Uchaguzi 2020 Video: Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu aingia Mlimani City kununua mahitaji ya nyumbani

Uchaguzi 2020 Video: Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu aingia Mlimani City kununua mahitaji ya nyumbani

Mwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi

kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu
🤣 🤣🤣 Si atafute tu mkalimani, shida iko wapi na mbona wengine huwatumia wakalimani kuliko kujiaibisha hivyo.
 
Kwa hiyo anatembelea maendeleo ya vitu? Kwanini hahaha?
 
Hivi kwa kiingereza kinachochekesha kama hiki kwa mfano ungekuwepo ukumbini ungeachaje kushangilia na kupiga makofi

We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that he is there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction ...
emoji3.png
 
Mwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi

kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu


Taabu moja ni kuwa kiingereza anakipenda. Ndiyo maana haishi kuchomeka chomeka vimaneno vya kiingereza.

Taabu ya pili kiingereza hakijui kabisa!

Si angeongea kisukuma tu kuna na kina Chagu wa Malunde wa Malunde wange tafsiri tu?
 
Hii ndio taarifa mpya inayozunguka duniani kwa sasa

Mbona anatembea na maji hata wakati asiotumia nguvu kuzungumza, au tayari ana kisukari?
Maana toka arudi nchini naona nae tumbo limekuwa mbele,
Naona amerithi mambo mliyoyaita ya CCM tumbo mbele, sasa limegeuka kwenu
Chadema tumbo mbele.
 
Mbona anatembea na maji hata wakati asiotumia nguvu kuzungumza, au tayari ana kisukari?
Maana toka arudi nchini naona nae tumbo limekuwa mbele,
Naona amerithi mambo mliyoyaita ya CCM tumbo mbele, sasa limegeuka kwenu
Chadema tumbo mbele.
Vipi unataka awe na six pack kama mumeo?
 
Naona mamlaka zinamkimbuka bashite angekuwa ashaamrisha polisi wamkamate tundu lisu. Huyu jamaa alipenda shari japo anajifanya mtu wa mungu.
Hivi lissu anavyotrend bashite asingelala.
 
Mwingine yupo busy kuliaibisha Taifa kwa kiingereza kichafu kama hichi

kiingereza cha jiwe hahaha
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Mwisho wa kunukuu
Mkuu, hii sio American wala British English, ni chato english
 
Back
Top Bottom