Mnapenda uchonganifu na umbea. Fanyeni kazi muda wa kazi huuKaz imeanza Sasa
Hayo n machache TU kat ya meeeng yaliyojificha
Bado naibu wazir wa ardhi na yeye kufungua kesi ya kusingiziwa anauza sembe kali
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kabisaaa.GSM wanarekodi chafuHao GSM nao wana record mbovu tu, hapo naona tapeli nae katapeliwa, kila nikisoma ule uzi wao ulioko huku jf naona hao jamaa nao wanatakiwa kuchunguzwa na vyombo vya dola, ni wahalifu wanaolindwa na urafiki kati yao na walioshika hatamu.
Unadhan wote tunafanya Kaz zinazofana mkuu. Mm natoka lindo mda huu nimekesha usiku kuchaMnapenda uchonganifu na umbea. Fanyeni kazi muda wa kazi huu
Bado aliyowauadah huruma imeniingia juu ya makonda. Watu wameanza kumgeuka mmoja mmoja, ipo siku hata wale wenye magari yao watamdai.
Weka ushahidi hapaHao GSM nao wana record mbovu tu, hapo naona tapeli nae katapeliwa, kila nikisoma ule uzi wao ulioko huku jf naona hao jamaa nao wanatakiwa kuchunguzwa na vyombo vya dola, ni wahalifu wanaolindwa na urafiki kati yao na walioshika hatamu.
Kwa sababu makonda ni Msukuma?mtanzania mweusi anapambana na Makonda dhidi ya tajiri Msomali Gharib....
Huyu Gharib na GSM sidhani kama wana nguvu yeyote ya kumnyoshea kidole Makonda
Sio kidole tu bali wameshachukua nyumba yao aliyotaka kuwatapeli kwa mgongo wa JPM na ni wazi bashite hana cha kuwafanya.mtanzania mweusi anapambana na Makonda dhidi ya tajiri Msomali Gharib....
Huyu Gharib na GSM sidhani kama wana nguvu yeyote ya kumnyoshea kidole Makonda
Hii takataka Makonda inapaswa kuwa jela na siyo uraiani!! Huyu ana kesi ya kujibu mauaji ya Ben Saanane na utekaji wa Roma Mkatoliki na wengine wengi.mtanzania mweusi anapambana na Makonda dhidi ya tajiri Msomali Gharib....
Huyu Gharib na GSM sidhani kama wana nguvu yeyote ya kumnyoshea kidole Makonda
Record yao chafu haiwazuii kuchukua nyumba yao iliyotaka kutapeliwa na bashite.Kabisaaa.GSM wanarekodi chafu