Video: Kutoa nafasi ya mapumziko (ceasefire) ni kuwapa zawadi Hamas. Mapumziko hayatakiwi mpaka zoezi likamilike

Video: Kutoa nafasi ya mapumziko (ceasefire) ni kuwapa zawadi Hamas. Mapumziko hayatakiwi mpaka zoezi likamilike

Kuna tafauti ya kusema adui yako hata ufanye naye urafiki wa kila aina umsaidie, umuelimishe hili zuri hili baya hawezi kuwa radhi na wewe mpaa ufanye anayo taka yeye ndio kakusudia Mungu wa Qur'an yani Myahudi na Mkristo hawawezi kupenda wewe Muislam mpaa ufate wanayo taka hao wakristo mfano uwe mzinifu, mlevi, jambazi,mpenda rushwa yani hayo ndio wanayo yataka.

Tofauti na mungu wa bibilia yeye kafa kwa ajili yenu fanyeni zina, kuleni rushwa, uweni, dhulumu, wewe fanya kila ushenzi yeye kisha chukua dhambi zako 😄 Afu ana taifa teule la kishoga yeye tofauti na Mungu wetu aliwangamiza mashoga nyie mungu wenu anawatunza mashoga kwenye taifa teule lenu.
Acha uzwazwa yaani sisi tunakubaliana na dhambi! mbona machangu do,majambazi wauza ngada karibu wote waislamu
 
Si kila mwenye jina la kislam ni Muislam, kama vile si kila watoto Israel ni Waisrael bi Sara alikuwa Muisrael, je alizaliwa na Ishaq au Yakobo? Kasomeni nyie bibilia zenu hazifahamu Israel ni kitu gani
 
Hawa Waisrael weusi wa Rombo wanachekesha wawaambie hao mabwana zao waonyeshe basi maiti za Hamas kama wanaume kweli wao kazi kurusha makombora huku wamejificha wanauwa watoto na wanawake,
Wewe ni 🏳️‍🌈 mbona unaongea kama mwanamke, wanaojificha ni wanawake Hamas ni wanawake na ndio maana wamejificha uvunguni, chini ya ardhi kama panya, wamejificha nyuma ya mama zao, wazee wao na watoto wao na ndio maana wanatafutwa na IDF ok ndani kwao sasa kama sio mashoga wambie waje uwanjani nje kwenye uwanja wa vita ok
 
Kuna mstari mwembamba Sana Kati ya ugaidi na wakazi wote wa Gaza.Wapalestina kama hawapigani frontline,Kwa sababu labda ni wazee ,watoto ,wanawake AU vilema basi wanaSupport ugaidi Kwa njia moja au nyingine.Hawawezi kuruhusu Hamas kujenga base zao kwenya makazi Yao kama hawashirikiani nao.Acha wote wapelekewe moto tu hicho ni kizazi cha nyoka wenye sumu🤔
 
Mnaosema Missiles za Hamasi zipo kwenye majumba, shule, misikiti, makanisani, super markets, bakery , hospital au Hamasi wanajificha nyuma ya watoto au wanawake hivi mnazo akili nyie? Hebu kapimeni akili zenu vizuri lazima zina madhara flani.

Oneni Missiles zinatokea wapi, afu kuna wajinga wanasema Gaza hakuna pori au mashamba au open area.


View: https://youtu.be/Yf9iaoc6QCI?si=4z10aoMsAqa9K770
 
Mwanajeshi wa kiyahudi hana tofauti na mwanajeshi wa kimarekani. Wakienda vitani wanataka warudi wawe hai.

Ukiwa na wanajeshi wa namna hii ni changamoto. Nakumbuka Malcom X alisema ushujaa wa mwanajeshi wa mtu mweupe(akimaanisha Marekani) ni akiwa kwenye ndege, akiwa kwenye kifaru, akiwa kwenye kufyatua kitufe cha kurusha kombora, ndipo ushujaa wake ulipobakia. Ila vita vya ardhini haviwezi.

Mfano huu unaenda sawa na jeshi la Israel. Ushujaa wa jeshi lake ni akiwa kwenye ndege, akiwa kwenye kifaru, akiwa kupambana na yule ambaye hawezi kujihami. Mbali na hapo hawezi kupambana. Mfano vita yake na Hizbullah 2006 Israel ilishindwa mapigano ya ardhini.

Na hii changamoto nilidhani imeshatatuliwa lakini bado anayo!
Aljazeera mida ya saa 7 walilipoti ya k wameripoti kuwa waliona vifaru vya Israel vikijaribu tena kuingia gaza kupitia kusini na kaskazini ngoja tusubiri habari zaidi.
 
Usiwe punguani wewe Israel bila msaada wa Marekani na Ulaya hamna kitu zaidi ya miaka 50 wanakandamizwa lakini wanapamba hata iwe vipi Israeel hawezi kuwamaliza Wapelestina nyie mashoga lazima muwatete wenzenu kwa njia yoyote ile Hamas na Wapestina wote wataendelea kupambana mpaka wapate ardhi yao.
Kila la heri
 
Mwanajeshi wa kiyahudi hana tofauti na mwanajeshi wa kimarekani. Wakienda vitani wanataka warudi wawe hai.

Ukiwa na wanajeshi wa namna hii ni changamoto. Nakumbuka Malcom X alisema ushujaa wa mwanajeshi wa mtu mweupe(akimaanisha Marekani) ni akiwa kwenye ndege, akiwa kwenye kifaru, akiwa kwenye kufyatua kitufe cha kurusha kombora, ndipo ushujaa wake ulipobakia. Ila vita vya ardhini haviwezi.

Mfano huu unaenda sawa na jeshi la Israel. Ushujaa wa jeshi lake ni akiwa kwenye ndege, akiwa kwenye kifaru, akiwa kupambana na yule ambaye hawezi kujihami. Mbali na hapo hawezi kupambana. Mfano vita yake na Hizbullah 2006 Israel ilishindwa mapigano ya ardhini.

Na hii changamoto nilidhani imeshatatuliwa lakini bado anayo!
Ndo mnadanganyana hivyo msikitini?
 
Kwani kifo ni aibu we tutakuaona basi kama hufi, tatizo ukifa unamtegemea Yesu eti kabeba dhambi zako 😄
 
Safari hii Hamas wameyakanyaga nachopenda kwa US ni wanasimama na Jews kinaga ubaga hawapepesi macho
 
Mwanzo 12:2-3

God Bless Israel

🇮🇱🇮🇱🇮🇱
 
Inatakiwa wapate kifinyo heavy mfululizo wachanganyikiwe na wapoteane. Sasa kuwapa mapumziko ndio nini? Labda kama ni mbinu za kimedani kuwahadaa waingie mkenge
 
Kwa nini akae nyumbani kwake na yeye huyo nyatanyahu sii aende gaza kuokoa hao mateka pole sana
Sasa ulitaka shughuli zake akafanyie kwa jirani?? Yeye sio muoga kama viongozi wa HAMAS walioweka kambi Doha, Qatar na kuwaachia matatizo wananchi wa Gaza. Yeye sio muoga kama askari wa Hamas wanaotumia human shield na kujificha chini ya mahandaki ya shifa hospital kama panya😁😁. Afu washaurini hao magaid wa hamas wawaache huru vijana wetu wa kibongo
 
Tumechoka na story leo karibu week tatu wamejikusanya 350 000 +US na Uingereza, Faransa, Jeruman, Australia, Poland wanaogopa kuingiza boots zao Gaza, hi aibu kweli
Israel imetangaza vita. Dunia nzima imejua hilo.
Hao wanaojiita Hamas kwanini wasingeenda mpkan wakawa wanapigana vita ana kwa ana ila matokeo yake wamekimbia mashimoni na kuwaacha wananchi?
Hawaogopi ila vita inahitaji akili. Hao siyo km wapiganaji wa kigaidi wanaokimbilia mashimoni.
Gaidi anapigwa kidogo kidogo unaanza na kukata kidole, mkono, miguu, unatoa jicho n.k yaani anakufa kwa maumivu.
Angalia magofu waliyoachiwa? Hao sidhani km watathubutu tena kufanya ugaidi kwasababu walikuwa wanategemea Israel hawatafanya shambulizi kwa wananchi ila wamegundua hata wananchi nao wanakula shaba na nyumba kuwa magofu.
 
Hawa Waisrael weusi wa Rombo wanachekesha wawaambie hao mabwana zao waonyeshe basi maiti za Hamas kama wanaume kweli wao kazi kurusha makombora huku wamejificha wanauwa watoto na wanawake,
Ugaidi lazima ukomeshwe hamna namna. Hata Jwtz walifyagia kule kibiti kufukuza magaidi
 
Ulitegemea Waisraeli wasishambuliwe na kuuwawa! Ile ni vita hata wao wanapoteza ila hamna namna lazima wajitoe mhanga.
Kupambana na magaid sio shughuli ndogo
 
Back
Top Bottom