Sina hasira na waisrael ila ninapinga kinachofanywa na serikali ya kizayuni waisrael hawajanikosea kitu ,ndio maana unaona hata yule mama wa ikulu ya marekani muisrael alijiuzulu kupinga sera na tabia za mazayuni dhidi ya wapalestinaHasira ya nini?! Kwani wayahudi walikufanya nini?
Walimtesa nabii issaHasira ya nini?! Kwani wayahudi walikufanya nini?
Katika hao 72 na bikila maria yumo
Ina maana hata habari kutoka times of usrael pia ambalo ni shirika la habari la wazayuni pia unazipinga ,kweli manabii kama kiboko ya wachawi wapewe maua yao mmekuwa kama mazombi hamuoni wala hamsikiiDorad ni kampuni binafsi ya kimataifa ambayo inahusika na kuzalisha umeme kwa kutumia gas na diesel. Haimilikiwi na Turkey bali kuna kampuni ya Turkey Zorlu Energy inamiliki asilimi 25 wakati kampuni nyingine ya israel inamiliki asilimia 37.
Ukipunguza chuki na makasiriko utaelewa
Kuna wakati ukiandika huwa nashangaa sana, waonekana ni mtu mwenye busara sema mazingira humfanya mtu kuongea vitu asivyokusudia.Huu uzi mashoga wa JF hawausogelei, na anaeusogelea tu, utamjuwa, hawajifichi mashoiga zao wakiumbuliwa.
Huyu Ritz kama ni mtanzania serikali imchunguze sana mtu huyu anachuki ya ajabu na wasiokuwa waislamu. Ipo siku atajilipua ama kuchinja watu kama kuku nchi hii. Waislamu ni jamii ya watu wasiopenda amani kbs wao wakiona damu inamwagika kwao burudaani kabisa
Kama imefikia hatua unabishana hadi na gazeti la israel basi hakuna kitu unaweza kuelewa mkatoliki kutoka ilejeUnajua wewe unatakiwa uelewe kwamba siyo kwa vile wewe umefanywa zombi na tamaduni za watu basi kila mtu yupo hivyo.
Ujinga ni kusoma kichwa habari na kukurupuka bila kusoma kilichoandikwa ndani.
Hiyo Dorad Energy ipo Israel Ashkleon, ila wewe kwa uzombi wako ulifikiri ipo Turkey. Kasome ownership ya hiyo Kampuni ndo utaelewa.
ACHA UZOMBI
Tatizo mnasoma bila kuelewa, hao wameandika ‘to suffer’ means wanapiga ramli. Kingine, hiyo 7% per cent is not everything kwao, bali ilikuwa ni kwa ajili ya mahusiano tu, Turkey akikata huo umeme Israel ataenda ku produce zaidi kwenye vyanzo vyake, Je Turkey ataupeleka wapi?Israeli construction to suffer under Turkey's economic sanctions
Hapo ndiyo wamepunguzapunguza,kwani wewe wajua nini,ikiwa ya nyumbani kwako gas mnazi bay wadai iliuzwa yote kwa mchina!?
Turkey hawahitaji chochote kutoka israel ndio maana wameamua kufuta biashara zote na israel ndio anaolalamikaTatizo mnasoma bila kuelewa, hao wameandika ‘to suffer’ means wanapiga ramli. Kingine, hiyo 7% per cent is not everything kwao, bali ilikuwa ni kwa ajili ya mahusiano tu, Turkey akikata huo umeme Israel ataenda ku produce zaidi kwenye vyanzo vyake, Je Turkey ataupeleka wapi?
Kuna deals watu huingia ili tu kumfanya mwingine aione thamani yako kwake, siyo sababu una shida
Avha kujidanganya ili kufurahisha hisia zako.Turkey hawahitaji chochote kutoka israel ndio maana wameamua kufuta biashara zote na israel ndio anaolalamika
Kama ulikuwa hujui israel anategemea sana viwanda vya turkey ,na turkey wala hategemei chochote kutoka israel maana ina viwanda vingi na imejitosheleza, na israel akisema aagize kutoka china au nchi nyingine red sea hapapitiki
Labda waisrael ndio wanaojidanganya maana wao ndio walioleta taarifa, vipi wewe huko ileje unajua kuhusu israel kuliko times of israel?Avha kujidanganya ili kufurahisha hisia zako.
Mtu anayejua dini na mungu anaweza kumwita binadamu mungu? Mtu anayejua dini anaweza kusema kuna mungu watatu?Wewe ndo mpuuzi ambaye unakimbia na vichwa vya habari bila kusoma kilichoandikwa. Nimekupa taarifa kuhusu umiliki wa hiyo kampuni na mtambo wa uzalishaji umeme ulipo lakini unakomaa tu gazeti, mara ukatoliki.
Itakuwa unawagopa sana wakatoliki kwa sababu wana elimu ya dunia na elimu ya dini. Wanajielewa na wana miiko na hawaendeshwi na mihemko kama wewe. Wanajijua dini, na wanajua dunia inaendaje ndo maana hawakurupuki na wala siyo mazombi kama.
Achana na wakatoliki siyo size yako kabisa, jikite kwenye mada.
Ndiyo nimekwambia kwamba hiyo haitawasumbua kama unavyodhani na kutamani, Turkey atapiteza soko but Israel ata recover faster sababu kwake hizo biashara ilikuwa si kwasababu kashindwa kuzitengeneza au kupata kwingine, bali ilikuwa ni kuimarisha mahusiano kati yao na kujenga thamani ya mahusiano.NIlishasema wakristo wà tanzania wengi ni kama mazombi kwa israel, haya pata facts hizo kutoka kwa muisrael mwenyewe, wamekuwa wakihudumiwa na turkey kwenye ministry of defence na ofisi za idf since 2004 , turkey viwanda vyake vinahudumia dunia nzima including israel, ndio maana hata leo unaona wafanyabiashara dunia nzima wanaenda turkey
Haya pata shule kidogo achana na story za wachungaji wako wa ileje
Nakwambia hivi achana na Wakatoliki hao siyo size yako kabisa. Ongerea masuala yako mengine hao achana wao. Katoliki ni sehemu ya wakristo lakini lina waumini ambao ni nusu ya idadi wa waumini wa kiislamu dunia nzima.Mtu anayejua dini na mungu anaweza kumwita binadamu mungu? Mtu anayejua dini anaweza kusema kuna mungu watatu?
Embu acheni mambo yenu
Wewe unajua kuhusu habari israel kuliko waisrael wenyewe ambao wanamiliki times of israel
hizo ni imani siyo facts, the fact is israel anategemea viwanda vya turkey kwenye mahitaji yake ya kila siku, na hayo yamesemwa na waisrael wenyewe kupitia chombo chao cha habari, sasa wewe wa ileje unaingiza hisia, hapo ndio tatizo lilipoNdiyo nimekwambia kwamba hiyo haitawasumbua kama unavyodhani na kutamani, Turkey atapiteza soko but Israel ata recover faster sababu kwake hizo biashara ilikuwa si kwasababu kashindwa kuzitengeneza au kupata kwingine, bali ilikuwa ni kuimarisha mahusiano kati yao na kujenga thamani ya mahusiano.
Hawa hawa waliopinga dp world kwa kusema inaeneza uislamu ndio unasema wana akili ,Nakwambia hivi achana na Wakatoliki hao siyo size yako kabisa. Ongerea masuala yako mengine hao achana wao. Katoliki ni sehemu ya wakristo lakini lina waumini ambao ni nusu ya idadi wa waumini wa kiislamu dunia nzima.
Huna elimu ya kuwaelewa wakatoliki endelea na chuki na makasiriko yako kwa wayahudi.
hapo sasa umeongea kama msomi ila sasa turkey ana uwezo wa kuuza bidhaa zake dunia nzima, ila israel sasahivi yupo vitani na hana ushawishi wa kuuza bidhaa zake au kuimport kutoka nchi nyingine maana kuna subortagr nyingi baharini kutokana na vitaKwa mwaka 2022 Tirkey iliuza Israel bidhaa zenye thamani ya USD 7bilioni wakati Israel iliuza Turkey 2bilioni. Kati ya hao wawili wakisitisha boashara nani ataumia zaidi? Hapo wote wataumia kwa sababu si rahisi Turkey kupata soko la bidhaa lenye thamani hiyo kwa muda mfupi na ni ngumu kwa Israel kupata bidha zenye thamani hiyo kwa muda mfupi. Kwa hiyo usione kwamba Israel tu ndo wataumia.
Wazungu wapi wanajiunga na uislamu? Hujaona maandamano ya Uingereza juzi walivyochoma misikiti? Hiyo inaonesha ni kwa namna gani uislamu haupendwi kwa wazungu.Hawa hawa waliopinga dp world kwa kusema inaeneza uislamu ndio unasema wana akili ,
Na kuhusu waumini unajua kwamba hata wazungu sasahivi wanaachana na ukristo kwa kasi na by 2050 uislamu ndio utakuwa world leading religion au hujui hata hili
Wale ni vibaka tu hukuona wqnavunja maduka na kuiba , nchi yoyote haikosi tabaka la watu masikini amablo wanaona wahamiaji ndi chanzo cha umasikini wao na si unaona wengi wameishia jela tena mahakama uingereza zinafanya kazi 24hrs kudeal na kuwahukumu faster, ulaya na marekani sasahivi wazungu wengi tena makundi kwa makundi wanaingia uislamuWazungu wapi wanajiunga na uislamu? Hujaona maandamano ya Uingereza juzi walivyochoma misikiti? Hiyo inaonesha ni kwa namna gani uislamu haupendwi kwa wazungu.
Ni hivi waislamu ndo wanaongezeoa ulaya na siyo kwamba wazungu ndo wanakuwa waislamu.
Kwa taarifa yako tu nchi nyingi za Ulaya sikukuu za kiislamu zote hazitambuliwi kama public holiday. Endeleeni kujidanganya na kukurupuka.
Wazungu wanaachana na dini ila hawajiungi na uislamu.