Kadoda nguku
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 332
- 475
Ccm chama changu ni kama tumepoteana vile. Kila mgombea na lake. Kiburi cha mwenyekiti wetu kutopokea ushauri ndio inamkost Leo, mtu amekuwa mbishi mbishi kama shipa, acha apambane na hali yake. Labda atajifunza. Sasa tumeebaki kutegemea huruma ya tume na ya siro na wao bado kidogo karibu wana legea