inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hiyo haikuwa hoja husikaKwenye suala la biashara hutakiwi kuangalia upande mmoja. Je, wafanyabiashara na kampuni za Turkey ambazo zilikuwa zinaexport bidhaa zake Israel hazikuathirika? Je, watapata wapi wateja wengine wa kununua bidhaa kama Israel kwa haraka?
Siku mkijadili vitu bila mihemko ndo mtaelewa
KwaTatizo mnasoma bila kuelewa, hao wameandika ‘to suffer’ means wanapiga ramli. Kingine, hiyo 7% per cent is not everything kwao, bali ilikuwa ni kwa ajili ya mahusiano tu, Turkey akikata huo umeme Israel ataenda ku produce zaidi kwenye vyanzo vyake, Je Turkey ataupeleka wapi?
Kuna deals watu huingia ili tu kumfanya mwingine aione thamani yako kwake, siyo sababu una shida
Pole sanaTatizo mnasoma bila kuelewa, hao wameandika ‘to suffer’ means wanapiga ramli. Kingine, hiyo 7% per cent is not everything kwao, bali ilikuwa ni kwa ajili ya mahusiano tu, Turkey akikata huo umeme Israel ataenda ku produce zaidi kwenye vyanzo vyake, Je Turkey ataupeleka wapi?
Kuna deals watu huingia ili tu kumfanya mwingine aione thamani yako kwake, siyo sababu una shida
Hivi mfano wewe watu wakisema uandamane utaandamana ,siku zote wanaoandamana ni choka mbaya na waliopoteza matumainiSerikali yao imeamua kuwaita vibaka ila hao ndo waingereza halisi na huo ndo msimamo wa raia walio wengi japi wananyamazishwa na kuitwa wabaguzi wa rangi na waharifu.
Halafu walichokuwa wanafanya ni kuharibu biashara za wageni ambao wengi wana asili ya Asia.
Endeleeni kuaminishana uongo, uislamu haupendwi na wenyeji. Wana tamaduni zao na wanajua ndo mwanzo wa kutawaliwa.
Kwamba Israel hawezi kutengeneza makaratasi au kuzalisha umeme? Hiyo 93% nyingine ya umeme anaitoa wapi?hizo ni imani siyo facts, the fact is israel anategemea viwanda vya turkey kwenye mahitaji yake ya kila siku, na hayo yamesemwa na waisrael wenyewe kupitia chombo chao cha habari, sasa wewe wa ileje unaingiza hisia, hapo ndio tatizo lilipo
Angekuwa anaweza asingerely kwenye kampuni ya turkey tena kwenye sector nyeti kama wizara ya ulinzi na idfKwamba Israel hawezi kutengeneza makaratasi au kuzalisha umeme? Hiyo 93% nyingine ya umeme anaitoa wapi?
Wewe ongea upendavyo, kama ulivyosema "hunijuwi sikujuwi" huo ndiyo ukweli.Kuna wakati ukiandika huwa nashangaa sana, waonekana ni mtu mwenye busara sema mazingira humfanya mtu kuongea vitu asivyokusudia.
Sikujui hunijui ila hayo ni maoni yangu
Ni punguani peke yake ndiyo hawezi kuwachukia Waisrale yaani watu wanauwa watoto zaidi ya 15.000 na wanawake wanapiga mabomu shule unataka watu wawapende? Labda mashoga peke yake na mapunguani ndiyo wataendelea kuwapenda.Mbona unachuki hivyo na waisrael? Walikufanya nini?
Hiyo chuki muelekeze kwa hamas inayotumia raia kama ngao wakati wa vita.Ni punguani peke yake ndiyo hawezi kuwachukia Waisrale yaani watu wanauwa watoto zaidi ya 15.000 na wanawake wanapiga mabomu shule unataka watu wawapende? Labda mashoga peke yake na mapunguani ndiyo wataendelea kuwapenda.
Wewe mlokole mbona muongo JF siyo sehemu ya porojo mnavyodanganywa na Mwaposa mnadhani kila mtu mtandanganya unaandika uharo bila ushihidi wowote. Weka data kama hivi.Acha uongo wewe, upsnde wa umeme Israel inajiyosheleza, ila kwa ajili ya mahusiano ya kibiashara na Turkey imeamua kununua 7% ya umeme wake kutoka Turkey. Turkey akiamua kuukata itakula kwake, maana yeye ndiye atakayepoteza, siyo Israel sababu upande wa umeme yupo vizuri.
Biashara nyingine nazo ni za kimahusiano tu as win-win, Israel anauza Turkey, Turkey naye anauza Israel.
Mashenzi etc alahamdulilahiWanaukumbi,
Angalia hizo video
Marekani na
IDF ilifanya operesheni iliyofeli katika huko Yemen na Wanajeshi wao 70 waliuawa hapo hapo.
Msikilize Kanali wa Marekani Douglas Macgregor. Akieleza kilichotokea huko Yemen.
Video ingine ni Maiti za Wanajeshi wa Marekani na Israel zikiwa zimesambaa baada ya kushambuliwa na Wayemen.
Propaganda za kishoga hizo zimeishapitwa kwa hiyo Hamas wanatumia watoto kama ngao mabomu yakirushwa yanawachagua watoto na kuwacha Hamas?Hiyo chuki muelekeze kwa hamas inayotumia raia kama ngao wakati wa vita.
Hamas wanashambulia halafu wanaenda kujificha nyuma ya kina mama.
Hiyo ndio itakuwa fundisho la la Marekani na israil wasijaribu kwenda kupigana na Wa-hoothi watakufa sana .Wanaukumbi,
Angalia hizo video
Marekani na
IDF ilifanya operesheni iliyofeli katika huko Yemen na Wanajeshi wao 70 waliuawa hapo hapo.
Msikilize Kanali wa Marekani Douglas Macgregor. Akieleza kilichotokea huko Yemen.
Video ingine ni Maiti za Wanajeshi wa Marekani na Israel zikiwa zimesambaa baada ya kushambuliwa na Wayemen.
Marekani na Israel vita vya ardhini hawezi kabisa kuna majinga humu JF uwa yanaamini Marekani na Israel hawawezi kupigwa, wanasema hawa Yemen masikini wana njaa angalia walichowafanya.Hiyo ndio itakuwa fundisho la la Marekani na israil wasijaribu kwenda kupigana na Wa-hoothi watakufa sana .
Wakiendea kutumia raia wa palestina kama human shield watashughulikiwa bila hurumaPropaganda za kishoga hizo zimeishapitwa kwa hiyo Hamas wanatumia watoto kama ngao mabomu yakirushwa yanawachagua watoto na kuwacha Hamas?
Wewe lazima utakuwa Upinde🌈
Ingekuwa hawawezi ground offensive wasingeifanya gaza vile ilivyo sasa hiviMarekani na Israel vita vya ardhini hawezi kabisa kuna majinga humu JF uwa yanaamini Marekani na Israel hawawezi kupigwa, wanasema hawa Yemen masikini wana njaa angalia walichowafanya.
Ni punguani peke yake ndiyo hawezi kuwachukia Waisrale yaani watu wanauwa watoto zaidi ya 15.000 na wanawake wanapiga mabomu shule unataka watu wawapende? Labda mashoga peke yake na mapunguani ndiyo wataendelea kuwapenda.
Gaza kila wakishuka wanauliwa Gaza hawapigani vita vya ardhini wanapiga mabomu kwa ndege na drone.Ingekuwa hawawezi ground offensive wasingeifanya gaza vile ilivyo sasa hivi
Wewe endelea kubwabwaja nyuma ya keyboard ni haki yako, ila magaidi hapo Gaza yanajua shughuli ya IDF pamoja na ShinBet.Gaza kila wakishuka wanauliwa Gaza hawapigani vita vya ardhini wanapiga mabomu kwa ndege na drone.
Ni aibu Jeshi la Israel lina kila kitu na bado linapata msaada kutoka Marekani na Ulaya pesa na silaha wakati Hamas wana makombora ya kienyeji yakutengeneza Tabata ya Gaza hiyo Gaza yenyewe inazidiwa na Kigamboni mpaka sasa hawa mabwana zenu wamepoteza zaidi ya Wanajeshi 10.000 wanamgambo wa Hamas hawazidi hata 30.000 wewe upo Makete hujui kinachotokea Gaza.
Mabwana zako wanasema wamaishika Gaza yote lakini hawajui mateka walipo.
Wamebakia kushambulia shule na hospitali wakisema Hamas wanaficha silaha wakiambiwa walete ushahidi hawana, ndiyo maana jumuiya ya Ulaya wameamua kutoa pesa za misaada kwa Palestina baada ya kuona Israel wamechemka wanapewa kila kitu.