Pre GE2025 Video: Makonda ataka mdahalo na Tundu Lissu

Pre GE2025 Video: Makonda ataka mdahalo na Tundu Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sioni mtu wa kuandamana,watanzania sio wajinga ambao wanaweza pelekwa na vibaraka wa wazungu ili kuvuruga amani na mstakabali wa taifa letu.Mwenyeki wangu makonda huhitaji kuwa na hofu juu ya hawa watu .
Ukiacha matako, Makonda hana kingine cha kuringia.
Screenshot_20231111_190308_Google.jpg
 
Hahahaha....ila hii nchi full of dramas ...nabisha sana huyu Bashite dakika moja tuu kwenye mdahalo na Mh Lissu atakuwa ameshapigwa K.O
Aa,atapigwa Mbowe au Makonda so far hakuna anayejua.Kwa nini tuandikie mate,mdahalo uandaliwe.
 
Bashite kwanza huna hadhi ya kukaa meza moja na Lissu, pili jisafishe ukiwa huko huko kama si wewe uliyemtwanga ma-risasi na kumpoteza Ben 8 duniani.
 
Waje wote yeye hatasumbua chama atakuja mwenyewe. Hahaha.
 
Hapana! Mimi ni baba yako wa kufikia.
hv baba au mama ni nani?? Mana nimezaliwa maabara ningependa kujua, pili chadema msikwepe hoja za msing msiwe kama ccm mmeambiwa mwamba anataka mdahalo, nyie mmeanza kumtetea lisu ooh sio level zake sijui nn ndio mana nimewauliza nyinyi ndio tundulisu mpaka mjibu mbona yeye yupo si angejibu yeye huyo lissu mbona mnaviherehere
 
Ivi anamjua Tundulisu huyu😂😂😂 watu wanamdhaha sana.
Niombe nikushauri Mh Makondo fanya mdahalo lakin sio Hadharani,
Anaweza kufanya mdahalo walau kwa mbali ni Polepole tu
 
Hahahaha....ila hii nchi full of dramas ...nabisha sana huyu Bashite dakika moja tuu kwenye mdahalo na Mh Lissu atakuwa ameshapigwa K.O
Midahalo ni kw wenye upeo wa kuona mbali - level kali. Bashite atajiharibia kibarua, hajafikia hiyo level ambayo hata wasomi kina Cleopa Msy wamekiri kuwa ni high stds. Tena anasema atakuja peke yake...!! Bashite anaXana na Tundu...! Kweli...!! Ngoja tuone. Dah!
 
Kwani kwa miaka mingi chadema si wamekua wakisema eti ccm inaogopa midahalo ya wazi,haya sasa mtu huyo kapatikana pelekeni watu wenu mkabishane kwa hoja,nyie si mnajiona mna hoja nzito
Ni kudhalilisha chama na viongozi wa chama, tukutane 24, na mfagio na dekio ,sabuni ya unga , na dum la maji ,mapema sana 24 naanza na usafi kwenye ofisi yake , na viatu nitamblashia yani , maana haijui dunia
 
Ni kudhalilisha chama na viongozi wa chama, tukutane 24, na mfagio na dekio ,sabuni ya unga , na dum la maji ,mapema sana 24 naanza na usafi kwenye ofisi yake , na viatu nitamblashia yani , maana haijui dunia
Mtakachoenda kuongea majukwaani itakua ni skendo za kisiasa tu coz mtu kawaambia njooni tufanye mdahalo wananchi wasikilize sera na hoja hamtaki bali mnataka muendelee kumchafua Kama kawaida yenu bila hoja za maana.
 
Mtakachoenda kuongea majukwaani itakua ni skendo za kisiasa tu coz mtu kawaambia njooni tufanye mdahalo wananchi wasikilize sera na hoja hamtaki bali mnataka muendelee kumchafua Kama kawaida yenu bila hoja za maana.
Hivi nyie ccm mnadhani mnasaidia mwenyekiti wenu, kama sio kumuumiza kwa mgongo wa uchawa,kisa maokoto hamna lolote bora wapinzani wa kweli kama chadema wanamwambia ukweli
 
Hivi nyie ccm mnadhani mnasaidia mwenyekiti wenu, kama sio kumuumiza kwa mgongo wa uchawa,kisa maokoto hamna lolote bora wapinzani wa kweli kama chadema wanamwambia ukweli
Kwani nyie tangu lini mmemwambia ukweli mwenyekiti wenu mbowe?
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda amependekeza kufanyike mdahalo wa wazi kati yake na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili Watanzania wachague ikiwa wataendelea na maandamano au kuchagua maridhiano.


Credit : Swahili Times

Pia soma: CHADEMA yakubali kufanya mdahalo na CCM
Makonda huyu labda afanye mdahalo na Kingwendu ndiyo saizi yake. Anafikiri ukubwa wa makalio ndiyo wingi wa akili.
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda amependekeza kufanyike mdahalo wa wazi kati yake na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili Watanzania wachague ikiwa wataendelea na maandamano au kuchagua maridhiano.

[ATTACH tkufanya mdahalo na CC
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Paul Makonda amependekeza kufanyike mdahalo wa wazi kati yake na viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ili Watanzania wachague ikiwa wataendelea na maandamano au kuchagua maridhiano.


Credit : Swahili Times

Pia soma: CHADEMA yakubali kufanya mdahalo na CCM
Anataka mdahalo na lissu je amejianda na pampasi!​
 
Back
Top Bottom