🤣🤣🤣na viungo juuKuna wengine wanamdai damu zao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣na viungo juuKuna wengine wanamdai damu zao
Makonda ni hatari sn🤣🤣🤣na viungo juu
Namshauri makonda kama anadhani anadhurumiwa aeende mahakamani🤣🤣Mwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.
Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.
View attachment 2145146
View attachment 2145147
Wakina nani walikuwa sukuma gang?Sukuma gang yoote
Bashite sio mwanasiasaMkuu wanasiasa si watu wa kuweka nao bifu hasa unapokuwa mfanya biashara. Kama GSM wana mtu wa PR wataliona hili nalosema. Hivi nani alijua Makala atakuja kuwa mkuu wa mkoa wa Dar???? Ninachomaanisha hapa ni kuwa wanasiasa wana mitaji mikubwa ya network, mtu anaweza kuwa idle kwa muda ila siku mtu wake akimkumbuka basi anaweza kulipiza kisasi. Msipe kichwa GSM. Na kumbukeni Makonda na Mama ni kitu kimoja.
Haki huinua mtuWakati Makonda na Sabaya wanadidimia Tazama Mbowe anavyoinuliwa siku hadi siku.
Hiyo Mali Makonda hajanunuwa,hao GSM walimpa Kama zawadi! Sasa jiuulize Mfanyabiashara Mkubwa unampaje Mkuu wa Mkoa zawadi yenye thamani kubwa Kama ile!? Je Wanataka nini in return!? Mbona Konda Boy hajapewa Nyumba au Kiwanja na Baharesa!? Baharesa biashara zake zimeonyooka ndiyo maana hana hata muda wa kujipendekeza kwa Viongozi! Ukiona Mfanyabiashara Mkubwa anajipendekeza kwa Viongozi ujuwe huyo ana machafu yake kwenye biashara zake na anataka Ulinzi tu!!Waseme Kwa nani ? Makonda mshahara rc unatosha kweli kumiliki Mali hizo ?
Gharib ni mtanzania we acha ubaguzi we mkoromije.
Acha ubaguzi mkuu
Ni Ghalib sio "Gharib" na sio Msomali huyo, kama hujui ni heri ukae kimya tu. Huyo ni Mmahara na Mdigo wa Tanga.
Wanadaiana waachwe wadaiane kwa raha zao.
Makonda inaonesha alitumiwa na GSM kama ile mipira, kazi yake imekwisha sasa hana faida tena atupwe tu.
Siku za mwizi 40, kama Ghalib nae kuna dhulma aliifanya basi malipo ni hapa hapa duniani.
Mwaka 2019 aliwadanganya GSM wale wafadhili wa Yanga kuwa Jiwe anataka ajengewe nyumba. Kweli GSM wakamuamini na wakajenga.
Baada ya hapo GSM wakawa wanataka Jiwe mwenyewe akazindue nyumba hiyo lakini Bashite akawa anawapotezea. Ndipo kwa namna yao wakamfikia Jiwe na mchezo ndipo ulipoharibika kwa vile Jiwe hakumtuma Bashite.
View attachment 2145146
View attachment 2145147
Ubaguzi wako nao hao mnaowatetea na kujiona watanzania wenzenu huku gizani wakiukana Utanzania na kuwafanya watanzania Wapagazi wao huku wakipambana kuwablack mail kwenye njia zote za uchumi....nyie mkibaki na vita zenu za CCM na CDM, SIMBA VS YANGA huku wao wakimwaga hela muendelee kulala usingizi..
unaijua system vizuri wewe?Kama kuna nyumba imejengwa mwenye nyumba ni mwenye hati ya kiwanja!! Kama Makonda anayo hati ya kiwanja nyumba ilipojengwa basi GSM walie tu!
Ndio! Na huwa inafanyika mara nyingi sana kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿, hata kwenye kusajili KAMPUNI ZA KIBIASHARA huwa wanarudisha muda nyuma.unaijua system vizuri wewe?
Wakiamua inatengenezwa hati nyingine,inakuwa back dated halafu yako inaonekana ni forgery na kesi unaambulia...
Vijana wa Shikuba mnahangaika sana,hakuna issue hapo....
Tajiri yenu ananyea ndoo kwa Biden gerezani.
Nyinyi mnahangaika na visasi mitandaoni.
Hizo video za Mange Kimambi ni Uchuro mtupu.
Makonda ni Untouchable.
Kama huwajui sukuma gang basi wewe siyo mtanzaniaWakina nani walikuwa sukuma gang?
Wewe ni mpenda dhuruma na damu za watu ndio maana unawashangaa wachangiaji.Ukitaka kuona real zile afrikan illusion characters njoo JF, yaani watu wanaandika utadhani wao ndiyo walidhurumiwa, kuuliwa ndg, kutapeliwa, kufungwa nk.