusaini mkataba wa amani na Israel
Sasa kama anaweza kumshinda akiwa mbali hao wanajeshi wake wanao ingia gaza kila siku na kupewa kipigo na kukimbia wanakuwa wamefuata nn?Kama unaweza kumshinda adui yako kwa kumpiga jiwe ukiwa mbali kuna haja gani ya kwenda kukabana nae mashati? David alimwua goliath kwa jiwe moja tu na akaenda kukata kichwa chake. Ndicho wanafanya israel
wazee wa kujifariji baadae mna kuja na hashtag #freepalestine #gazagenocideTumechoka na story leo karibu week tatu wamejikusanya 350 000 +US na Uingereza, Faransa, Jeruman, Australia, Poland wanaogopa kuingiza boots zao Gaza, hi aibu kweli
Mtu akihemkwa na kiburi kikimpanda ndivyo anavyokua.Anaona aibu kurudi nyuma.Kisingizio huwa watu wananionaje mimi nikirudi nyuma.Mama Hillary Clinton nae anasisitiza muda huu hakuna mambo ya cease fire, hii imezoeleka kuwa zawadi kwa Hamas kujipanga upya, Kwa sasa walichokianzisha ni mpaka kimalizike.
View attachment 2798399
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)Kwa hiyo ndo historia ina sema Israel ilipigana vita na mataifa 5?
Haya maandiko! sijui mungu gani mbaguzi namna hiyoMayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.
Mwenyezi Mungu hawakatazi kuwafanyia hisani na uadilifu wale ambao hawakupigana nanyi kwa ajili ya dini, wala hawakuwafukuza katika nchi zenu. Hakika Mwenyezi Mungu anawapenda wafanyao uadilifu. Isipokuwa Mwenyezi Mungu anawakataza kuwafanya marafiki wale wanaopigana nanyi katika dini, na wakawafukuza katika nchi zenu na wakasaidia katika kufukuzwa kwenu, na wawafanyao marafiki, basi hao ndio madhalimu" (60: 8 - 9)Haya maandiko! sijui mungu gani mbaguzi namna hiyo
Elfu 8 kwa watu million 2 wa Gaza is nothing!! Kama unadhani umewakomoa kwa mwaka tu wanazaliwa watoto zaidi ya elfu 50 huko Gaza!!Hatujaridhika na idadi ya vifo Gaza hadi sasa 8000. Ilitakiwa icheze laki na zaidi nafsi zetu zifurahi
Kumbe na wewe ni ustazatiElfu 8 kwa watu million 2 wa Gaza is nothing!! Kama unadhani umewakomoa kwa mwaka tu wanazaliwa watoto zaidi ya elfu 50 huko Gaza!!
Kama nyatanyahu na yeye si yuko frotline kuwakoa mateka au sio pole sanaWashauri viongozi watoke qatar wawe frontline kuipambania ardhi yao