Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,514
- 15,701
Shingapi hizo nimnunulie mchepuko.Maelezo ya nini wkt ameenda kununulia bidhaa hizi adhimu za CCM.?View attachment 1578765
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shingapi hizo nimnunulie mchepuko.Maelezo ya nini wkt ameenda kununulia bidhaa hizi adhimu za CCM.?View attachment 1578765
Kwaiyo alivyonyang'anywa ghafla akawa msafi?Magufuli alimunyanganya,amemrudishia baada ya kurudi kwenye kichaka cha wezi
Mbona nie kila kitu Jiwe, kila mwana ccm akiri yake ni ndege, reli, bwawa, barabarani na Zahanati. Hamna kingine, maendeleo ya watu ni sifuri. Mbunge wa Handeni, utasikia tumeleta ndege nipeni kura, lol! CCM bwana mmeishiwa pumzi.Ngoja watoke ufipa na matusi yao. Ilani ya CHAMA hawagusi wametia mfukoni wanatembea na akili ya mtu mmoja na sio ilani ya chama
Ccm na bangi ni damu damu.ndo maaana nkasema lazima uvute bangi ili uendane na chadema, sasa hzi znahusiana na mada
Hizo unaonyesha kadi ya chama tu unapewa 2 za bure.Shingapi hizo nimnunulie mchepuko.
Wangapi serekali ya CCM imewaweka ndani bila ushahidi?Lissu akichukua nchi mtajuta. Huyu anatafuta upigaji akipata urais. Anasingizia wenzie bila ushahidi au vielelezo bayana. Hafai hata kwa mchuzi.
Naamini sasa umeelewa ni kwanini alipigwa risasi zote zile. Kwa hoja hawamuwezi.Hivi huyu Lissu mbona hatusikii kashfa zake. Hata za kusingizia tu.
Polepole na timu yako mnafeli wapi?
Kama msafi mpeni tu haki yake..
Ccm na bangi ni damu damu.View attachment 1578775
MajiziNdio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Kwani uraisi ni manual labor..Lissu piga spana hawa uduviKumuamini lisu Ni sawa na kuwinda na mbwa kiguru
Nimesikia aisee,si jamaa amekana kwamba pesa za vitambulisho vya umachinga alikua anaifanyia 'manuva'?naskia jamaa wako leo hai yaliomkuta hana ham na ubunge tena
Huyu ni fisi aliyekabidhiwa bucha ya nyamaHalafu eti kuna watu wanamfananisha na Baba wa Taifa!! Kuna utani mwingine umepitiliza aisee!! Yaani mtu anafananisha Dunia na Mbingu!! Kazi kweli kweli.
Kweli kipofu haiwezi kuongoza kipofu mwezakeKujifariji nako Kuzuri
Hata wewe mwizi tuu...umetumwa kuiba amani ya tanzaniaLissu akihutubia wananchi wa Manispaa ya Bukoba amedai Rais Magufuli amepora kiasi cha hekari elfu 25 maeneo ya Kihanga wilayani Karagwe mkoani Kagera.
Magufuli tunaomba ujitokeze ujibu hoja hii. Naomba Magufuli nikukumbushe hilo eneo ni pale Kihanga wanapouzia maziwa, na siku hizi kuna ulinzi mkali sana kiasi kwamba hakuna mtu anaruhusiwa kusimama maeneo hayo.
Na kumbuka ulipokuwa Bukoba ulisema ukistaafu utaishi mkoani Kagera.
Mheshimiwa njoo huku ujibu.
Asante
View attachment 1578414
Kuna ubaya gani yeye kuhodhi ekari hizo wakati waliomtangulia wana mahekari kibao kuliko hizo 25,000 ?
Cha muhimu TL angeongelea Katiba mpya ili kukata mzizi wa fitina