long live my love
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,064
- 1,012
Mwl. Siku hizi umefungua kampuni?hiiiiiiiìiii.Wewe mbumbumbu mimi niko Mbezi Beach na kwa sasa napata bia hapa Amsterdam Pub. Unafikiri mimi ni sawa na wewe kula kulala njoo nikuajiri kwenye kampuni yangu!
You are so hopeless ever!Punguani mkubwa wewe yaani nyie misukuma mmekuja mjini juzi manajifanya wajanja ushamba wenu wa kuchunga mbuzi huwa haupotei kenge weee
Alikuwa anamsemea nani?Kwani alikuwa anawasemea wananchi?
Ndiyo njoo nikuajiri wewe kula kulala.Mwl. Siku hizi umefungua kampuni?hiiiiiiiìiii.
Aise sasa hapo umeandika nini?misukuma yote kiingereza kinawapiga chengaYou are so hopeless ever!
Yaani kabisa ukaseme hivyo leo?Katika hali ya kushangazi OCD wa hai ameonekana akimwambia mbowe hadharani kuwa hawezi kushinda uchaguzi.Ikumbukwe kuwa jeshi la polisi ni miongoni mwa taasisi ambazo zinapaswa kutokuegemea upande wowote katika uchaguzi huu
Link ya video hii hapa:
View attachment 1593384
Anajisemea nafsi yake akimjulisha huyo jamaa Mbowe anayejifanya mbishi.Alikuwa anamsemea nani?
Uwe unasima vzr. Mbona unajibu vitu tofauti? Ashinde asishinde watu wanajadili nani aliyetoa matamshi hayo.Mmesema sana uwongo, sio polisi tu hata wananchi wengi wa Hai wamewachoka.
Kwa miaka 20 watu wa Hai wanaambiwa Mgombea wa Chadema ndio atakuwa Rais, hii ndio matokeo yake wananchi wamechoka kuambiwa kitu ambacho hakitokei.
Kila uchaguzi wananchi wanaambiwa kuwa Chadema inashinda Urais.
Don't argue with a fool people might not notice the difference!Aise sasa hapo umeandika nini?misukuma yote kiingereza kinawapiga chenga
Hichi kiingereza Cha Chato?duuu tumia kisukuma bwiga wewe umeandika utopolo mtupu eti ...you are so hopeless ever[emoji3]You are so hopeless ever!
Jeshi la polisi ni miongoni mwa taasisi ambazo hazipaswi kuegemea upande wowote wa vyama vya siasa.Kitendo cha Afsa wako mpendwa kudai kuwa Mbowe hawezi kushinda ni amevunja sheria za uchaguziSheria ipi wewe mbumbumbu wa sheria?
Sema hujui kibeberu.Hichi kiingereza Cha Chato?duuu tumia kisukuma bwiga wewe umeandika utopolo mtupu eti ...you are so hopeless ever[emoji3]
Kama una watoto nawe siku jimwage mbele yao, halafu subiri responseOCD atapewa Lawama bure tu.
Mbowe ndio kamchokoza "......Hata mmbebe vipi huyo mgombea hawezi kunishinda"
Mlitaka asijibu aonekane " kaufyata" kama mnavyopublish.
Akaamua kijimwagaa...Sasa atafanyaje!
Sijui.Akitokea na mwengine akisema chadema inashinda mnamtengua kazi au sio?
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Ona tena utopolo huu unaelewa matumizi ya might?unaelewa Don't inaendana na nini?...notice the difference?[emoji3][emoji3]Don't argue with a fool people might not notice the difference!