mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Tunarudisha zote serikaliniKuna ubaya gani yeye kuhodhi ekari hizo wakati waliomtangulia wana mahekari kibao kuliko hizo 25,000 ?
Cha muhimu TL angeongelea Katiba mpya ili kukata mzizi wa fitina