Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Video: Makonda yamkuta makubwa, Ghalib wa GSM adai nyumba yake

Hao GSM nao wana record mbovu tu, hapo naona tapeli nae katapeliwa.

Kila nikisoma ule uzi wao ulioko huku JF naona hao jamaa nao wanatakiwa kuchunguzwa na vyombo vya dola, ni wahalifu wanaolindwa na urafiki kati yao na walioshika hatamu.

GSM na Makonda wote marafiki wa Ikulu, shikeni majembe yenu mkalime tu.
Kama nimekuelewa vizuri ni kwamba, UKITAPELIWA while na wewe ni TAPELI basi usichukue hatua za kisheria tu kwasababu na wewe umewahi kutapeliwa! Asante kwa elimu nzuri though sina hakika kama hili jambo unalolisema ni la kisheria, bado naendelea kujifunza
 
Makonda alikuwa tapeli wa kiwango cha juu. Kule Mwanza alipora kiwanja Capripoint kutoka familia ya Chacha, mmiliki wa hospitali ya CF. Akawadanganya kuwa watalipwa, akaishia kujenga nyumba yake binafsi.
Sema akyaa Mungu
 
Ukienda TAKUKURU Upanga kuna watanzania wenye asili ya India kama watano walileta malalamiko pamoja na kadi za gari... Kuna mmoja alichukuliwa new model v8 ya mwaka 2016 na bei yake mpaka leo ipo juu sana hiyo gari..

Hawa walikuwa wanalindwa na mfumo ulivyokuwa wa nchi...

Kwani watu hawakusikia msemo huu ' KWENYE UONGOZI WANGU TAJIRI ANAFANYWA CHOCHOTE ' na watu wakapiga makofi..

Bora hawa wakina GSM wamesalimika na roho zao.... Matajiri wengi walifariki wa pressure kitokana na kuambiwa inahitajika hii.. Account yako inatakiwa ikatwe hela hii.....

Hujakaa sawa unafuatwa mheshimiwa amenituma kwako kuchukua hiki... Nk
Watu wengi wa karibu na mwendazake walitajirika kupitia jina lake
 
rushwa moja wanayopenda kuitumia wafanyabiashara wakubwa Tanzania ni kuwajengea ma property hawa ma rais na wakubwa wengine...... Wanajenga wanakupa umiliki.... JK kapewa sana ma apartment Mikocheni
I second this
 
Watu wengi wa karibu na mwendazake walitajirika kupitia jina lake
Kuna mmoja ni dereva wa malori ya mizigo kwenda nje hasa Congo na Zambia.. Aliniambia boss wao anasumbuliwa na watu wakidai wametumwa na mamlaka.
Mara ni lazima uchangie mifuko ya cement 500 pamoja na nondo za kutosha kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu eneo fulani..Kilichomshangaza akaona taarifa ile kwenye TV mifuko 200 tuu tena nondo hazikuwekwa.
Kila mwezi anagongewa mlango na watu kutoka ofisi ya mkuu wa wilaya..nk wakisema order kutoka juu.. Tunahitaji 40 M kwa ajili ya eneo hili nk.. Ilibidi nusu ya malori yake abadili no kuwa za Rwanda na Zambia.. Ili ionekane kampuni imeyumba na hana uwezo wa kila mwezi kuchangia mahela ya miradi ya maendeleo.
 
Huyu mpuuzi anatakiwa afungwe alikuwa mla rushwa sn
Vijana wa Shikuba mnahangaika sana,hakuna issue hapo....

Tajiri yenu ananyea ndoo kwa Biden gerezani.

Nyinyi mnahangaika na visasi mitandaoni.

Hizo video za Mange Kimambi ni Uchuro mtupu.

Makonda ni Untouchable.
 
Mkuu wanasiasa si watu wa kuweka nao bifu hasa unapokuwa mfanya biashara. Kama GSM wana mtu wa PR wataliona hili nalosema. Hivi nani alijua Makala atakuja kuwa mkuu wa mkoa wa Dar???? Ninachomaanisha hapa ni kuwa wanasiasa wana mitaji mikubwa ya network, mtu anaweza kuwa idle kwa muda ila siku mtu wake akimkumbuka basi anaweza kulipiza kisasi. Msipe kichwa GSM. Na kumbukeni Makonda na Mama ni kitu kimoja.
Kwa hiyo kama amedhulumu kweli GSM aache kudai haki yake kisa Makonda anaweza kuwa kiongozi tena!!! Arudishe mali za watu kama kweli alidhulumu hayo ya kesho itakuwaje, kila mtu ana kesho yake.
 
Kuna mmoja ni dereva wa malori ya mizigo kwenda nje hasa Congo na Zambia.. Aliniambia boss wao anasumbuliwa na watu wakidai wametumwa na mamlaka..
Mara ni lazima uchangie mifuko ya cement 500 pamoja na nondo za kutosha kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu eneo fulani..Kilichomshangaza akaona taarifa ile kwenye TV mifuko 200 tuu tena nondo hazikuwekwa.
Kila mwezi anagongewa mlango na watu kutoka ofisi ya mkuu wa wilaya..nk wakisema order kutoka juu.. Tunahitaji 40 M kwa ajili ya eneo hili nk.. Ilibidi nusu ya malori yake abadili no kuwa za Rwanda na Zambia.. Ili ionekane kampuni imeyumba na hana uwezo wa kila mwezi kuchangia mahela ya miradi ya maendeleo.
Sio huyo tu wapo wengi sana walitishiwa maisha na vijana wa chini ila Magufuli hakuyajua hayo ni watu ambao sio waaminifu walikuwa wanamzunguka kwa maslahi yao binafsi
 
Back
Top Bottom