Hizi mindset za OP kwa kiasi kikubwa ndio zimefufikisha hapa tulipo kama nchi.Hapana hilo sio tatizo, je unaogopa kuwa siku zijazo tutatawaliwa..? Hapana tufanye kazi kwa bidii mkuu wachina wana mitaa yao huko state tangu 60s usiwaogope pambana nao
Unaifahamu sheria ya ardhi kwa wachina wote ?
Na OP anakuambia haya mambo utayakuta TZ tu 😂😂😂Tanzania haina wachina wengi kushinda Singapore, nchi za Asia hata baadhi mataifa ya ulaya na marekani
Kwani huku sheria inasemaje kuhusu ardhi na mgeni ? Unaweza ukawa mwekezaji partnership na raia after all hata raia ardhi sio mali yako unapewa leaseChina mtu ukiwa ni mgeni yani sio mchina huruhusiwi kumiliki ardhi. Wana sheria hiyo na iko kwenye Katiba yao.
Na unadhani hio ni for the merit ? Kwahio sababu wao wanatabia za hivyo huenda kutokana na kwamba nchi yao imejaa na sisi tufanye hivyo ? Mimi nikiwa nina apartments zangu akaja mchina mwenye residence permit nikimpangisha who cares au ni kwamba siku akiondoka ataondoka nayo kwenye begi lake ?Hata kumiliki apartment mpaka kupata hicho kibali ni shida sana na hata ukikipata inatakiwa iwe ni kwa ajili ya kuishi wewe tu.
Kwamba mchina car wash yake haitakatishi ? na kama yake ni bora kuliko ya Mmakonde kwahio niende kwa Mmakonde au nitembelee na gari chafu wakati carwash ya mchina ipo ?Sasa kama that is the case kwanini wachina wanakuja Tanzania na serikalo yenu inawaacha wanaanzisha hadi car wash?
Hili swali ulipswa kuhoji mwanzoni kabisa mwa thread.Kwa utajiri uliokuwa nao China, Xi Jinping akiweka USD Bilioni 10 which is 0.000001% ya GDP ya China maana yake ni kwamba Wachina wanaweza wakanunua Oysterbay na Masaki yote in a span of 5 - 10 years.
Sasa kama huoni kwamba hilo ni tatizo sina kukwambia.
Na nikuulize, kwanini kuwe na Chinatowns hao wachina wana uspecial gani mpaka wawe na ka mji kao wenyewe?
Then the whole idea of your thread is nonsense kama ulikuwa unajua about china towns kwanini uanze kushangaa wao kujazana mikocheni na masaki?Basi hukunielewa, pole!
Hili swali ulipswa kuhoji mwanzoni kabisa mwa thread.
By they way wachina huishi hivyo ili kulinda utamaduni wao, wachina ni watamaduni sana popote pale walipo duniani.
Ni sawa na uhoji kwa nini wachaga uenda Kilimanjaro kila mwisho wa mwaka, kwa nini maasai haachi kuvaa lubega na kutembea na fimbo na sime
Are you sure ?Yes naifahamu iko kwenye katiba yao.
China ardhi yote ni ya serikali. Wewe mswahili ukienda huko usidhani utaruhusiwa kumiliki ardhi na hata kumiliki nyumba leasing ni miaka 70 baadae.
That is how serious those guys are
Nacho jaribu kukuelewesha ila sidhani kama upo tayari kuelewaSo what does that have to do with anything?
Sisi tunaongelea wachina waliopo bongo.
Hayo mambo ya Singapore umeleta wewe mkuu.
Ujue hata hueleweki unasema hakuna aliyekataa wachina kulinda tamaduni zao hapo hapo nimekuelekeza msingi mzima wa China Town nini unakuja tena unahoji uwepo wa China townHiyo mifano uliyoweka haiendani.
Wachaga no Watanzania, Wachina sio Watanzania.
Hamna mtu aliyekataa Wachina kulinda utamaduni wao.
Soma hoja yangu tena. Hiyo Chinatown sio kwamba iko moja.
Rudia tena nilichoandika
Then the whole idea of your thread is nonsense kama ulikuwa unajua about china towns kwanini uanze kushangaa wao kujazana mikocheni na masaki?
Ujue hata hueleweki unasema hakuna aliyekataa wachina kulinda tamaduni zao hapo hapo nimekuelekeza msingi mzima wa China Town nini unakuja tena unahoji uwepo wa China town
Mwaka 1800s China Town ya kwanza ilisimikwa U.S.A mpaka sasa ni miaka mingapi imepita ?Sasa why should i care about other countries? Mimi niliongelea Bongo au kwenye main body niiligusia nchi nyingine?
Plus hata kama kwenye nchi nyingine zipo bado hizo China towns za huko zinaripotiwa kuwa na matatizo makubwa.
London kwa mfano ilifikia hatua hadi mapolisi wakaanza kutuma "mashushu" ili kupata taarifa ya kinachoendelea huko maana uhalifu ulikuwa ni mkubwa.
Los Angeles walitunga sheria kqbisa ya kucontrol hayo mnayaita Machinatown, uhalifu ulikuwa uncontrollable.
Yaani kwa speed wanauoenda nayo Wachina, in 5 - 10 years huko Masaki na Mikocheni kote kutakuwa na bendera za Kichina, kama huoni hilo ni tatizo that's your own damn problem