Wantanzania leo munamwita Nape kuwa alikuwa jembe kaw lipi alilolifanya tangu amekuwa mwanasiasa?
Moja ya watu ambao ni mizigo kwa ccm japo walibebeka sana.
Kafanya nini jimboni kwake cha kujivunia kwetu sisi wananchi wake tuliomchagua?
"Mabadiliko yanapotokea, huwakuta wengine wakiwa usingizini na wanaposhituka, huwa teyari kumekucha."We ndo una chuki binafsi na mkulu, Lowasa alivyojiuzuru alitandikiwa zuria jekundu, Kitwanga alivyotumbuliwa kwao walimpokea kama shujaa, Nape tu kupokelewa hivyo ndo wamemchoka Mkulu?
Alikuwa na heshima kwa boss wake alichofanya alikuwa anatekeleza majukumu yake ila kwa sababu ya double standard kuwa ni kawaida katika gov. ya sasa ndiyo kilichomkutamapokezi si alijiandaa ulitegemea iweje. katumbuliwa katumbuliwa tu akajifunze upya kuheshimu wakubwa zake wa kazi
Hivi wabunge kama hawa hawaoni uchungu kwa kuwatapeli wana nchi wao? Ni aibu tosha kabis!Wantanzania leo munamwita Nape kuwa alikuwa jembe kaw lipi alilolifanya tangu amekuwa mwanasiasa?
Moja ya watu ambao ni mizigo kwa ccm japo walibebeka sana.
Kafanya nini jimboni kwake cha kujivunia kwetu sisi wananchi wake tuliomchagua?
Well saidKazi ya wauza madawa ya kulevya ni kujipa moyo kama hivi
huwezi kuelewa kamaunawaza ushabiki zaidiKumbe BASHITE alikuwa mkubwa KULIKO NAPE?
Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?
Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.
Mtanyooka tu
huwezi pishana kiswahili na boss hadharani . ndiyo tumefundishwa hivyoAlikuwa na heshima kwa boss wake alichofanya alikuwa anatekeleza majukumu yake ila kwa sababu ya double standard kuwa ni kawaida katika gov. ya sasa ndiyo kilichomkuta
Wangapi walijua kuwa Mwakyembe baadae angekuja kuwa Senior Minister wa Jk wakati ule wa 2008 kwny Scandle ya Richmond ?
Weka Akiba ya Maneno
2007 Nape alikatwa kwny Mchujo wa Uenykt UV-CCM na alipojaribu kukata Rufaa Katibu Mkuu wa Chama Mzee Makamba akamwambia rufaa yako imefungwa Mbinguni na Ardhini lakin Miaka minne baadae akawa Bosi wa Mzee Makamba.
Siasa hazina' Mtabiri wa Hali ya hewa 'we tembea na Mwamvuli tu Muda wote inaweza kunyesha.
Mtaisoma namba 2020 ushindani utakuwa sio wa kitoto.Acha kuchochea, karudi jimboni kwake ulitegemea iweje!?
Tena hao mbona sio wanamtama wote. Ungeona wenzake wa CCM waliokaa meza kuu, walivyokuwa hawampigii makofi kwa mengi aliyoongea ndio ungejua kuwa anachemka na leo kajionyesha zaidi kuwa ni mtu hatari wa mabaya.
Mtanyooka tu
Nyie bavicha ni vituko sana, hivi kwenye jimbo lake mlitegemea wawe watu kumi kumpokea?Mapokezi hayo ni salamu tosha kwa 'asiyejaribiwa'.. Na time will tell
Nafikiri anashika rekodi ya vichaa waliowehuka hapa jf iyo ng'ombe inachonikera haielewi hata inaandika nn sijui inalipwa sh ngapi kujidhalilisha .Huyo dada nahisi kuna namna ameweka alert thread ikianzishwa huyoo keshajibu fasta...
yuko Fasta kumshinda Bashite mwenyewe
Sasa NAPE alichokosea nn?zaidi ya kumwona BASHITE ana hatia kuvamia clouds... nani asiejuwa kama... UKIMWONA SWALA ANARINGA MBUGANI...elewa ana undugu na SIMBA..na chui MJOMBA WAKE..huwezi kuelewa kamaunawaza ushabiki zaidi
Sio wa team mbowe!Mtaisoma namba 2020 ushindani utakuwa sio wa kitoto.
Sio mdada huyo,lizaboni huyo.Huyo dada nahisi kuna namna ameweka alert thread ikianzishwa huyoo keshajibu fasta...
yuko Fasta kumshinda Bashite mwenyewe