Kadoda nguku
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 332
- 475
Yamesikika mengi ila huyu kazidi kiburi, jeuri, dharau na uporoji uliokithiri.Umesikia mangapi ya rais yupi aliyepita na ukafanyaje?
Acha ujinga mbona yeye aliwanyang'anya sumaye na lowasa hiyo ardhi? na yeye anapita mlemle tafsiri ni fisadiMambo mengine ukiyasikilza,bwana! Kwani Magufuli haruhusiwi kuwekeza - si mnasema Tanzania inakaribisha wawekezaji wa ndani.
Wala Magufuli hakuficha kitu nakumbuka kwenye kampein katika mji wa Bukoba alisema ana tu ng'ombe ng'ombe twake amepanga akistaafa ata hamia Mkoani Kagera - hakulazimishwa na MTU kuyasema hayo, after all ekali elfu 25 kitu gani bwana? Kwani alishindwa kumilikishwa ekali hata nusu million? Mlitaka wazungu ndio waje kuwekeza lakini sio Magufuli!
ndio ujinga mlionao huoKumiliki heka elfu ishirini na tano ni haki yake.Yeye kama mwanasheria amwage evidence kwenye mitandao tuone walivyoporwa hiyo ardhi siyo kujipayukia tu.
huwezi kuongea sera bila mifano ili watu wakupate vizuri....... mifano ndiyo hiyo watu wanajitwalia ardhi huku wakiwaacha wananchi na umaskini.Ndio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Hoja kwamba MAGUFULI amejimilikisha ranch hko kwao jibu.Hoja gani?
Unaulizwa swali wewe unaleta bangi.Tulia dawa ikuingie taratiibu.
Ni pamoja na kuwaanika wezi waliojificha kwenye mwamvuli wa uzalendoNdio ilani ya Chadema hiyo? Duh.
Nimeshawazoea, jinsi mlivyokua mnamsema aliyepita unaweza kufikiri akitoka hapo mnamshtakiYamesikika mengi ila huyu kazidi kiburi, jeuri, dharau na uporoji uliokithiri.
Walikuwa hawaendelezi, yeye anaendelezaAcha ujinga mbona yeye aliwanyang'anya sumaye na lowasa hiyo ardhi? na yeye anapita mlemle tafsiri ni fisadi
Tarehe 28 oktoba.Ni pamoja na kuwaanika wezi waliojificha kwenye mwamvuli wa uzalendo
Tarehe 28 oktoba.Unaulizwa swali wewe unaleta bangi.
Tarehe 28 oktoba.Hoja kwamba MAGUFULI amejimilikisha ranch hko kwao jibu.
Hoja kwamba MAGUFULI alipora KOROSHO.
Hoja kwamba chato umejengwa bila kufuata sheria za manunuzi za Tanzania jibu.
Hoja kwamba watumishi hawajapandishwa mishahara wala cheo kwa miaka 5 iliyopita jibu
Hoja kwamba serikali YAke ilikuwa ndugu zetu huko MKIRU na kuwapoteza wengine kina Ben Sanane jibu.
Kwamba alibomoa nyumba za watu wa Kimara bila kulipa fidia yyete
Tarehe 28 oktoba.huwezi kuongea sera bila mifano ili watu wakupate vizuri....... mifano ndiyo hiyo watu wanajitwalia ardhi huku wakiwaacha wananchi na umaskini.
Hapa kinachotakiwa ni majibu tu, Je hii ardhi imetwaliwa ama lah, na kama imetwaliwa je imefuata taratibu za kutwaa ardhi katika nchi yetu ? ni kwa sababu gani hasa? je wananchi hawa maskini walilipwa fidia nk
Lissu njoo na Ubungo & Kimara tunakusubiri kwa hamu kubwa - tuna machungu na majonzi makubwa mno mioyoni mwetu!!
hakuna msukuma anayejitambulisha kwa jinsi hiyo.Duuu Mimi ni msukuma nilitaka nimpigi kura magu msukuma mwenzangu kumbe na lenyewe ni lijizi(linyoli) nimebadili maamuzi siwez kuchagua mwizi mm,ntampigia Hashim wa ubwabwa tu