ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 6,096
- 16,390
Ebu acha mihemko ya kijinga waandamanaji wa Iran walikuwa hawavunji mabenki, kuchoma magari mpaka na nyumba za viongozi walikuwa hawawashambulii polisi?huyo raia kama anajihusisha na violence kama kuvunja maduka,kuchoma magari na kujaribu kuwa attack polisi unadhani polisi wafanyaje?? Iran wao huzima maandano kwa nguvu lakini hawa wanakabiliana na wale wanaojaribu kufanya violence.
Ebu tutolee ujinga .