Uchaguzi 2020 Video: Lissu amtaka Rais Magufuli arudishe ardhi aliyopora pale Kihanga Karagwe

Uchaguzi 2020 Video: Lissu amtaka Rais Magufuli arudishe ardhi aliyopora pale Kihanga Karagwe

Huyu ni bepari kama mabepari wengine. Ni chui anayejivika ngozi ya kondoo.
 
Nyarubanja

Mwalimu alipambana sana kufuta uchifu ambao sifa moja ya machifu ilikuwa ni Unyarubanja yaani kumiliki mamia kwa mamia ya eka za ardhi kwenye maeneo yao ya utawala na kuwageuza wananchi waishio humo kuwa kama manamba wao!

Rudisheni ardhi za wananchi.
 
Kama nimejifunza kwenye uchaguzi huu ni ule msemo usikidharau kitabu kwa gamba lake. Siku zote nilifikiri Magufuli ni mtu asiyejihusisha na mambo ya biashara lakini nakiri nilikosea. Inawezekana pia kukawa na mengine mengi tusiyoyajua!
Sio usikidharau kitabu kwa gamba lake, Ni Usikijudge kitabu kwa gamba lake
 
Umechelewa sana kumjua.

Ukimtoa Mwl. Nyerere hawa viongozi wote waliobaki wote ni wapigaji hatari nyuma ya kivuli cha uzalendo hewa.

Kama yuko msafi atajwe hadharani nimuombe msamaha.
Msafi Mbowe
 
Sijui mnamaanisha nini ktk kuyasema haya......?!

Mbona ni waoga sana....
Kwann basi mnabweka nyuma ya Keyboard?!!!

Unataka Mimi kama Raia,nikuamini ww na kumchukia Kiongozi?!

Ok
Amechukua Heka zote hizo....
Unataka Mimi nifanye nini hasa?!

Sidhani kama mnamalengo mazuri na nchi hii....

Bora kwetu
Hii amani tuliyo nayo...tosha kwetu
Hakuna katika sisi atakaebaki Milele juu ya mgongo huu....Hakuna.

acha uchochezi wa ajabu we Mtu
 
Kama nimejifunza kwenye uchaguzi huu ni ule msemo usikidharau kitabu kwa gamba lake. Siku zote nilifikiri Magufuli ni mtu asiyejihusisha na mambo ya biashara lakini nakiri nilikosea. Inawezekana pia kukawa na mengine mengi tusiyoyajua!
Huyo aliyekuambia alikuonyesha ushahidi wa hati miliki ya ardhi ? au alikuwa akiongea tu huku katoa mimacho tu bila ushahidi kama mjusi aliyefiwa na mkwewe.
 
Hataki uwazi serikalini limemuweka Dotto James ili apige pesa kinoma
 
Semeni
Baada ya kuropoka yoote hayo...unataka Wananchi wafanye nini?!

Ni nini hasa kusudio lako?!
Kumbe Mwl Nyerere alikua kiongozi ili akaibe?

Ndio maana wakina Makongoro ni matajiri sana kumbe.
 
Kama nimejifunza kwenye uchaguzi huu ni ule msemo usikidharau kitabu kwa gamba lake. Siku zote nilifikiri Magufuli ni mtu asiyejihusisha na mambo ya biashara lakini nakiri nilikosea. Inawezekana pia kukawa na mengine mengi tusiyoyajua!
Ma-CCM ni mafisadi tu, hata bashiru na polepole unaweza kuta wana ma hekari yao pia.
 
utetezi wake eti akifa hatazikwa navyo. kwani aliowapa kesi za uhujumu uchumi watazikwa zavyo?
 
Sijui mnamaanisha nini ktk kuyasema haya......?!

Mbona ni waoga sana....
Kwann basi mnabweka nyuma ya Keyboard?!!!

Unataka Mimi kama Raia,nikuamini ww na kumchukia Kiongozi?!

Ok
Amechukua Heka zote hizo....
Unataka Mimi nifanye nini hasa?!

Sidhani kama mnamalengo mazuri na nchi hii....

Bora kwetu
Hii amani tuliyo nayo...tosha kwetu
Hakuna katika sisi atakaebaki Milele juu ya mgongo huu....Hakuna.

acha uchochezi wa ajabu we Mtu

Amani huku mnapiga.
 
Semeni
Baada ya kuropoka yoote hayo...unataka Wananchi wafanye nini?!

Ni nini hasa kusudio lako?!
TUNATEKELEZAAAAAAAA.
Screenshot_2020-09-24-19-55-15-1.jpg
 
Back
Top Bottom