Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia dawa ikuingie taratiibu.Viongozi wote wa CCM ni mafisadi. Mwambieni Magufuli arudishe mashamba ya watu huko Karagwe.
Magu bado hajaamka anasikilizia maumivu kwanza!Tulia dawa ikuingie taratiibu.
Hivi Babu SEA alikua kwenye ILANI YA 2015?Ndio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Tulia dawa ikuingie taratiibu.Magu bado hajaamka anasikilizia maumivu kwanza!
Tulia dawa ikuingie taratiibu.Hivi Babu SEA alikua kwenye ILANI YA 2015?
AKILI YAKO KAMA id YAKOTulia dawa ikuingie taratiibu.
Hivi ile kesi ya akina Ruge kwa nini haifanyiki au hata ile ya wale mashehe. Si tuliambiwa The justice delayed is the justice denied.Wangapi serekali ya CCM imewaweka ndani bila ushahidi?
Tulia dawa ikuingie taratiibu.AKILI YAKO KAMA id YAKO
Polepole The hypocrite at his best.Tulia dawa ikuingie taratiibu.
Tulia dawa ikuingie taratiibu.Hivi ile kesi ya akina Ruge kwa nini haifanyiki au hata ile ya wale mashehe. Si tuliambiwa The justice delayed is the justice denied.
TakbirrLissu akihutubia wananchi wa Manispaa ya Bukoba amedai Rais Magufuli amepora kiasi cha hekari elfu 25 maeneo ya Kihanga wilayani Karagwe mkoani Kagera.
Magufuli tunaomba ujitokeze ujibu hoja hii. Naomba Magufuli nikukumbushe hilo eneo ni pale Kihanga wanapouzia maziwa, na siku hizi kuna ulinzi mkali sana kiasi kwamba hakuna mtu anaruhusiwa kusimama maeneo hayo.
Na kumbuka ulipokuwa Bukoba ulisema ukistaafu utaishi mkoani Kagera.
Mheshimiwa njoo huku ujibu.
Asante
View attachment 1578414
Mkuu hapa suala si kushinda au kushindwaBasi Vibendera Mnaona Hoja na Kashinda tayari
hahahaa Kweli Tanzania Kuna Baadhi ya Vijana wapuuzi Kupindukia
huyo akipata 20% Mumpatie na Faru john Ashushie maaana utakuwa Ushindi kwake
Tafadhali mwambie Pombe ajibuKumuamini lisu Ni sawa na kuwinda na mbwa kiguru
This is a tip of an iceberg!Kama nimejifunza kwenye uchaguzi huu ni ule msemo usikidharau kitabu kwa gamba lake. Siku zote nilifikiri Magufuli ni mtu asiyejihusisha na mambo ya biashara lakini nakiri nilikosea. Inawezekana pia kukawa na mengine mengi tusiyoyajua!