Tena inatakiwa wavurumishe ngozi nyeusi yote kutoka sehemu zote nzuri za jiji, wawahamishie pembezoni huko kama Gezaulole kama wazaramo walivyovurumishwa. Hatuna maana sisi, tumebaki kushangilia Simba na Yanga tu.
Palm yenyewe mchina yule mwana mamaMaeneo hayo Mchicha anakuvua tu km unataka kumpa, pale Palm village wamejaa
Hakuna cha problem hapoAnd this to me sounds like a very big problem
There is Chinatown in every major city around the globe.Wakuu,
Kama umepita mitaa ya Mikocheni hivi karibuni utagundua kuna wachina wengi sana.
Pale Ursino Street, wana hospitali kabisa ya wachina, supermarket na restaurant kubwa sana special kwa ajili yao.
Kuna hoteli moja pale Mikocheni ilikuwa inaitwa Regency Park wameichukua wameifanya kuwa ya kwao na pale makao makuu ya zamani ya Bolt there is a whole hotel ambayo bado haijaisha wameichukua. Hata pake Palm Village kuna a restaurant ya kichina.
Huko Masaki , mbele ya Warehouse kuelekea International School of Tanganyika kuna restaurants na sehemu kama 4 kwa ajili ya Wachina tu. Homecity 2 zote ya Mikocheni na Mlimani City ni za kwao
Yaani kuna mtaa wa pale juu karibu na Morocco Square kote kumejaa Wachina tu
Pale kwenye nyumba za TBS, wamechukua nyumba nyingi wameweka garage na indoor small industries.
Ndani ya miaka 5 Masaki na Mikocheni inaenda kuwa ni mji wa kichina. Hata wapiga kura wanaenda kuwa wachina
Kama unaingia jv na mnapata pesa nzr shida iko wapiAnd this to me sounds like a very big problem
Itakuwa poaWatakua pia huko, kila mtu atafikiwa kwa muda wake
Nenda palm village na dolla 100-200 utapata hiyo huduma.Pisi kali zao zije kuuza mbususu tuzichakate.
Hawataki mabadiliko utakuta mtu ana miliki potential area na halifanyi lolote wapishe wenye kisu wakikate tuSio mbaya so long as hatuwaachii commanding heights za economy na sisi kuwa vijakazi; sehemu nyingi kuna sehemu za wachina (their culture) since they have rich culture..., Huko USA kuna China Town nyingi tu, pale uk Birmingham kuna Chiniese Quarter...
Mimi mdau wa dunia napenda sana hii nikifeel like having a change of scenery naweza kwenda Dar hapo nakujichanganya na kujiona kama nipo Beijing; so long as sibaguliwi na ninapewa services kama mdau yoyote....
Badala ya kuogopa hao wachina naweza kukuogopa wewe au watu kama wewe ambao ni xenophobic...
We dont need foreign investors wanao-invest kwenye CAR WASH, MIGAHAWA na ZAHANATI au investors wanaonunua nyumba na kuanza kupangisha.
Investor anatakiwa kuinvest kwenye maproject makubwa.
Wachina hao hao ndo wanamiliki Boomplay, Startimes na Tekno, lini umeona wabongo wanalalamika.
Unapata wapi nguvu ya kumuita mtu anayewekeza kwenye CAR WASH na mgahawa kuwa INVESTOR?
Wamekatazwa kwenda kujenga?Umejibu kama kijana wa UVCCM.
Ni watanzania wangapi wanamiliki supermarket, hoteli, na restaurants huko Guangzhou?
Una akili timamu?
Hatari gani unayo ihisi?Umesema kweli kabisa! Hata vibao barabarani vya kuelekeza hizo hoteli na hospitali zao vimeandikwa kwa Kichina. Bora wangekuwa wanaweka na maandishi ya Kiswahili pia katika vibao hivyo.
Huko kwenye maeneo yenye madini nako wamekuwa wengi wakiwa kama wachimbaji wadogo. Binafsi naona kama kuna hatari huko mbele, labda ni hisia tu....
Kwani kuna tatizo juu ya hilo?Wako wengi sana huko na it raises a lot of questions.
Wale jamaa soon tutaanza kuwaona wanagombea udiwani na Uenyekiti wa vitongoji
Unawajua AVIC ni wachina na taasisi yao huko unaijua inahusu niniHii si sawa kabisa. Ukifuatilia chinese mafia wanavyo launder money ndio utajua hawa wanaokuja huku kujaa watakuja kuleta uhuni kama wanaoupeleka mexico.
Garage zote za kichina boss wake mmoja huoni ni.cartel hiyo.
Wabaguzi. Wanalipa mishahara midogo. Hawakati nssf wala kodi wanabana kulipa.
Mchina ni yule aliyejenga tazara enzi.za. mwalimu.
Nakuelewaga sana..very smartTena inatakiwa wavurumishe ngozi nyeusi yote kutoka sehemu zote nzuri za jiji, wawahamishie pembezoni huko kama Gezaulole kama wazaramo walivyovurumishwa. Hatuna maana sisi, tumebaki kushangilia Simba na Yanga tu.
Nyie mbona mmeshindwa kuiendeleza obay ,masaki mikocheniHii si sawa kabisa. Ukifuatilia chinese mafia wanavyo launder money ndio utajua hawa wanaokuja huku kujaa watakuja kuleta uhuni kama wanaoupeleka mexico.
Garage zote za kichina boss wake mmoja huoni ni.cartel hiyo.
Wabaguzi. Wanalipa mishahara midogo. Hawakati nssf wala kodi wanabana kulipa.
Mchina ni yule aliyejenga tazara enzi.za. mwalimu.
Najua kabisa na hasa kwa nchi kama yetu ambayo serikali haijui maana ya kuwa-protect raia wake. Tanzania mchina anaweza kuwa na haki polisi kuliko mzawa wakati sehemu kama China ni tofauti. Tatizo ni kuwa raia wetu wamelala na hwataki kuamka.Hujui impact yake ndo maana unashangilia mambo ya ajabu.