Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Huyu mpuuzi anatakiwa afungwe alikuwa mla rushwa sn
Kama mtu ni division ZERO hakika hawezi kuficha ZERO yake maishani. Makonda amekuwa mfanyakazi wa Serikali kwa miaka 2014-2020, ni kwa mshahara gani anaweza kumiliki nyumba ya Tsh 2.0 Billion?

Angekuwa ana akili hata ya Div IV, ingebidi akae mbali na utajiri huu na azoee maisha ya kawaida.

Hata kama Rais SSH anamlinda kama inavyodaiwa na baadhi ya watu, ajue tu iko siku Samia atatoka madarakani na ATADHALILISHWA tu. Mali ya DHULUMA na damu za watu wasio na hatia alizomwaga bado zinamtafuta
 
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Kama Makonda alifikia kutumia jina la JPM kujimilikisha visivyo halali na kudhulumu vya wengine hatakiwi kuonewa huruma.

Na hii inachafua uongozi uliopita. Kumbe watu walikuwa wanajiamulia.! Maadamu vyombo vya usalama vipo basi ukweli utajulikana.

Kweli tutasikia na kuona mengi
 
Kama mtu ni division ZERO hakika hawezi kuficha ZERO yake maishani. Makonda amekuwa mfanyakazi wa Serikali kwa miaka 2014-2020, ni kwa mshahara gani anaweza kumiliki nyumba ya Tsh 2.0 Billion?

Angekuwa ana akili hata ya Div IV, ingebidi akae mbali na utajiri huu na azoee maisha ya kawaida.

Hata kama Rais SSH anamlinda kama inavyodaiwa na baadhi ya watu, ajue tu iko siku Samia atatoka madarakani na ATADHALILISHWA tu. Mali ya DHULUMA na damu za watu wasio na hatia alizomwaga bado zinamtafuta
Tena bora angefungwa mapema akiwa bado kijana ili awahi kumaliza kifungo chake
 
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Kama Makonda alifikia kutumia jina la JPM kujimilikisha visivyo halali na kudhulumu vya wengine hatakiwi kuonewa huruma. Na hii inachafua uongozi uliopita. Kumbe watu walikuwa wanajiamulia.! Maadamu vyombo vya usalama vipo basi ukweli utajulikana. Kweli tutasikia na kuona mengi
Makonda ni hirizi ya taifa
 
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Kama Makonda alifikia kutumia jina la JPM kujimilikisha visivyo halali na kudhulumu vya wengine hatakiwi kuonewa huruma. Na hii inachafua uongozi uliopita. Kumbe watu walikuwa wanajiamulia.! Maadamu vyombo vya usalama vipo basi ukweli utajulikana. Kweli tutasikia na kuona mengi
Vyombo vipi hivyo vya usalama unazungumzia?! Kama ni hivi vilivyoshikiliwa akili na ccm basi sahau kuhusu hilo
 
dah huruma imeniingia juu ya makonda. Watu wameanza kumgeuka mmoja mmoja, ipo siku hata wale wenye magari yao watamdai.
Ukienda TAKUKURU Upanga kuna watanzania wenye asili ya India kama watano walileta malalamiko pamoja na kadi za gari... Kuna mmoja alichukuliwa new model v8 ya mwaka 2016 na bei yake mpaka leo ipo juu sana hiyo gari..

Hawa walikuwa wanalindwa na mfumo ulivyokuwa wa nchi...

Kwani watu hawakusikia msemo huu ' KWENYE UONGOZI WANGU TAJIRI ANAFANYWA CHOCHOTE ' na watu wakapiga makofi..

Bora hawa wakina GSM wamesalimika na roho zao.... Matajiri wengi walifariki wa pressure kitokana na kuambiwa inahitajika hii.. Account yako inatakiwa ikatwe hela hii.....

Hujakaa sawa unafuatwa mheshimiwa amenituma kwako kuchukua hiki... Nk
 
Unadhan wote tunafanya Kaz zinazofana mkuu. Mm natoka lindo mda huu nimekesha usiku kucha

Halafu acha kukalili wengine mda huu ndio saa moja usiku baadh ya nchi japo mm nipo hapahapa kwa nyerere

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hajauliza kazi yako bali kasema fanyeni kazi acheni umbea kwahiyo fanya kazi yako hiyohiyo ya lindo bila kupumzika uingeze kipati zaidi au uolewe nayo ni kazi siyo umbea,kazi ziko nyinymgi!!
Mmbea wewe!!
 
Back
Top Bottom