Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,911
- 3,016
Ndio lugha gani unaongea Mkuu....?!!!!
are you out of your mind?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
are you out of your mind?
Kama ni hivyo wenye vyeti feki kwann aliwatoa ?Sijui mnamaanisha nini ktk kuyasema haya......?!
Mbona ni waoga sana....
Kwann basi mnabweka nyuma ya Keyboard?!!!
Unataka Mimi kama Raia,nikuamini ww na kumchukia Kiongozi?!
Ok
Amechukua Heka zote hizo....
Unataka Mimi nifanye nini hasa?!
Sidhani kama mnamalengo mazuri na nchi hii....
Bora kwetu
Hii amani tuliyo nayo...tosha kwetu
Hakuna katika sisi atakaebaki Milele juu ya mgongo huu....Hakuna.
acha uchochezi wa ajabu we Mtu
kibondeiNdio lugha gani unaongea Mkuu....?!!!!
Bora umeishia hapo.....muwe mnajifunza kunyamaza wakati mwengineKama ni hivyo wenye vyeti feki kwann aliwatoa ?
kwann anawapa kesí watu za uhujumu uchumi ebu niishie ap
Sasa kama mazao yanaongezeka halafu hakuna masoko yanaharibika shambani hayo ni maendeleo gani ?juzi lissu anasema ongezeko la mazao sio maendeleo , daaah kweli tuna safari ndefu sana kwa hizi mbuzi za upinzani
Pacha wake TunduLissu akihutubia wananchi wa Manispaa ya Bukoba amedai Rais Magufuli amepora kiasi cha hekari elfu 25 maeneo ya Kihanga wilayani Karagwe mkoani Kagera.
Magufuli tunaomba ujitokeze ujibu hoja hii. Naomba Magufuli nikukumbushe hilo eneo ni pale Kihanga wanapouzia maziwa, na siku hizi kuna ulinzi mkali sana kiasi kwamba hakuna mtu anaruhusiwa kusimama maeneo hayo.
Na kumbuka ulipokuwa Bukoba ulisema ukistaafu utaishi mkoani Kagera.
Mheshimiwa njoo huku ujibu.
Asante
Sasa kama mazao yanaongezeka halafu hakuna masoko yanaharibika shambani hayo ni maendeleo gani ?
Umesikia mangapi ya rais yupi aliyepita na ukafanyaje?Mbona unaunga mkono wizi wa Magufuli? Mara tu Magufuli akiondoka madarakani utasikia mengi ya hovyo. Haijalishi rais ni CCM mwenzie. Kila kinacholipwa saivi wao tu na Doto James ambaye ni Mpwa wake ndiyo wenye kuidhinisha. Umejiuliza kwanini?
Magufuli anafanya mazuri kiasi ila ni jambazi mkubwa sana wa kalamu. Atakuja kukiona muda si muda. Yeye na watu wake wa karibu watajuta ni kwanini hata kawa Rais. Maisha yake ya kustaafu yatajawa na simanzi.
uzuri hawezi kumsimika Urais amtakaye kwa sababu hajui siasa na wana CCM wanamuwinda kuhakikisha nchi haiangukii mikononi mwa mteule wake.
Ndio kupiga vita ufisadi...jamaa kutwa mabeberu kumbe lenyew ndo beberu lenyew tanzania.....land confiscationNdio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Vyovyote itakavyokua ila jiwe lenu libeberu la tanzania....limeconfiscate mahekari yote hayo alaf mazombie yake mnalitetea kisa kumantain mavitambi yenuBasi Vibendera Mnaona Hoja na Kashinda tayari
hahahaa Kweli Tanzania Kuna Baadhi ya Vijana wapuuzi Kupindukia
huyo akipata 20% Mumpatie na Faru john Ashushie maaana utakuwa Ushindi kwake
Tulia dawa ikuingie taratiibu.Ndio kupiga vita ufisadi...jamaa kutwa mabeberu kumbe lenyew ndo beberu lenyew tanzania.....land confiscation
Imemuingia ndo maana amepumzika....sis wengine wapambe hatuwez kusikia maumivu yake....mtu umetamba miaka mitano ukiitwa yesu ghafla unaitwa fisadi with evidences unafikiri mchezoTulia dawa ikuingie taratiibu.
Tulia dawa ikuingie tratiibu hadi 28 oktoba.Imemuingia ndo maana amepumzika....sis wengine wapambe hatuwez kusikia maumivu yake....mtu umetamba miaka mitano ukiitwa yesu ghafla unaitwa fisadi with evidences unafikiri mchezo
Sawa zombie lakeTulia dawa ikuingie tratiibu hadi 28 oktoba.
Tulia dawa ikuingie tratiibu hadi 28 oktoba.Sawa zombie lake
Kumiliki heka elfu ishirini na tano ni haki yake.Yeye kama mwanasheria amwage evidence kwenye mitandao tuone walivyoporwa hiyo ardhi siyo kujipayukia tu.
Nikafikiri utakuja na ushahidi angalau hata wa watu wawili walioporwa ardhi.Dk slaa alikuwaga anayafichua mafisadi kwa ushahidi.Too low mamako.You are too low, ndugu...!!
Tatizo lako ni moja tu: Unadhani kuwa kuna mtu anaweza kudanganya kila mtu wakati wote. Hayupo huyo mtu, si Rais Magufuli wala wewe maana duniani HAKUNA SIRI ILIYOSITIRIKA...!
Watu siyo wajinga ukadhani hawajui au hawaoni ujinga, uharamia, uovu na ukatili wa Magufuli. Wanafahamu, tunafahamu...
Labda nikuulize swali hili;
Wewe unaijua au umewahi kusikia sheria inayoitwa "SHERIA YA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA?"
Huhitaji evidence zaidi ya hii iwapo kiongozi wa umma wa cheo cha juu kabisa cha uRais hatoi tamko la Mali zake kisheria...
Bwana John Pombe Magufuli hakuna ubishi kuwa ni Rais "mjinga"kabisa kuliko maRais wote kuwahi kutokea Tanzania kuwa nayo....
Ni mvunja sheria kwa uwazi kabisa kwa kutumia madaraka vibaya kwa makusudi ama kutokujua...
Ni mwizi, mbinafsi, " mjinga", asiye na ufahamu wala maarifa, mwongo na mnafiki kupindukia...!
Jiandaeni tu kuwa wapinzani