Video: Maelfu ya makomando wa kujitolea wanaingia Ukraine kila siku ili kusaidia kwenye mapambano

Safari ya caanan imeanza......watu mshaanza kufikiria government in exile na mambo za guerilla warfare, Kwenye nchi ambayo mnasema mmedhibiti majeshi ya mrusi........acha inyeshe tuone wapi panapovuja
 
Jana nimesoma pahali kuwa urusi wametunga sheria kukabiliana na raia wanaolidharau jeshi lao haswa kipindi hiki cha vita, ataekutwa na hatia atahukumiwa takribani miaka 15.

Kwa upande wangu naona soon Putin ataanza kupambana na raia wake.
 
Naona una lazimisha kupinga Ili ionekene urusi hamna kitu , ni vile tu huipendi
 
Angetokea mrussia mmoja akamuua huyu jamaa wa kuitwa Putin itakua kasaidia ulimwengu sana
 
Safari ya caanan imeanza......watu mshaanza kufikiria government in exile na mambo za guerilla warfare, Kwenye nchi ambayo mnasema mmedhibiti majeshi ya mrusi........acha inyeshe tuone wapi panapovujaView attachment 2140902

Hili lilifikirika kitambo wakati tulidhani huyo Putin atamaliza shughuli ndani ya masaa 24.....mumesubirishwa hadi basi.
 
Hizi ndio habari nizitakazo tu, niliposoma huu uzi kwanza ilibidi nipige pumzi ya matumaini
 
Meli 2 kule ufaransa zishakamtwa moja ni kampuni ya russia na nyengine ni tajiri kutoka russia vile vile, watu washagawana NGAWIRA zamani wanadoea nyengine itakayokatiza kwenye 18 zao
 
Sijajua kwanini wakenya wanalazimisha bifu na Urusi
Sio kwamba wakenya wanalazimisha beef na Urusi ila ni wapumbavu wachache sana ambao wanaunga mkono uvamizi wa Russia dhidi ya Ukraine.

Hata sisi wengine pia tunapinga kitendo cha Russia kuivamia kijeshi Ukraine japo sio wakenya. Angalia kule UN mataifa mangapi yameipinga Russia na mangapi yameunga mkono uvamizi wao ndio fahamu zikurudie.
 
Javelin na zile drones za Turkey ndio kiboko ya Russia.
 
Baada ya huu mkasa ndio utakuwa mwisho wa himaya ya Russia, Putin amejichimbia kaburi lake mwenyewe na ataingiamo mwenyewe.

Russia haitakaa ishinde hivi vita kwa sababu it's an unjust war and the all civilized world 🌎 is behind the people of Ukraine.
 
Hao volunteers ndo makomandoo?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mnachoona mm Nyani , ni kwamba wenzetu huko wana akili sana, wanazuga kuwa watu wajitolee, halafu baadae waje wwngine kujitolea kutokea outside Ukraine na wakati hawa wanaingia kama volunteers ndio itakuwa njia ya kupitisha wale askari waliokuwa wanaletwa na NATO jirani jirani hapo, wakivunga sasa na wao ni volunteers na wakati huohuo na silaha nzito zitapenyezwa, vita inaweza kuwa ngumu wacha tuone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…