Uchaguzi 2020 Video: Polisi wakisindikiza msafara wa Lissu unaoshangiliwa na kupungiwa mikono na maelfu ya wananchi

Hasira gani tena!?, huo ni moto wa magazeti. Mwisho wake ni jumanne wiki ijayo. Najua utarudi hapa na thread kibao huku umefura na ID tofauti tofauti.
Mlisema Chadema imekufa, ikapita
Mlisema lissu akifika airport dar, atafikia mikononi mwa polisi ikapita

Leo mnasema atakatwa na tume, nalolitapita
 
Hakika kuna Nguvu ya Mungu(Power of Nature) iliyo nyuma ya Lissu.
Mashetani mnachekesha sana. Watu wenyewe ni kidogo sana, halafu kusindikizwa na polisi nayo imekuwa issue, mbona hiyo ni hali ya kawaida tu, kila mgombea urais anapata kinga tena akiomba mpaka TISS wanamlinda. Nyie idiot sana. Mnapenda kukuza vitu vidogo vidogo
 
Lisu ameanza kampeni mapema kinyume na sheria za uchaguzi.
Ajitahidi kuzingatia sheria

Unafahamu kuwa yeye ni mwanasheria na amesema katika sheria zetu hakuna kitu kinaitwa kuanza kampeni mapema kwakuwa kampeni zinaanza baada ya kuidhinishwa wagombea na NEC sasa ukisema ameanza kampeni mapema kisheria yeye hajawa mgombea kwahiyo huwezi kusema anafanya kampeni wakati siyo hajaidhinishwa kuwa mgombea. Na kampeni inafanywa na mgombea. Hiyo lugha ni sahihi kwenye vyama siyo kwenye NEC haipo.
 
Tutachanga kama tulivyowachangia kina Mbowe. Swali lingine tafadhali
 
2010 hadi 2015 wenzio walitoa hadi sadaka za shukrani kwa kusema Mungu alimuweka kikwete ccm ili ifie mkononi mwake

Jibu la kilichotokea muulize EL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…