Uchaguzi 2020 Video: Lissu amtaka Rais Magufuli arudishe ardhi aliyopora pale Kihanga Karagwe

Uchaguzi 2020 Video: Lissu amtaka Rais Magufuli arudishe ardhi aliyopora pale Kihanga Karagwe

Ndio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Yajue haya:
1. Ilani huandikwa, lakini si yote huandikwa katika ilani.
2. Ilani si sera wala ahadi za maendeleo ya uchumi pekee. Ni pamoja na kukosoa yaliyopo na kukemea utawala mbaya.
3. Kampeni nzuri haiishii kwenye ilani. Kuna mengi kama mtandao wa mgombea, mikakati, uhamasishaji, kukubalika kwa mgombea, n.k.
**Kumbuka kuwa umuhimu ni kuwavuta wapiga kura!
 
chadema bana 😂 😂 😂 😂 😂 , sipati picha mbinguni watakavosumbua, kwann Mungu alianza kuumba ardhi, mwanga, maji badala ya matunda na bata., ukitaka waelewa hawa jamaa lazima uvute bangi kwanza
 
chadema bana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , sipati picha mbinguni watakavosumbua, kwann Mungu alianza kuumba ardhi, mwanga, maji badala ya matunda na bata., ukitaka waelewa hawa jamaa lazima uvute bangi kwanza
Na ukimaliza kuvuta bangi unashushia maji makubwa ya Kilimanjaro then unarudisha ardhi ya wanyonge uliyojinyakulia.
 
Lissu akihutubia wananchi wa Manispaa ya Bukoba amedai Rais Magufuli amepora kiasi cha hekari elfu 25 maeneo ya Kihanga wilayani Karagwe mkoani Kagera.

Magufuli tunaomba ujitokeze ujibu hoja hii. Naomba Magufuli nikukumbushe hilo eneo ni pale Kihanga wanapouzia maziwa, na siku hizi kuna ulinzi mkali sana kiasi kwamba hakuna mtu anaruhusiwa kusimama maeneo hayo.

Na kumbuka ulipokuwa Bukoba ulisema ukistaafu utaishi mkoani Kagera.

Mheshimiwa njoo huku ujibu.

Asante
View attachment 1578414
Siasa bhana, kwaiyo Sumaye alivyokua kiongozi wa Chadema hawakujua ameiba ardhi??
 
Lissu akihutubia wananchi wa Manispaa ya Bukoba amedai Rais Magufuli amepora kiasi cha hekari elfu 25 maeneo ya Kihanga wilayani Karagwe mkoani Kagera.

Magufuli tunaomba ujitokeze ujibu hoja hii. Naomba Magufuli nikukumbushe hilo eneo ni pale Kihanga wanapouzia maziwa, na siku hizi kuna ulinzi mkali sana kiasi kwamba hakuna mtu anaruhusiwa kusimama maeneo hayo.

Na kumbuka ulipokuwa Bukoba ulisema ukistaafu utaishi mkoani Kagera.

Mheshimiwa njoo huku ujibu.

Asante
View attachment 1578414
Rais mwizi
 
Basi Vibendera Mnaona Hoja na Kashinda tayari
hahahaa Kweli Tanzania Kuna Baadhi ya Vijana wapuuzi Kupindukia
huyo akipata 20% Mumpatie na Faru john Ashushie maaana utakuwa Ushindi kwake
Mzee jarubu kujibu hoja hizi ndio kampeni zenyewe acha kutukana kama mlevi.
 
Piga spana kamanda.

No wonder alikuwa ameziba watu midomo!
Kuna ranchi amejimilikisha hko kwao. Lisu seemed hilo.
Aje kusini AZUNGUMZIE KWA UNDANI LILE SAKATA LA KOROSHO.
AMALIZIE MKIRU. HUKU AENDE NA BWEGE WAZUNGUMZIE MAUAJI YA KIBITI
 
Na ukimaliza kuvuta bangi unashushia maji makubwa ya Kilimanjaro then unarudisha ardhi ya wanyonge uliyojinyakulia.

na akisharudisha b8 akatoe maelezo
1600900064714.png
 
Back
Top Bottom